Chuo Kikuu cha kata ManzeseElimu gani ya chuo kikuu imekufundisha hivyo?
Amandla...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuo Kikuu cha kata ManzeseElimu gani ya chuo kikuu imekufundisha hivyo?
Amandla...
Upeo wako wa mambo ni mdogo sana!!, Hivi unafikiri watu kuandamana ni big deal kama ulivyosema??. Big deal kwa waandamanaji ni kufikisha ujumbe wa was lengo la maandamano.Marekani kuandamana siyo big deal!
Jiwe Yuko wapi siku hizi,hasikiki Sana.Kwani hao binadam ni spesheli sana kuishi.
Duniani tunapita haijalishi unakufa kwa njia gani.
Walikuwa wanahoji ujinga ni bora hata walipotezwa. Mtu unaakili timamu unahoji elimu ya mtu. Hayo ni masilahi ya Taifa? Jinga wewe!
Tuone kama hiyo katiba italeta maajabu?
hawajitambui hao
Wakae wafanye kazi
Akili za hovyoo sana hizi za kiccm!!!.Kikundi cha watu 10..hata hawana athari kabisa
Hapo kuna ujumbe gani?Upeo wako wa mambo ni mdogo sana!!, Hivi unafikiri watu kuandamana ni big deal kama ulivyosema??. Big deal kwa waandamanaji ni kufikisha ujumbe wa was lengo la maandamano.
Kama mpaka akili zikukae vizuri nenda kanuse vyoo vya Lumumba ndio utaelewa ujumbe. Mzee wa vijinyuzi vya hovyoooooohovyoooHapo kuna ujumbe gani?
Kwa mfano aliyemuuwa Mawazo tayari yuko jela
Imekupotezea wakati. Hakuna elites waliofanikiwa kuleta mageuzi ya maana bila ya kushirikiana na proletariat. Hata Robespiere asingeweza kuuangusha utawala wa Mfalme wa Ufaransa bila msaada wa the proletariat.Chuo Kikuu cha kata Manzese
Hahahaaaa....... hahahaaaa....... Umeshafura manka!Kama mpaka akili zikukae vizuri nenda kanuse vyoo vya Lumumba ndio utaelewa ujumbe. Mzee wa vijinyuzi vya hovyoooooohovyooo
Jitu zima Kila kukicha unaleta vijinyuzi vya kipuuzi, hivi una uwezo wa kuandika hata paragraph 10 za maana? Maana duh....Hahahaaaa....... hahahaaaa....... Umeshafura manka!
Hahahaaaa....... Mrembo wangu unateseka sana!Jitu zima Kila kukicha unaleta vijinyuzi vya kipuuzi, hivi una uwezo wa kuandika hata paragraph 10 za maana? Maana duh....
Punguza upuuzi umri wako ni 45+ kwahiyo jitahidi kuwa na busara japo una athari za kupakuliwa 071..Hahahaaaa....... Mrembo wangu unateseka sana!
Kwi.....kwi....kwi!
Binti unachomeka sana .........pole mrembo!Punguza upuuzi umri wako ni 45+ kwahiyo jitahidi kuwa na busara japo una athari za kupakuliwa 071..
Punguza upuuzi umri unakutupaa shoqer wewe.Binti unachomeka sana .........pole mrembo!
Hahahaaaa...... Utafura sana tu manka!Punguza upuuzi umri unakutupaa shoqer wewe.
View attachment 2198349
Kufuatia Ziara ya rais Samia huko Marekani, wananchi waishio huko wameandamana kudai katiba mpya.
Watanzania hao walibeba mabango yenye ujumbe wa Kudai katiba mpya na Wengine kubeba mabango yanayotaka serikali imwachie huru Mwanasheria Peter Madeleka ambaye inasemekana amekamatwa na Polisi lakini hajulikani alipo(Jeshi la Polisi halijatoa taarifa rasmi)
Hapo juu nimeweka video ya maandamano hayo huko Marekani
I concur with you. Huyu Missile of the Nation na wenzake, waende Mwl. Nyerere Airport na mabango yao kama wana ubavu.Marekani kuandamana siyo big deal!