Zijue gharama za Nyama na maharage nchini Ubelgiji alipokuwa Lissu

Zijue gharama za Nyama na maharage nchini Ubelgiji alipokuwa Lissu

Siku Lissu alivyotua nchini wakati akiwahutubia wananchi wa Temeke alionesha kushangazwa na bei za nyama na maharage nchini Tanzania.

Binafsi ninaona Lissu alizungumza kwa lengo la kupotosha na kwa kuwa nilisema nitakuwepo hapa kila hoja ya wapinzani naomba nitumie jukwaa hili kufanya hivyo na hapa nitatumia takwimu.

Zifuatazo ni takwiku za bei ya nyama na maharage nchini ubelgiji alipokuwepo Lissu na katika soko la dunia.



Lissu anaonesha kushangazwa na kupanda kwa bei na hapo takwimu zinaonesha vitu vimepanda bei sana kwenye soko la dunia na hata huko ubelgiji alipokuwa anaishi

Ukiangalia takwimu/data hizo utagundua bei ya maharage na nyama kwa Tanzania ni chini ya bei ya wastani
Maharage yanalimwa Tanzania,Nyama Tanzania tuna mifugo mingi kuliko Ubelgiji,Thamani ya maisha na pesa Ubelgiji na Tanzania ni vitu viwili tofauti,kwa nini ufanye comparison kati ya Ubelgiji na Tanzania wakati kila kitu kuanzia siasa,uchumi,utawala,elimu,lugha,mfumo wa maisha,kodi,uwajibikaji,haki za binadamu nk.tunatofautiana?
 
Siku Lissu alivyotua nchini wakati akiwahutubia wananchi wa Temeke alionesha kushangazwa na bei za nyama na maharage nchini Tanzania.

Binafsi ninaona Lissu alizungumza kwa lengo la kupotosha na kwa kuwa nilisema nitakuwepo hapa kila hoja ya wapinzani naomba nitumie jukwaa hili kufanya hivyo na hapa nitatumia takwimu.

Zifuatazo ni takwiku za bei ya nyama na maharage nchini ubelgiji alipokuwepo Lissu na katika soko la dunia.



Lissu anaonesha kushangazwa na kupanda kwa bei na hapo takwimu zinaonesha vitu vimepanda bei sana kwenye soko la dunia na hata huko ubelgiji alipokuwa anaishi

Ukiangalia takwimu/data hizo utagundua bei ya maharage na nyama kwa Tanzania ni chini ya bei ya wastani
Anahitaji tiba ya akili kiumbe Lissu
 
Hapa umeonesha mapungufu makubwa kwenye uelewa wako. Bei katika soko inapangwa kutokana forces of demand and supply , bei haipangwi tu kwa kutamani iwe hivyo na kipimo ni dola ya Marekani.
Umetembelea nchi zote ili ujue kuwa bei hupangwa na ulimwengu acha kutufanya Wajinga tembelea nchi mbalimbali na maeneo tofauti tofauti ili uongeze uelewa.
 
Ishu ya msingi sio GDP au per capita hoja hapa ni ishu ya kupanda bei ya vyakula ,je lissu kushangaa vitu kupanda bei ni sawa huku hata ubelgiji bei za vitu zilipanda sana?
Zilipanda Belgiam kutoka kiasi gani na kwa kipindi gani.
Unahoja labda ila umeshindwa kuiunda.
 
Umetembelea nchi zote ili ujue kuwa bei hupangwa na ulimwengu acha kutufanya Wajinga tembelea nchi mbalimbali na maeneo tofauti tofauti ili uongeze uelewa.
Kama hukumuelewa mwenzake utakuwa una matatizo
 
Huku mtu kutwa nzima analipwa elfu 6 Wengine mpaka nne bado anaweza kula na matusi ya wahindi na wachina
Kwa wenzetu kwa lisaa tu mtu anakunja dola 8.
 
Mimi simwelewi nawasha TV nasikia anazungumzia maharage na katiba maharage na katiba, yaani katiba ndio inapanga bei ya maharage? Kenya hapo sio mbali watajibu katiba ndio inaamua bei ya maharage nchini kwao?

SIJAONA kwenye katiba kifungu kinachoeleza kupangwa bei ya maharage na nyama, hicho kifungu hakipo, hata kile alichotaja hakiendani kabisa na ishu ya maharage na nyama, ametaja tu basi sijui bunge litakaa litaamua blah blah blah, km vipi arudi tu akaendelee kula hela alizopewa maana akianzisha vurugu atakimbilia alipotoka na kuwaacha wasiokua na kwa kukimbilia wakiumia wenyewe
Sayngay
 
Siku Lissu alivyotua nchini wakati akiwahutubia wananchi wa Temeke alionesha kushangazwa na bei za nyama na maharage nchini Tanzania.

Binafsi ninaona Lissu alizungumza kwa lengo la kupotosha na kwa kuwa nilisema nitakuwepo hapa kila hoja ya wapinzani naomba nitumie jukwaa hili kufanya hivyo na hapa nitatumia takwimu.

Zifuatazo ni takwiku za bei ya nyama na maharage nchini ubelgiji alipokuwepo Lissu na katika soko la dunia.



Lissu anaonesha kushangazwa na kupanda kwa bei na hapo takwimu zinaonesha vitu vimepanda bei sana kwenye soko la dunia na hata huko ubelgiji alipokuwa anaishi

Ukiangalia takwimu/data hizo utagundua bei ya maharage na nyama kwa Tanzania ni chini ya bei ya wastani
Pia hapo unapaswa kuchambua mshahara wa mtu wa chini unaweza kununua kilo ngapi kwa bidhaa unayochambua?
 
Siku Lissu alivyotua nchini wakati akiwahutubia wananchi wa Temeke alionesha kushangazwa na bei za nyama na maharage nchini Tanzania.

Binafsi ninaona Lissu alizungumza kwa lengo la kupotosha na kwa kuwa nilisema nitakuwepo hapa kila hoja ya wapinzani naomba nitumie jukwaa hili kufanya hivyo na hapa nitatumia takwimu.

Zifuatazo ni takwiku za bei ya nyama na maharage nchini ubelgiji alipokuwepo Lissu na katika soko la dunia.



Lissu anaonesha kushangazwa na kupanda kwa bei na hapo takwimu zinaonesha vitu vimepanda bei sana kwenye soko la dunia na hata huko ubelgiji alipokuwa anaishi

Ukiangalia takwimu/data hizo utagundua bei ya maharage na nyama kwa Tanzania ni chini ya bei ya wastani
Nchi za ulaya miaka yote gharama za maisha ziko juu sana kila kitu ni ghali sana isipokua nyama ya kuku tu ndio chakula cha masikini wa Ulaya. !!
 
..kima cha chini cha mshahara Belgium in Euro 14 kwa saa ambazo ni zaidi ya Tsh 35000 kwa saa.

..kama tunataka kufanya ulinganisho kati ya gharama za maisha za Belgium vs Tanzania yunaweza pia kuanzia kwenye masuala ya kipato / mishahara.
Umenena
 
Back
Top Bottom