SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Huyo atakuwa bekitatuUsikute aliyeandika Huu Uzi nyumbani kwake anaitwa baba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo atakuwa bekitatuUsikute aliyeandika Huu Uzi nyumbani kwake anaitwa baba.
Mimi sishikiwi akili wewe endelea kushikiwa akili eti katiba inabadiri bei ya nyama? Katiba hata hii iliyopo inawapa wao ruzuku ya vyama kila mwaka wanapiga pesa wewe unaingiza nini? Mwenye akili JabaAkili kisoda huwezi elewa kitu
Shuleni ulienda kusomea ujinga tuWenye akili hatushikwi akili Kama vipofu
Unazidi kujivua nguo ujue wewe zuzu. Huwezi kushikiwa akili kwa vile akili zenyewe huna kabisaMimi sishikiwi akili wewe endelea kushikiwa akili eti katiba inabadiri bei ya nyama? Katiba hata hii iliyopo inawapa wao ruzuku ya vyama kila mwaka wanapiga pesa wewe unaingiza nini? Mwenye akili Jaba
Mimi sio wewe mwenye akili Jaba Ila zimeshikwa na Lissu wewe mwenyewe huna akili, huna kitu cha kuhoji kila kitu ndio ndio mfia chamaUnazidi kujivua nguo ujue wewe zuzu. Huwezi kushikiwa akili kwa vile akili zenyewe huna kabisa
Pole sana BAVICHA mshauri lissu aache kutafuta cheap popularityShuleni ulienda kusomea ujinga tu
Na kipato cha wabelgiji ni sawasawa na cha wabongo! Na Brussels tiketi ya daladala ni euro 2.4 kama shilingi 6100. Sema na hilo.Siku Lissu alivyotua nchini wakati akiwahutubia wananchi wa Temeke alionesha kushangazwa na bei za nyama na maharage nchini Tanzania.
Binafsi ninaona Lissu alizungumza kwa lengo la kupotosha na kwa kuwa nilisema nitakuwepo hapa kila hoja ya wapinzani naomba nitumie jukwaa hili kufanya hivyo na hapa nitatumia takwimu.
Zifuatazo ni takwiku za bei ya nyama na maharage nchini ubelgiji alipokuwepo Lissu na katika soko la dunia.
Belgium - Beans - price, March 2024 | GlobalProductPrices.com
The price is 5.21 USD. The average price for all countries is 3.80 USD. The database includes 66 countries.www.google.com
Belgium - Beef - price, December 2024 | GlobalProductPrices.com
The price is 13.04 USD. The average price for all countries is 14.77 USD. The database includes 78 countries.www.google.com
Lissu anaonesha kushangazwa na kupanda kwa bei na hapo takwimu zinaonesha vitu vimepanda bei sana kwenye soko la dunia na hata huko ubelgiji alipokuwa anaishi
Ukiangalia takwimu/data hizo utagundua bei ya maharage na nyama kwa Tanzania ni chini ya bei ya wastani
Angalia au fananisha pato la kila mmoja kati ya hizo nchi mbiliSiku Lissu alivyotua nchini wakati akiwahutubia wananchi wa Temeke alionesha kushangazwa na bei za nyama na maharage nchini Tanzania.
Binafsi ninaona Lissu alizungumza kwa lengo la kupotosha na kwa kuwa nilisema nitakuwepo hapa kila hoja ya wapinzani naomba nitumie jukwaa hili kufanya hivyo na hapa nitatumia takwimu.
Zifuatazo ni takwiku za bei ya nyama na maharage nchini ubelgiji alipokuwepo Lissu na katika soko la dunia.
Belgium - Beans - price, March 2024 | GlobalProductPrices.com
The price is 5.21 USD. The average price for all countries is 3.80 USD. The database includes 66 countries.www.google.com
Belgium - Beef - price, December 2024 | GlobalProductPrices.com
The price is 13.04 USD. The average price for all countries is 14.77 USD. The database includes 78 countries.www.google.com
Lissu anaonesha kushangazwa na kupanda kwa bei na hapo takwimu zinaonesha vitu vimepanda bei sana kwenye soko la dunia na hata huko ubelgiji alipokuwa anaishi
Ukiangalia takwimu/data hizo utagundua bei ya maharage na nyama kwa Tanzania ni chini ya bei ya wastani
Watu wanapolalamikia bei ya vitu kupanda ni kuwa bei mpya ni zaidi ya uwezo wao. Suala sio tu kupanda bei bali pia ni uwezo wa wananchi kuzimudu bei mpya.Ishu ya msingi sio GDP au per capita hoja hapa ni ishu ya kupanda bei ya vyakula ,je lissu kushangaa vitu kupanda bei ni sawa huku hata ubelgiji bei za vitu zilipanda sana?
...bei inapangwa kutokana na demand &supply, hakuna tatizo na tupo pamoja kwa hili, sasa why nikiwa hapa nchini nite 3500tshs kununua 1L ya diesel, wakati nikiwa zambia natoa 28ZWK kupata 1L ya diesel?,nijibu why na mimi hapa lingusenguse nisiende na 28ths kwa garage ili ninunue 1L of diesel, ukinijibu hili then we can discuss, maana nikiwa na 3500ZWK ,hizo pesa ninanunua diesel kutoka nakonde hadi kazungula, 1600kmHapa umeonesha mapungufu makubwa kwenye uelewa wako. Bei katika soko inapangwa kutokana forces of demand and supply , bei haipangwi tu kwa kutamani iwe hivyo na kipimo ni dola ya Marekani.
