Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Lengo ni kufikisha ujumbeMarekani kuandamana siyo big deal!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lengo ni kufikisha ujumbeMarekani kuandamana siyo big deal!
Kukaa mno ugenini hayo pia ni madhara na doa kwa Amiri jeshi mkuu.Lost opportunity. Angesimama na kuongea nao ili athibitishie ulimwengu kuwa ni muumini wa uhuru wa kutoa mawazo kama sehemu ya demokrasia. Aidha, ingekuwa ishara kuwa yeye ni tofauti na waliomtangulia.
Amandla....
Kama ni hivyo, mbona raisi anahangaika kuongelea mambo ya Tanzania huko Marekani?Ni baadhi ya Watanzania tena wachache siyo Watanzania wanaoishi Marekani. Weka usahihi wa taarifa yako. Si umesema wengine walikuwa ndani Rais akiwahutubia! Ni haki yao ila . muhimu ni; mambo ya Tanzania yataamuliwa Tanzania siyo Washington wala 10 Downing street.[emoji120][emoji120][emoji120]
Rais ameenda kuzungumzia international trade; kwa kunadi fursa zetu za utalii na uwekezaji vitu ambavyo ni tofauti na political sovereignty. 🙏🙏🙏Kama ni hivyo, mbona raisi anahangaika kuongelea mambo ya Tanzania huko Marekani?
Wewe unataka athari gani? Ya kuteka na kupoteza watu? Wao wanafikisha ujumbe, wewe unataka athari (sijui ni hasi au chanya).Kikundi cha watu 10..hata hawana athari kabisa
Watanzania waishio Marekani katika mji wa Washington waliandamana kuelekea kwenye jengo la ubalozi wa Tanzania mahali ambapo Rais Samia alikuwa akiwahutubia Watanzania.
View attachment 2198353
View attachment 2198354
Kwa bahati mbaya wazee wa itifaki waliona mapema kikundi hicho na kuamua kudivert through narrow way into the conference area, inaonekana hakupitia mlango wa kawaida.
Baada ya kuongea mambo kadha wa kadha Rais Samia amesikika akisema, “Nimewaona wanangu nje wakiwa wamevaa t- shirt na wameshika mabango na nimewasalimia”.
Maneno hayo ni tofauti na maneno mtu ambaye amesoma mabango na kuongea.
Vibaka wenye kiu ya haki🥺🥺Hao ni vibaka
Ujumbe wao hauna athari ? + or - ? Kijani kibichi ni zero brain .Kikundi cha watu 10..hata hawana athari kabisa
Ratiba za kipresidential ndio zikoje na zinahusika vipi kwenye hili?Kukaa mno ugenini hayo pia ni madhara na doa kwa Amiri jeshi mkuu.
Siku nyingine pangeni ratiba za kipresidential
Ni mwanzo mzuri sana huuSafi sana.Natamani huo Moto ungeshika kasi mpaka huku nangulukulu ingekuwa poa sana.
Mbona unahangaika sana?Kikundi cha watu 10..hata hawana athari kabisa
Putin anahusikaje hapa? We mzee naona unazeeka vibaya.Wapambane na Putin kwanza!
Ndivyo mnavyojipa moyo🤣🤣Kikundi cha watu 10..hata hawana athari kabisa
View attachment 2198349
Kufuatia Ziara ya rais Samia huko Marekani, wananchi waishio huko wameandamana kudai katiba mpya.
Watanzania hao walibeba mabango yenye ujumbe wa Kudai katiba mpya na Wengine kubeba mabango yanayotaka serikali imwachie huru Mwanasheria Peter Madeleka ambaye inasemekana amekamatwa na Polisi lakini hajulikani alipo(Jeshi la Polisi halijatoa taarifa rasmi)
Pia walivaa T-Shirt zinazotaka haki itendeke kwa Ben Saanane, Azory, Gwanda etc
Hapo juu nimeweka video ya maandamano hayo huko Marekani
Tanzania ndio Big deal Polisi wanakufungulia Kesi ya UTAKATISHAJI PESAMarekani kuandamana siyo big deal!