Ziara ya Rais Samia nchini Kenya, Mama anakosea

Acha kudanganya watu,watanzania wengi tumekuwa masikini kwa sababu ya kutumia nishati duni kama mikaa na kuni. Leo hii umeme ni ghali kwa matumizi ya multpurporse ukija kwenye ges ndo balaa kabisa, laiti kama gesi ingesambazwa majumbani na viwandani tusengekuja hapa kulalamika.gesi ni ya kwetu,itutosheleze kwanza sisi wenye nayo ndo kisha tuitoe nje kama kama itatosheleza . Mfumo ni uleule hatukuwauzia mahindi wakenya kabla hatukujihakikishia kuwa tuna mahindi ya kutosha nchini.
 
Hata ukiwa mbinafsi nayo iko useless na haisaidii chochote cha maana bora kuuza ilete pesa tufanye mengine

Wengi humu ni majinga kama hayati ******** wanadhani kuwa tu na mali ndio kunaleta pesa.

Huko kwenye dhahabu kumeendelea? Bila hao wazungu hakuna cha maana hizo mali mtafanyia
 
Yaani wewe ni mbwa na kubwa jinga,,******** aliupandisha uchumi kutoka ngapi hadi ngapi?

Huo huo unaoita uchumi wa ndaga ndio ulileta ustawi wa maisha ya watu na vitu hadi sekondari kila kata,vyuo vikuu kila sehemu,barabara kuu na madaraja vilijengwa ,kilimo kilistawi na heshima ya Tzn duniani ilikuwepo.

Huyo mjinga wenu aliishia kuishi kama digidigi kuwa mwongo,jizi na alichofanya ni kujinufaisha kwake na familia yake.Aliua uchumi hadi juzi tumeambiwa ukweli
 
Ww ndio kiazi kweli...
kwenda kuwekeza Kenya mtaweza?
Tz mtabaki Ku produce raw materials
tu
Watzn Waliowekeza huko Kenya wanafanya nini sasa kama sio kuweza?

Kwa taarifa yako cha muhimu ni balance of trade,tukiuza malighafi tukawa sawa kuna shida gani hapo?

Afu ni afya kupata wawekezaji kuliko kwenda kuwekeza nje maana unazalisha Kazi na uchumi wa nchi husika ndio maana nchi za west na USA walikuwa wanatoa incentives kwa raia wao waliowekeza nje warudi kuwekeza ndani

Tena wawavutie wawekezaji wengi wa Kenya waje tutanufaika ajira,uchumi kukua,teknolojia na ujuzi wa biashara maana Watzn wengi ni vilaza kama wewe ,tukiendelea hivi nchi haiwezi kuendelea
 
Akili za kijinga za kuwaza kila kitu serikali ndio maana mambo hayaendi

Kinachozuia ni serikali au ni mazingira ya biashara?
 
Miaka yote hiyo mikakati mbona huitoi? Uchumi wa gas na Muhongo iliishia wapi?

Mwendazake alisema gas ni ya mabeberu kelele za nini saizi?

Afu usiwe unaongea as if nchi zote duniani zina gas na zile ambazo hazina hakuna maendeleo.

Hii dhana ni ya kipumbavu eti rasilimali zibaki kusubiria kizazi kijacho,hii utakiandaa vp kizazi kijacho bila pesa? Teknolojia ya nishati haitegemei gas tuu

Hii nchi inahitaji pesa kujenga uchumi wa sasa na wa baadae ,uza tupate pesa .kama inagawiwa bure na wewe kanunue fungu lako uwawekee kizazi chako
 
Muacheni mama awajengee uchumi wenu maana kiongozi wa malaika alishauua. Mshukuruni Mungu amewaokoa huo uchumi wenu ulishaenda kuzimu. Hujasoma media za bongo huko kwamba soko la hisa la Dar limeanza kurejea hali yake.
Ila hpo kwenye soko la hisa umenena mkuu kweli hali ishaanza kurudi[emoji848]
 
Na huu mradi sio wa serikali ni private sector,, serikali haina uwezo wa kujenga pesa hakuna
 
Kamuulize marehemu mumeo ******** ndio alikacha gas akasema ni ya mabeberu kwa hiyo acheni kelele mama apige Kazi tupate pesa
 
Anajua lakini kwasababu inatoka hapa ilitakiwa iuzwe bei ya chini Mkuu na sio bei iliyopo ambayo haina tofauti na ya Kenya/Uganda na Zambia
Ukaulize Nigeria au Angola kama mafuta yao yanauzwa bei ya chini
 
Na wajinyonge maana hatuwezi kukaa na akiba ya gesi ambayo haina faida watu wanaakili gani?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] watakwambia wanasubiri kizazi [emoji38][emoji38] hicho kizazi kitajikuta tuu kina akili na maarifa bila kuandaliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…