Alikuwa anakula bure asingeweza kufahamu bei ya maharage unamuonea bureSiku Lissu alivyotua nchini wakati akiwahutubia wananchi wa Temeke alionesha kushangazwa na bei za nyama na maharage nchini Tanzania.
Binafsi ninaona Lissu alizungumza kwa lengo la kupotosha na kwa kuwa nilisema nitakuwepo hapa kila hoja ya wapinzani naomba nitumie jukwaa hili kufanya hivyo na hapa nitatumia takwimu.
Zifuatazo ni takwiku za bei ya nyama na maharage nchini ubelgiji alipokuwepo Lissu na katika soko la dunia.
Belgium - Beans - price, March 2024 | GlobalProductPrices.com
The price is 5.21 USD. The average price for all countries is 3.80 USD. The database includes 66 countries.www.google.com
Belgium - Beef - price, December 2024 | GlobalProductPrices.com
The price is 13.04 USD. The average price for all countries is 14.77 USD. The database includes 78 countries.www.google.com
Lissu anaonesha kushangazwa na kupanda kwa bei na hapo takwimu zinaonesha vitu vimepanda bei sana kwenye soko la dunia na hata huko ubelgiji alipokuwa anaishi
Ukiangalia takwimu/data hizo utagundua bei ya maharage na nyama kwa Tanzania ni chini ya bei ya wastani
No mkuu ,fikiria zaidi ya hapo, swali kama Brussels mkate ni 2usd why Dar usiwe 2 ths?,nijibu kwanzaMkuu umetoa shudu! Bei kaweka in USD so we convert jibu utalpata in tzs
Nimecheka sana hao ndiyo vilaza wa CCM walifeli shule wakabebwa na wazazi wao, lakini bado ujinga uko palepaleSiku Lissu alivyotua nchini wakati akiwahutubia wananchi wa Temeke alionesha kushangazwa na bei za nyama na maharage nchini Tanzania.
Binafsi ninaona Lissu alizungumza kwa lengo la kupotosha na kwa kuwa nilisema nitakuwepo hapa kila hoja ya wapinzani naomba nitumie jukwaa hili kufanya hivyo na hapa nitatumia takwimu.
Zifuatazo ni takwiku za bei ya nyama na maharage nchini ubelgiji alipokuwepo Lissu na katika soko la dunia.
Belgium - Beans - price, March 2024 | GlobalProductPrices.com
The price is 5.21 USD. The average price for all countries is 3.80 USD. The database includes 66 countries.www.google.com
Belgium - Beef - price, December 2024 | GlobalProductPrices.com
The price is 13.04 USD. The average price for all countries is 14.77 USD. The database includes 78 countries.www.google.com
Lissu anaonesha kushangazwa na kupanda kwa bei na hapo takwimu zinaonesha vitu vimepanda bei sana kwenye soko la dunia na hata huko ubelgiji alipokuwa anaishi
Ukiangalia takwimu/data hizo utagundua bei ya maharage na nyama kwa Tanzania ni chini ya bei ya wastani
Stupid!Kwa hiyo mkutano uliwahusu watu wa Ubelgiji?Ukishajielewa kwamba uwezo katika uchambuzi,upembuzi na kuyaelewa mambo ni mdogo,tuliza kiuno chako usiyumbeyumbe.Mambo makubwa unataka uyajibu kipuuzi?Siku Lissu alivyotua nchini wakati akiwahutubia wananchi wa Temeke alionesha kushangazwa na bei za nyama na maharage nchini Tanzania.
Binafsi ninaona Lissu alizungumza kwa lengo la kupotosha na kwa kuwa nilisema nitakuwepo hapa kila hoja ya wapinzani naomba nitumie jukwaa hili kufanya hivyo na hapa nitatumia takwimu.
Zifuatazo ni takwiku za bei ya nyama na maharage nchini ubelgiji alipokuwepo Lissu na katika soko la dunia.
Belgium - Beans - price, March 2024 | GlobalProductPrices.com
The price is 5.21 USD. The average price for all countries is 3.80 USD. The database includes 66 countries.www.google.com
Belgium - Beef - price, December 2024 | GlobalProductPrices.com
The price is 13.04 USD. The average price for all countries is 14.77 USD. The database includes 78 countries.www.google.com
Lissu anaonesha kushangazwa na kupanda kwa bei na hapo takwimu zinaonesha vitu vimepanda bei sana kwenye soko la dunia na hata huko ubelgiji alipokuwa anaishi
Ukiangalia takwimu/data hizo utagundua bei ya maharage na nyama kwa Tanzania ni chini ya bei ya wastani
Usibishane tu.Onesha ulivyo na akili zifanyazo kazi hata kwa kutulia na kujitafakari.Mimi sio wewe mwenye akili Jaba Ila zimeshikwa na Lissu wewe mwenyewe huna akili, huna kitu cha kuhoji kila kitu ndio ndio mfia chama