Zijue faida za kupiga punyeto kwa afya yako

Zijue faida za kupiga punyeto kwa afya yako

Wanawake na wanaume naombeni turirike faida za punyeto kwa wanaume na kujichua kwa wanawake,zipi sababu zilipelekea ukafikia uamuzi huo,binafsi mkeo wangu ana majukumu mengi ya kikazi na hajawahi kunikuta nikipiga nyeto
🤣🤣🤣🤣
Dah.......! Nimecheka badala ya kushangaa.
ID yako iliyozoeleka ni ipi vile?
 
Kupiga punyeto ni tendo linalomuathiri Mpigaji Kiroho, Kimwili, Kihisia na Kisaikolojia

Pale hufanyi peke yako, yupo unayefanya nae hata kama humwoni
 
Wanawake na wanaume naombeni tutiririke faida za punyeto kwa wanaume na kujichua kwa wanawake,zipi sababu zilipelekea ukafikia uamuzi huo,binafsi mkeo wangu ana majukumu mengi ya kikazi na hajawahi kunikuta nikipiga nyeto
Wewe mtoto acha ujinga. Uko na wazazi wako humu.
 
Wanawake na wanaume naombeni tutiririke faida za punyeto kwa wanaume na kujichua kwa wanawake,zipi sababu zilipelekea ukafikia uamuzi huo,binafsi mkeo wangu ana majukumu mengi ya kikazi na hajawahi kunikuta nikipiga nyeto
Nikiona mafuta moyo unatulia
 
Back
Top Bottom