Ziara ya Rais Samia: Watanzania waishio Marekani waandamana kudai Katiba Mpya

Ziara ya Rais Samia: Watanzania waishio Marekani waandamana kudai Katiba Mpya

Haikuwa sahihi kwa Rais kuwakimbia wananchi hawa wachache kwa kutokomea kupitia mlango wa nyuma wa jengo. Kiongozi bora ni yule anayesikiliza wananchi wake, bila kujali ni wanamuunga mkono au wanampiga, bila kujali wako upande wa chama tawala au nje ya chama tawala, wote hawa ni wanannchi wa Tanzania na kama wanatanzania wanayo haki ya kusikilizwa, si lazima wakubaliwe wanachosema/wanachotaka cha muhimu wasikilizwe.

Rais na wasaidizi wake wanapaswa waanze kujenga utamaduni wa kuwasilikiza wananchi wao hasa wanapokuwa ziarani, wanapaswa watoe majibu ya maswali yanayoulizwa mara kwa mara, wakishindwa au kukwepa kutoa majibu ni dhahiri kwamba watapata shida sana kuwaongoza wananchi wao wanaowaongoza. Viongozi wanapokwepa kuwasikiliza wananchi wao wanaonesha na kudhihirisha udhaifu mkubwa wa kiuongozi na kiutendaji walionao.
 
..hiyo ilikuwa ni bonge ya FURSA kwa Maza ila ameshindwa kuitumia.

..Maza alitakiwa apite mbele ya hao waandamanaji na asome mabango na hata kuteta nao kidogo.

..angefanya hivyo hata mabeberu nao wangeunga mkono kwamba Maza anaupiga mwingi kwamba ana uvumilivu wa kisiasa.

..kitendo cha Maza kupitia mlango wa uani kilikuwa na ushauri mbaya. Uani kuna mambo mengi, Maza angeweza kupata ajali.
Mkuu mpaka akili ziwe sawasawa ndipo unaweza kufanya kitu kama ulichoandika.

Afrika hatukupewa ujasiri wa kuonyesha wazungu kuwa tunaweza ila ujasiri wetu ni wa kuharibu na kuuana tu.
 
Haikuwa sahihi kwa Rais kuwakimbia wananchi hawa wachache kwa kutokomea kupitia mlango wa nyuma wa jengo. Kiongozi bora ni yule anayesikiliza wananchi wake, bila kujali ni wanamuunga mkono au wanampiga, bila kujali wako upande wa chama tawala au nje ya chama tawala, wote hawa ni wanannchi wa Tanzania na kama wanatanzania wanayo haki ya kusikilizwa, si lazima wakubaliwe wanachosema/wanachotaka cha muhimu wasikilizwe.

Rais na wasaidizi wake wanapaswa waanze kujenga utamaduni wa kuwasilikiza wananchi wao hasa wanapokuwa ziarani, wanapaswa watoe majibu ya maswali yanayoulizwa mara kwa mara, wakishindwa au kukwepa kutoa majibu ni dhahiri kwamba watapata shida sana kuwaongoza wananchi wao wanaowaongoza. Viongozi wanapokwepa kuwasikiliza wananchi wao wanaonesha na kudhihirisha udhaifu mkubwa wa kiuongozi na kiutendaji walionao.
sahihi
 
..hiyo ilikuwa ni bonge ya FURSA kwa Maza ila ameshindwa kuitumia.


..Maza alitakiwa apite mbele ya hao waandamanaji na asome mabango na hata kuteta nao kidogo.

..angefanya hivyo hata mabeberu nao wangeunga mkono kwamba Maza anaupiga mwingi kwamba ana uvumilivu wa kisiasa.

..kitendo cha Maza kupitia mlango wa uani kilikuwa na ushauri mbaya. Uani kuna mambo mengi, Maza angeweza kupata ajali.
Kweli aisee
 
Back
Top Bottom