Zijue gharama za Nyama na maharage nchini Ubelgiji alipokuwa Lissu

Zijue gharama za Nyama na maharage nchini Ubelgiji alipokuwa Lissu

Halafu mwanasiasa anayetaka urais wa nchi anakuja kushangaa bei, wakati alitakiwa aelezee wananchi mpango alio nao kwa kilimo Cha Tanzania ili kitoke hapo kilipo endapo CDM itachukua nchi. Ile hotuba haikuonyesha leadership yoyote ile
Mimi simwelewi nawasha TV nasikia anazungumzia maharage na katiba maharage na katiba, yaani katiba ndio inapanga bei ya maharage? Kenya hapo sio mbali watajibu katiba ndio inaamua bei ya maharage nchini kwao?

SIJAONA kwenye katiba kifungu kinachoeleza kupangwa bei ya maharage na nyama, hicho kifungu hakipo, hata kile alichotaja hakiendani kabisa na ishu ya maharage na nyama, ametaja tu basi sijui bunge litakaa litaamua blah blah blah, km vipi arudi tu akaendelee kula hela alizopewa maana akianzisha vurugu atakimbilia alipotoka na kuwaacha wasiokua na kwa kukimbilia wakiumia wenyewe
 
Kujibu Hoja za Tundu Lisu kunahitaji.akili kubwa

Hapa TAL hajaanza anapiga Jalamba tu!
Lisu huwa Hana hoja..tuseme chadema yote,imejengwa kwa matukio na kiki,kuimba ufusadi na vitu Kama hivyo,walau alipokuwepo zitto alikua na hoja kiasi mtu mwenye utimamu utasikiliza
 
Siku Lissu alivyotua nchini wakati akiwahutubia wananchi wa Temeke alionesha kushangazwa na bei za nyama na maharage nchini Tanzania.

Binafsi ninaona Lissu alizungumza kwa lengo la kupotosha na kwa kuwa nilisema nitakuwepo hapa kila hoja ya wapinzani naomba nitumie jukwaa hili kufanya hivyo na hapa nitatumia takwimu.

Zifuatazo ni takwiku za bei ya nyama na maharage nchini ubelgiji alipokuwepo Lissu na katika soko la dunia.



Lissu anaonesha kushangazwa na kupanda kwa bei na hapo takwimu zinaonesha vitu vimepanda bei sana kwenye soko la dunia na hata huko ubelgiji alipokuwa anaishi

Ukiangalia takwimu/data hizo utagundua bei ya maharage na nyama kwa Tanzania ni chini ya bei ya wastani

Unafananisha vitu viwili katika maeneo mawili tofauti.Kwa kifupi umeandika pumba hivi tupu ila zinazotaka fanana na mchele .Nikuulize kitu kimoja, je unajua mishara ya kima cha chini huko Ubeligiji?
 
Lisu huwa Hana hoja..tuseme chadema yote,imejengwa kwa matukio na kiki,kuimba ufusadi na vitu Kama hivyo,walau alipokuwepo zitto alikua na hoja kiasi mtu mwenye utimamu utasikiliza
Zitto si ni wenu hivyo ni lazima umfagilie tu lakini ukweli unabaki palepale kwamba mfumuko wa bei ni zaidi ya 30% lakini serikali inatudanganya kwamba ni single digit.
 
Hapo Belgium hakuna mwananchi anashindwa kununua nyama au Maharagwe na kama hana Kazi serikali inampa pesa.

Ndio Bei zimepamba lkn serikali nayo imepandisha mshahara sambamba na inflat

Unafananisha vitu viwili katika maeneo mawili tofauti.Kwa kifupi umeandika pumba hivi tupu ila zinazotaka fanana na mchele .Nikuulize kitu kimoja, je unajua mishara ya kima cha chini huko Ubeligiji?
Wanapotoa takwimu juu ya kushuka au kupanda bei katika soko la dunia, kwani hawajui kuna walaji tofauti tofauti?
 
Siku Lissu alivyotua nchini wakati akiwahutubia wananchi wa Temeke alionesha kushangazwa na bei za nyama na maharage nchini Tanzania.

Binafsi ninaona Lissu alizungumza kwa lengo la kupotosha na kwa kuwa nilisema nitakuwepo hapa kila hoja ya wapinzani naomba nitumie jukwaa hili kufanya hivyo na hapa nitatumia takwimu.

Zifuatazo ni takwiku za bei ya nyama na maharage nchini ubelgiji alipokuwepo Lissu na katika soko la dunia.



