Ziara ya Rais Samia: Watanzania waishio Marekani waandamana kudai Katiba Mpya

Ziara ya Rais Samia: Watanzania waishio Marekani waandamana kudai Katiba Mpya

Kwani hao binadam ni spesheli sana kuishi.

Duniani tunapita haijalishi unakufa kwa njia gani.

Walikuwa wanahoji ujinga ni bora hata walipotezwa. Mtu unaakili timamu unahoji elimu ya mtu. Hayo ni masilahi ya Taifa? Jinga wewe!

Tuone kama hiyo katiba italeta maajabu?
hawajitambui hao
Wakae wafanye kazi
Jiwe Yuko wapi siku hizi,hasikiki Sana.
 
Upeo wako wa mambo ni mdogo sana!!, Hivi unafikiri watu kuandamana ni big deal kama ulivyosema??. Big deal kwa waandamanaji ni kufikisha ujumbe wa was lengo la maandamano.
Hapo kuna ujumbe gani?

Kwa mfano aliyemuuwa Mawazo tayari yuko jela
 
Ukisoma maoni utaona kuwa lumpenproletariats ni asilimia kubwa.
Kazi inahitajika kufanyika.
 
Chuo Kikuu cha kata Manzese
Imekupotezea wakati. Hakuna elites waliofanikiwa kuleta mageuzi ya maana bila ya kushirikiana na proletariat. Hata Robespiere asingeweza kuuangusha utawala wa Mfalme wa Ufaransa bila msaada wa the proletariat.

Amandla...
 
View attachment 2198349

Kufuatia Ziara ya rais Samia huko Marekani, wananchi waishio huko wameandamana kudai katiba mpya.

Watanzania hao walibeba mabango yenye ujumbe wa Kudai katiba mpya na Wengine kubeba mabango yanayotaka serikali imwachie huru Mwanasheria Peter Madeleka ambaye inasemekana amekamatwa na Polisi lakini hajulikani alipo(Jeshi la Polisi halijatoa taarifa rasmi)

Hapo juu nimeweka video ya maandamano hayo huko Marekani

Arudipo nyumbani kazi hii iendelee.

#tutaelewanatu
 
Back
Top Bottom