Ziara ya Rais Samia Nchini Norway baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo, Februari 13, 2024

Afu kuna mjinga 1 Kaja na mada ya CHADEMA wasitishe maandamano kisa kuna msiba wa Lowasa
Huku mkuu wa nchi wala hana habari na huo msiba
 
Naona Mfalme yupo na Malikia , yeye yupo Pekee yake. Protocol ina semaje hapo .
 
Afu anapiga sana misele huyu mama si atulie nyumbani uku.
kiufupi wapinzani huwa hamueleweki mnataka nini, Magu alipokuwa haendi ulaya mkamsema vibaya, huyu anaenda mnamasema vibaya, Mnaboa Sana, hamna hoja, mnaishi Kwa matukio Tu.
 
OSLO ENERGY FORUM 2024



United States Special Presidential Envoy for Climate John Kerry speaks during the Oslo Energy Forum, which is held at the Scandic Holmenkollen Park hotel in Oslo, Norway, 14 February 2024. The forum, aiming to encourage a productive discussion on the most critical energy issues and solutions, runs from 13 to 15 February 2024.

Source - Agência de Notícias de Portugal, S.A.
 
14 February 2024
Oslo, Norway

Masuala makuu matatu yanayobeba sekta ya nishati yajadiliwa

Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan akiwa katika mkutano wa Nishati Jadidu Clean Energy mjini Oslo Norway akitoa mada,


Jukwaa la Nishati la Oslo linaunganisha viongozi katika tasnia inayohusiana na nishati ulimwenguni na biashara zingine na wawakilishi kutoka kwa sekta za nishati ambao ni watunga sera, mamlaka, wadhibiti na taasisi zinazoathiri hali na fursa za mipango kazi ya makampuni.

Masuala makuu matatu katika sekta ya nishati - yaani usalama, uendelevu, na uwezo wa kumudu - yanajadilwa kwa kina kuona changamoto zake katika hali ya kisasa ya kijiografia kuliko hapo awali.


Oslo Energy Forum connects leaders in global energy-related industry and other businesses with representatives from authorities, regulators and institutions influencing the companies’ framework conditions and opportunities.

Kwa hisani kubwa ya :
Source - Agência de Notícias de Portugal, S.A.
 
Tunakula mema ya inchi baada ya hapo sisi haooo kizimkazi na pensheni tele kigumu chama chama Cha mapumbavu
 
Mh. Rais Dr. Samia Siuluhu Hassan akiwasili na kupokelewa kwenye kongamano la nishati mjini Oslo Norway


Picha :
Kwa hisani kubwa ya :
Source - Agência de Notícias de Portugal, S.A.
 
Na iki ndio anacho weza.
TAIFA halina umeme
TAIFA halina sukari
 
Mwache apigwe na baridi,dar joto Sana.🤣🤣🤣🤣
 
Kwani mizunguko yote hiyo anachokitafuta ni kipi imekua too much sasa
 
kiufupi wapinzani huwa hamueleweki mnataka nini, Magu alipokuwa haendi ulaya mkamsema vibaya, huyu anaenda mnamasema vibaya, Mnaboa Sana, hamna hoja, mnaishi Kwa matukio Tu.
Ndio maana aliwanyoosha….😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
SSH Yupo kwenye vitu anavyovipenda, makongamano, seminars, kukutana na,wafalme, watu mashuhuri, watu maarufu, Viongozi hasa wakubwa duniani. Ni asili yake. Kula bata. Hivi kwanini haendi na mume wake?

Matatizo ya wananchi, matatizo makubwa ya nchi, bajeti, kusoma taarifa muhimu anaona wanamsumbua tu, ngoja nikale bata. Nitawaachia mawaziri. Nikirudi vitu vitakuwa sawa.

Usimwambie asome taarifa kuhusu umeme, maji, nauli, mfumuko wa bei, au atembelee Tanesco, awawajibishe Wizara ya nishati, hana huo muda ila ana muda wa kutembea ulaya, US, Middle east.
 
Kuna mgauni naskia unatajwa takwa sana kwamba ndio upitishwe kama vazi la taifa.....😜
 
Ziara hii imeacha gumzo katika wafuatiliaji wa taarifa za shughuli za kifame (Royal Tours) za wafalme na malkia wa bara la ulaya.

Tanzania imetumia soft power (nguvu isiyoumiza) vizuri kupitia Royal tour hii ya mwaliko wa King Harald V wa Norway
 
huyu mama ni mchapa kazi hadi inavutia kumtizama wallah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…