Zijue faida za kupiga punyeto kwa afya yako

Zijue faida za kupiga punyeto kwa afya yako

Kujichua (punyeto) hutajwa kuwa na faida kwa mwanaume hasa katika kuongeza ubora wa mbegu na kufanya uwezo wa kutunga mimba kuwa mkubwa zaidi.

Kumbuka: Hakuna tafiti yoyote ya kisayansi iliyothibitisha kwamba kujichua kuna madhara.
#Fahamuzaidi

Sent using Gun Trigger
Kabisa Chaputa kidumu!
 
Nitaandika faida zake kitaifa
Inafanya kesi za ubakaji kutokuwa rukuki hivyo kutokujaza magereza😂
Inaepusha serikali kuingia gharama za kukutibia kwani utakuwa umejiweka mbali na magonjwa ya kulipiwa na nchi!..

Utapunguza stress za kutoswa au kuombwa hela au kufanyiwa manjangunjangu,hivyo kupelekea utendaji mzuri wa ujenzi taifa.

Utaisababishia serikali kuwa na kukidhi rasilimali watu na sio watu kuwa wengi kwa kuzaliana hovyo😂

Hasara utakazo patia taifa.
Utauuwa pato la taifa litokanalo na kondomu!

Serikali itakosa kodi kutoka kwenye magesti house kwani wateja ndo nyinyi mnamapepo ya kujiselfisha😂

Utakuwa umeongeza stress kwa jinsia ya tofauti nawe kwani hawapati haki ya msingi,hivyo unaweza athiri ujenzi wa taifa!

Utauuwa uchumi wa nchi endapo kutatokea rasilimali watu kuadimika maana kuzaa hakuna watoto mnawatupa chooni😂

nchi itakosa watu wakupiga mfano wezi ambao ilitakiwa wazaliwe nawe! Ama nchi itakosa motivation speaker ambao pia ilitakiwa wazaliwe nawe!
Kiujumla nchi itakosa watu muhimu😂

Maoni yangu
Punyeto sio nzuri maana inahasara nyingi kushinda faida hasa ktk ngazi ya taifa!..
Hivyo ni vyema kuunda sheria ya kukataza mchezo huo au ufanyike kwa mtu mwenye mahitaji maalum na iwe kwa kibali Cha leseni ambayo italipiwa si chini ya dola 500. Ili kufidia pato la taifa.
 
Nitaandika faida zake kitaifa
Inafanya kesi za ubakaji kutokuwa rukuki hivyo kutokujaza magereza😂
Inaepusha serikali kuingia gharama za kukutibia kwani utakuwa umejiweka mbali na magonjwa ya kulipiwa na nchi!..

Utapunguza stress za kutoswa au kuombwa hela au kufanyiwa manjangunjangu,hivyo kupelekea utendaji mzuri wa ujenzi taifa.

Utaisababishia serikali kuwa na kukidhi rasilimali watu na sio watu kuwa wengi kwa kuzaliana hovyo😂

Hasara utakazo patia taifa.
Utauuwa pato la taifa litokanalo na kondomu!

Serikali itakosa kodi kutoka kwenye magesti house kwani wateja ndo nyinyi mnamapepo ya kujiselfisha😂

Utakuwa umeongeza stress kwa jinsia ya tofauti nawe kwani hawapati haki ya msingi,hivyo unaweza athiri ujenzi wa taifa!

Utauuwa uchumi wa nchi endapo kutatokea rasilimali watu kuadimika maana kuzaa hakuna watoto mnawatupa chooni😂

nchi itakosa watu wakupiga mfano wezi ambao ilitakiwa wazaliwe nawe! Ama nchi itakosa motivation speaker ambao pia ilitakiwa wazaliwe nawe!
Kiujumla nchi itakosa watu muhimu😂

Maoni yangu
Punyeto sio nzuri maana inahasara nyingi kushinda faida hasa ktk ngazi ya taifa!..
Hivyo ni vyema kuunda sheria ya kukataza mchezo huo au ufanyike kwa mtu mwenye mahitaji maalum na iwe kwa kibali Cha leseni ambayo italipiwa si chini ya dola 500. Ili kufidia pato la taifa.
Safi naona umekuja na hoja na sio bla bla!!
 
Nitaandika faida zake kitaifa
Inafanya kesi za ubakaji kutokuwa rukuki hivyo kutokujaza magereza[emoji23]
Inaepusha serikali kuingia gharama za kukutibia kwani utakuwa umejiweka mbali na magonjwa ya kulipiwa na nchi!..

Utapunguza stress za kutoswa au kuombwa hela au kufanyiwa manjangunjangu,hivyo kupelekea utendaji mzuri wa ujenzi taifa.

Utaisababishia serikali kuwa na kukidhi rasilimali watu na sio watu kuwa wengi kwa kuzaliana hovyo[emoji23]

Hasara utakazo patia taifa.
Utauuwa pato la taifa litokanalo na kondomu!

Serikali itakosa kodi kutoka kwenye magesti house kwani wateja ndo nyinyi mnamapepo ya kujiselfisha[emoji23]

Utakuwa umeongeza stress kwa jinsia ya tofauti nawe kwani hawapati haki ya msingi,hivyo unaweza athiri ujenzi wa taifa!

Utauuwa uchumi wa nchi endapo kutatokea rasilimali watu kuadimika maana kuzaa hakuna watoto mnawatupa chooni[emoji23]

nchi itakosa watu wakupiga mfano wezi ambao ilitakiwa wazaliwe nawe! Ama nchi itakosa motivation speaker ambao pia ilitakiwa wazaliwe nawe!
Kiujumla nchi itakosa watu muhimu[emoji23]

Maoni yangu
Punyeto sio nzuri maana inahasara nyingi kushinda faida hasa ktk ngazi ya taifa!..
Hivyo ni vyema kuunda sheria ya kukataza mchezo huo au ufanyike kwa mtu mwenye mahitaji maalum na iwe kwa kibali Cha leseni ambayo italipiwa si chini ya dola 500. Ili kufidia pato la taifa.
Sawa mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  1. Tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara
  2. Kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi
 
Back
Top Bottom