Ziara ya Rais Samia: Watanzania waishio Marekani waandamana kudai Katiba Mpya

Ziara ya Rais Samia: Watanzania waishio Marekani waandamana kudai Katiba Mpya

Wewe ndio hamnazo yani mtu anayeomba haki ya mpendwa wake aliyepotea unamwita hamnazo jinga kabisa wewe. Ninani asietaka kumuona Ben sanane na Azory Gwanda wakiwa hai?
Kwani hao binadam ni spesheli sana kuishi.

Duniani tunapita haijalishi unakufa kwa njia gani.

Walikuwa wanahoji ujinga ni bora hata walipotezwa. Mtu unaakili timamu unahoji elimu ya mtu. Hayo ni masilahi ya Taifa? Jinga wewe!

Tuone kama hiyo katiba italeta maajabu?
hawajitambui hao
Wakae wafanye kazi
 
View attachment 2198349

Kufuatia Ziara ya rais Samia huko Marekani, wananchi waishio huko wameandamana kudai katiba mpya.

Watanzania hao walibeba mabango yenye ujumbe wa Kudai katiba mpya na Wengine kubeba mabango yanayotaka serikali imwachie huru Mwanasheria Peter Madeleka ambaye inasemekana amekamatwa na Polisi lakini hajulikani alipo(Jeshi la Polisi halijatoa taarifa rasmi)

Hapo juu nimeweka video ya maandamano hayo huko Marekani
 
Watanzania waishio Marekani katika mji wa Washington waliandamana kuelekea kwenye jengo la ubalozi wa Tanzania mahali ambapo Rais Samia alikuwa akiwahutubia Watanzania.

View attachment 2198353
View attachment 2198354
Kwa bahati mbaya wazee wa itifaki waliona mapema kikundi hicho na kuamua kudivert through narrow way into the conference area, inaonekana hakupitia mlango wa kawaida.

Baada ya kuongea mambo kadha wa kadha Rais Samia amesikika akisema, “Nimewaona wanangu nje wakiwa wamevaa t- shirt na wameshika mabango na nimewasalimia”.

Maneno hayo ni tofauti na maneno mtu ambaye amesoma mabango na kuongea.
Moderator what's this?.
 
Kwani hao binadam ni spesheli sana kuishi.

Duniani tunapita haijalishi unakufa kwa njia gani.

Walikuwa wanahoji ujinga ni bora hata walipotezwa. Mtu unaakili timamu unahoji elimu ya mtu. Hayo ni masilahi ya Taifa? Jinga wewe!

Tuone kama hiyo katiba italeta maajabu?
hawajitambui hao
Wakae wafanye kazi
Punguza ujinga basi.maana una ujinga hadi umezidi.
 
Watanzania waishio Marekani katika mji wa Washington waliandamana kuelekea kwenye jengo la ubalozi wa Tanzania mahali ambapo Rais Samia alikuwa akiwahutubia Watanzania.

View attachment 2198353
View attachment 2198354
Kwa bahati mbaya wazee wa itifaki waliona mapema kikundi hicho na kuamua kudivert through narrow way into the conference area, inaonekana hakupitia mlango wa kawaida.

Baada ya kuongea mambo kadha wa kadha Rais Samia amesikika akisema, “Nimewaona wanangu nje wakiwa wamevaa t- shirt na wameshika mabango na nimewasalimia”.

Maneno hayo ni tofauti na maneno mtu ambaye amesoma mabango na kuongea.

Picha hizo waonekana kabisa wanaijeria hao. Wao katiba mpya wanahitaji ili iweje. Nini hasa wamekosa ambacho wanamzidi mtanzania wa kawaida. Leteni Dollars hizo. Limeni mashamba makubwa achani Siasa. Marekani karibu kila mwezi Kuna kuaana tu.
 
View attachment 2198349

Kufuatia Ziara ya rais Samia huko Marekani, wananchi waishio huko wameandamana kudai katiba mpya.

Watanzania hao walibeba mabango yenye ujumbe wa Kudai katiba mpya na Wengine kubeba mabango yanayotaka serikali imwachie huru Mwanasheria Peter Madeleka ambaye inasemekana amekamatwa na Polisi lakini hajulikani alipo(Jeshi la Polisi halijatoa taarifa rasmi)

Hapo juu nimeweka video ya maandamano hayo huko Marekani
Hiiii
 
View attachment 2198349

Kufuatia Ziara ya rais Samia huko Marekani, wananchi waishio huko wameandamana kudai katiba mpya.

Watanzania hao walibeba mabango yenye ujumbe wa Kudai katiba mpya na Wengine kubeba mabango yanayotaka serikali imwachie huru Mwanasheria Peter Madeleka ambaye inasemekana amekamatwa na Polisi lakini hajulikani alipo(Jeshi la Polisi halijatoa taarifa rasmi)

Hapo juu nimeweka video ya maandamano hayo huko Marekani
Ushauri wangu kwa rais Samia, Mheshimiwa rais, Polisi wetu bado wana tabia mbaya za uuaji. Muondoe Sirro na pia badilisha jeshi la polisi. WANANCHI WASIO NA HATIA WATAPOTEA HADI LINI?
 
Back
Top Bottom