Lissu anaonesha kushangazwa na kupanda kwa bei na hapo takwimu zinaonesha vitu vimepanda bei sana kwenye soko la dunia na hata huko ubelgiji alipokuwa anaishi

Ukiangalia takwimu/data hizo utagundua bei ya maharage na nyama kwa Tanzania ni chini ya bei ya wastani
Unadhani bei hiyo ya nyama ni hizi za kwetu daraja la Tano tunazouziwa buchani hizo ni daraja la kwanza alafu ni bifuu hakuna mifupa hata huku ukiuziwa daraja la kwanza siyo elfu 8000
 
Elimu kwa binadamu ni Afya, ninaamini kabisa, mtoa hoja ni zuzu, kama Belgium ni 5usd kwa nini hapa pia isiwe ni 5ths?,Botswana 1L ya diesel ni 18Pula,kwetu ni 3500ths, jiulize why hapa pia isiwe ni 18ths?
Mkuu umetoa shudu! Bei kaweka in USD so we convert jibu utalpata in tzs
 
Elimu kwa binadamu ni Afya, ninaamini kabisa, mtoa hoja ni zuzu, kama Belgium ni 5usd kwa nini hapa pia isiwe ni 5ths?,Botswana 1L ya diesel ni 18Pula,kwetu ni 3500ths, jiulize why hapa pia isiwe ni 18ths?
Hapa umeonesha mapungufu makubwa kwenye uelewa wako. Bei katika soko inapangwa kutokana forces of demand and supply , bei haipangwi tu kwa kutamani iwe hivyo na kipimo ni dola ya Marekani.
 
Siku Lissu alivyotua nchini wakati akiwahutubia wananchi wa Temeke alionesha kushangazwa na bei za nyama na maharage nchini Tanzania.

Binafsi ninaona Lissu alizungumza kwa lengo la kupotosha na kwa kuwa nilisema nitakuwepo hapa kila hoja ya wapinzani naomba nitumie jukwaa hili kufanya hivyo na hapa nitatumia takwimu.

Zifuatazo ni takwiku za bei ya nyama na maharage nchini ubelgiji alipokuwepo Lissu na katika soko la dunia.



Lissu anaonesha kushangazwa na kupanda kwa bei na hapo takwimu zinaonesha vitu vimepanda bei sana kwenye soko la dunia na hata huko ubelgiji alipokuwa anaishi

Ukiangalia takwimu/data hizo utagundua bei ya maharage na nyama kwa Tanzania ni chini ya bei ya wastani
Akili ndogo kama wewe huwezi kujibu hoja za Lissu.
 
Siku Lissu alivyotua nchini wakati akiwahutubia wananchi wa Temeke alionesha kushangazwa na bei za nyama na maharage nchini Tanzania.

Binafsi ninaona Lissu alizungumza kwa lengo la kupotosha na kwa kuwa nilisema nitakuwepo hapa kila hoja ya wapinzani naomba nitumie jukwaa hili kufanya hivyo na hapa nitatumia takwimu.

Zifuatazo ni takwiku za bei ya nyama na maharage nchini ubelgiji alipokuwepo Lissu na katika soko la dunia.



Lissu anaonesha kushangazwa na kupanda kwa bei na hapo takwimu zinaonesha vitu vimepanda bei sana kwenye soko la dunia na hata huko ubelgiji alipokuwa anaishi

Ukiangalia takwimu/data hizo utagundua bei ya maharage na nyama kwa Tanzania ni chini ya bei ya wastani
 

Attachments

  • 25636F1F-5F7A-42F1-ABA3-4D6A1659E78B.jpeg
    25636F1F-5F7A-42F1-ABA3-4D6A1659E78B.jpeg
    167.9 KB · Views: 2
Ishu ya msingi sio GDP au per capita hoja hapa ni ishu ya kupanda bei ya vyakula ,je lissu kushangaa vitu kupanda bei ni sawa huku hata ubelgiji bei za vitu zilipanda sana?
Hebu soma tena ulichoandika halafu jicheke mwenyewe ujinga wako,hizi elimu zenu za kuunga unga zinawapa ujasiri wa kipumbavu sana
 
Mimi simwelewi nawasha TV nasikia anazungumzia maharage na katiba maharage na katiba, yaani katiba ndio inapanga bei ya maharage? Kenya hapo sio mbali watajibu katiba ndio inaamua bei ya maharage nchini kwao?

SIJAONA kwenye katiba kifungu kinachoeleza kupangwa bei ya maharage na nyama, hicho kifungu hakipo, hata kile alichotaja hakiendani kabisa na ishu ya maharage na nyama, ametaja tu basi sijui bunge litakaa litaamua blah blah blah, km vipi arudi tu akaendelee kula hela alizopewa maana akianzisha vurugu atakimbilia alipotoka na kuwaacha wasiokua na kwa kukimbilia wakiumia wenyewe
Akili kisoda huwezi elewa kitu
 
Back
Top Bottom