Ziara yangu ofisi za JamiiForums

Dkt. Dorothy Gwajima hongera sana kwa kujiunga nasi katika mtandao huu pendwa wa Tanzania, karibu sana

CCM oyeeee....!!
Gwajima oyeeee...!!
tuna Imani na wewe Tena mwakani 2025
 
Naomba kutumia kifungu cha sheria ya Tanzania ibara ya 6

Access to Information Act, 2016 (No. 6 of 2016).​

(1) Every person shall have the right of access to information which is under the control of information holders.
(2) The information holder shall, subject to the provisions of section 6 and any other written laws, make available to the public or, on request, to any person, information which is under his control.

Nataka kujua idadi ya waajiriwa wa JF kufuatana na maswali yafuatayo

Kuna waajiriwa wakristo wangapi?
Kuna waajiriwa waislamu wangapi?

Maxence Melo


 
Uchizi unaanzaga hivihivi, siyo lazima uokote makopo.
 

Duuuh hii nchi inasafari ndefu sana. Mtu wa aina hii usitegemee hata siku moja atakuwa na mchango kwa taifa
 
Nani kakwambia hawamo humu?
 
Sure, kuliko kulea wasanii wahuni wahuni kama Steve Nyerere na genge lake!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…