Zijue faida za kupiga punyeto kwa afya yako

Zijue faida za kupiga punyeto kwa afya yako

Ukitaka kumuhurumia mipiga Nyeto, mpigishe ' Baysets ' lile zoezi la kuinua chuma bila kuchezesha miguu. Hapo utamjua na kumuhurumia tu..
 
Muwe mnaeleza kivipi sio inasaidia tu Sasa hiyo kinga inaongezekaje..?
Muwe mnatoa maelezo ya kutosha ili ambao hatujajiunga kwenye chama tuanze kufikiria..😅
 
Inasikitisha sana, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Umezungumzia upande mmoja (me) siku hizi hata kina Joanah wanapiga. Je kwao ikojye??
 
Back
Top Bottom