voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,545
- 11,935
Kwa mazoea ya Marekani hako ka kikundi ni kadogo sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mazoea ya Marekani hako ka kikundi ni kadogo sana.
Kwani hao binadam ni spesheli sana kuishi.Wewe ndio hamnazo yani mtu anayeomba haki ya mpendwa wake aliyepotea unamwita hamnazo jinga kabisa wewe. Ninani asietaka kumuona Ben sanane na Azory Gwanda wakiwa hai?
Kazi ya rais sio kuachwa afanye kazi zake tu ni wajibu wake pia kukabikiana na changamoto za wananchi wake, hawezi ajiuzulu. Aache kuwakimbia. Utakimbiaje mabango katika nchi ya demokrasia?Hicho ndicho kilichowapeleka USA
Kumbe unaweza kuwa umetembea lakini hamnazo
Mwacheni mama afanye kazi yake.. tusipangiane.
View attachment 2198349
Kufuatia Ziara ya rais Samia huko Marekani, wananchi waishio huko wameandamana kudai katiba mpya.
Watanzania hao walibeba mabango yenye ujumbe wa Kudai katiba mpya na Wengine kubeba mabango yanayotaka serikali imwachie huru Mwanasheria Peter Madeleka ambaye inasemekana amekamatwa na Polisi lakini hajulikani alipo(Jeshi la Polisi halijatoa taarifa rasmi)
Hapo juu nimeweka video ya maandamano hayo huko Marekani
Moderator what's this?.Watanzania waishio Marekani katika mji wa Washington waliandamana kuelekea kwenye jengo la ubalozi wa Tanzania mahali ambapo Rais Samia alikuwa akiwahutubia Watanzania.
View attachment 2198353
View attachment 2198354
Kwa bahati mbaya wazee wa itifaki waliona mapema kikundi hicho na kuamua kudivert through narrow way into the conference area, inaonekana hakupitia mlango wa kawaida.
Baada ya kuongea mambo kadha wa kadha Rais Samia amesikika akisema, “Nimewaona wanangu nje wakiwa wamevaa t- shirt na wameshika mabango na nimewasalimia”.
Maneno hayo ni tofauti na maneno mtu ambaye amesoma mabango na kuongea.
Punguza ujinga basi.maana una ujinga hadi umezidi.Kwani hao binadam ni spesheli sana kuishi.
Duniani tunapita haijalishi unakufa kwa njia gani.
Walikuwa wanahoji ujinga ni bora hata walipotezwa. Mtu unaakili timamu unahoji elimu ya mtu. Hayo ni masilahi ya Taifa? Jinga wewe!
Tuone kama hiyo katiba italeta maajabu?
hawajitambui hao
Wakae wafanye kazi
Watanzania waishio Marekani katika mji wa Washington waliandamana kuelekea kwenye jengo la ubalozi wa Tanzania mahali ambapo Rais Samia alikuwa akiwahutubia Watanzania.
View attachment 2198353
View attachment 2198354
Kwa bahati mbaya wazee wa itifaki waliona mapema kikundi hicho na kuamua kudivert through narrow way into the conference area, inaonekana hakupitia mlango wa kawaida.
Baada ya kuongea mambo kadha wa kadha Rais Samia amesikika akisema, “Nimewaona wanangu nje wakiwa wamevaa t- shirt na wameshika mabango na nimewasalimia”.
Maneno hayo ni tofauti na maneno mtu ambaye amesoma mabango na kuongea.
wewe ni darasa la saba.... mabadiriko hayaletwi na proletariats, yanaletwa na a few elite ones who can integrate issues affecting their lifeKikundi cha watu 10..hata hawana athari kabisa
Umeona, hili jitu jinga sana, ndiyo yalikuwa yanagombea zamu za kufua underW za mke wa marehemuPunguza ujinga basi.maana una ujinga hadi umezidi.
HiiiiView attachment 2198349
Kufuatia Ziara ya rais Samia huko Marekani, wananchi waishio huko wameandamana kudai katiba mpya.
Watanzania hao walibeba mabango yenye ujumbe wa Kudai katiba mpya na Wengine kubeba mabango yanayotaka serikali imwachie huru Mwanasheria Peter Madeleka ambaye inasemekana amekamatwa na Polisi lakini hajulikani alipo(Jeshi la Polisi halijatoa taarifa rasmi)
Hapo juu nimeweka video ya maandamano hayo huko Marekani
Najua imekukera mnoo hii situation 😂😂😂🙌🙌Marekani kuandamana siyo big deal!
Aliyewapoteza na yeye yupo wapi Sasa ?Walikuwa wanahoji ujinga ni bora hata walipotezwa. Mtu unaakili timamu unahoji elimu ya mtu. Hayo ni masilahi ya Taifa? Jinga wewe!
Hahahaaaa........!Najua imekukera mnoo hii situation 😂😂😂🙌🙌
Elimu gani ya chuo kikuu imekufundisha hivyo?wewe ni darasa la saba.... mabadiriko hayaletwi na proletariats, yanaletwa na a few elite ones who can integrate issues affecting their life
Wasio nazo wanajulikana tu. Kudai katiba mpya wewe unaona sio kitu muhimu mbwiga wewe. Nyani kweli hajioni mkunduleHicho ndicho kilichowapeleka USA
Kumbe unaweza kuwa umetembea lakini hamnazo
Mwacheni mama afanye kazi yake.. tusipangiane.
Ushauri wangu kwa rais Samia, Mheshimiwa rais, Polisi wetu bado wana tabia mbaya za uuaji. Muondoe Sirro na pia badilisha jeshi la polisi. WANANCHI WASIO NA HATIA WATAPOTEA HADI LINI?View attachment 2198349
Kufuatia Ziara ya rais Samia huko Marekani, wananchi waishio huko wameandamana kudai katiba mpya.
Watanzania hao walibeba mabango yenye ujumbe wa Kudai katiba mpya na Wengine kubeba mabango yanayotaka serikali imwachie huru Mwanasheria Peter Madeleka ambaye inasemekana amekamatwa na Polisi lakini hajulikani alipo(Jeshi la Polisi halijatoa taarifa rasmi)
Hapo juu nimeweka video ya maandamano hayo huko Marekani
Kikundi cha watu 10..hata hawana athari ka