Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo kusaliHivi kuna addiction yoyote yenye faida?
Kweli?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii ndio sababu naiogopa sana JF dadeq!
Mkuu umejoin JF jana usiku
I mean hata siku moja( masaa 24) huna hapa jukwaani,umenijuaje?
ni nadharia potofu zilizokuwepo zamani, watu walikua wanaamini puchu inaleta upofu, watoto walikua wanalala na pingu mkononi wakigundulika na hiyo tabia.... hiyo nadharia haijapotea mpaka sasa, ndio maana watu bado wanachukulia puchu vibaya....sasa inakuwaje baada ya kumaliza nyeto mtu huwa anajisikia vibaya na kujiona amefanya jambo la kijinga kabisa?
mapono yanaharibuje? hebu waelimishe vijana hawa wa hovyo? nasema hivi kwasababu hakuan mtazama porn asiye mpiga puchu. wote baba yao ni mmoja, shetwan.ni nadharia potofu zilizokuwepo zamani, watu walikua wanaamini puchu inaleta upofu, watoto walikua wanalala na pingu mkononi wakigundulika na hiyo tabia.... hiyo nadharia haijapotea mpaka sasa, ndio maana watu bado wanachukulia puchu vibaya....
Kinachoharibu akili na kuleta erectile dysfunction ni porn na sio puchu.... wanaotumia porn ndio wanaharibikiwa, puchu ni kawaida kwa binadamu akiwa anabalehe kwakuwa ndo anaugundua mwili wake.... porn na explicit media zingine za ngono ndio mbaya.... masturbation comes naturally
mie baada ya nyeto nashukuru sana, sanasasa inakuwaje baada ya kumaliza nyeto mtu huwa anajisikia vibaya na kujiona amefanya jambo la kijinga kabisa?
hii ni kweli, ila kuna mpiga puchu asiye cheki porn... kwa wale ambao kujichua ilikuja naturally hawana shida tofauti na watumia porn, watumia porn ni kama walevi.... wana uraibuhakuan mtazama porn asiye mpiga puchu.
mimi naona wote wana shida. kupiga pushu unalegeza misuli ya mzee..............., na kuangalia porn unahamisha akili toka kwenye kuhamasika ukiwa na mwanamke live kwenda kwenye kuhamasika (kuamshwa hisia) baada ya kuona porn. na pia kwenye kupiga bao lile la pushu linapigwa kwasababu uume umekamuliwa kwa namna fulani hivi wakati lile la mwanamke linakuja kutokana na kutekenywa, utelezi, jotoridi na ile hisia kwamba umemwingilia mwanamke. icho ni kitu cha muhimu sana.hii ni kweli, ila kuna mpiga puchu asiye cheki porn... kwa wale ambao kujichua ilikuja naturally hawana shida tofauti na watumia porn, watumia porn ni kama walevi.... wana uraibu
imeshadhihirishwa kua ni uongokupiga pushu unalegeza misuli ya mzee
Kujua vipele vyako???Tendo la kupiga punyeto ni tendo ambalo nimepingwa vikali na jamii na linaonekana kama ukosefu wa maadili katika mwanadamu. Ili kufanya watu waache kufanya tendo hili kuna watu walioleta hoja kadhaa kuwa tendo hili lina madhara kwa yeyote anayefanya hivi bila kufanya utafiti wowote.
Kuna propaganda ambazo bado hazijakubalika na wanasayansi kuwa kupiga punyeto kutakufanya uwe punguani, nyingine eti utamea nywele kwa mkono na pia kuna propaganda kuwa ukitimia miaka fulani utaishiwa na nguvu za kufanya tendo la ngono. Kwa wanasayansi hio ni porojo.
Badala ya kuangalia madhara yake (hayajadhibitishwa) wanasayansi wameonelea kuangalia umuhimu wake.
Umuhimu wa kupiga punyeto
Kupiga punyeto kunaongeza nguvu mwilini
Imedhibitishwa kuwa kupiga punyeto mtu wakati anaposhusha hutoa homoni ijulikanayo kama cortisol ambayo wakati inapotolewa kwa kiwango kidogo huupatia mwili nguvu za kujikinga dhidi ya magonjwa.
Kupiga punyeto huondoa mgando (cramps) kwa wanawake
Imebainishwa kuwa badala ya wanawake kujichoma na maji ya moto wakati wameshikwa na cramps ni vyema na rahisi kwa mmoja kupiga punyeto kwani inarahisisha kusimamisha mgando huo
Kupiga punyeto kunakinga kutokana na kushikwa na kansa ya kibofu (prostate cancer)
Kupiga punyeto kunasaidia kuondoa na kusafisha sumu (toxins) zinazopatikana katika njia za mikojo (urogenital track) ambazo hufanya mtu kushikwa na magonjwa kama ya kansa. Wanasayansi wanadai kuwa kupiga [unyeto mara 3 kwa wiki kunapunguza uwezekano kwako kushikwa na ugonjwa huu wakati umetimia umri wa miaka 40.
Kupiga punyeto kunakupa manufaa ya kufurahia ngono
Punyeto humfanya mtu kujielewa mwenyewe pale ambapo anafahamu vyema kutampa furaha. Pia husaidia mtu kuufahamu mwili wake mwenyewe bila tatizo.
Kupiga punyeto kunakusaidia wewe kupata usingizi
Punyeto hupunguza kasi ya msukumo wa damu na pia kuna homoni ijulikanayo kama endorphins. Homoni hii inajulikana kumpa mtu utulifu na pia huondoa stress mwilini. Pia inajulikana kupatia mtu hisia nzuri.
Punyeto husaidia kuondoa magonjwa ya njia ya mkojo (urinary tracks infection)
Inajulikana kuwa punyeto husaidia kuondoa bacteria katika mlango wa uzazi wa mwanamke (cervix). Punyeto inafaa zaidi haswa kwa wale wanaokubwa na ugonjwa wa njia za mkojo.
Owk! nishakupa manufaa ya punyeto lakini sijakupa visababu kwa kujichafua sana....ukizidi sana fanya mara 3 kwa wiki kama vile wanasayansi walivyokubaliana.