Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
[emoji38][emoji38][emoji38]Tuambue na GDP/ per Capita Yao ni ngapi kulinganisha na Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38]Tuambue na GDP/ per Capita Yao ni ngapi kulinganisha na Tanzania
Na kipato cha wabelgiji ni sawasawa na cha wabongo! Na Brussels tiketi ya daladala ni euro 2.4 kama shilingi 6100. Sema na hilo.
Amandla.
Hivi unajua kuna kipindi dola moja ilikuwa ni sawa na shilingi 7 za kitanzania? Kwa kuwa sasa hakuna shilingi 2 hivyo thamani sio halisi.No mkuu ,fikiria zaidi ya hapo, swali kama Brussels mkate ni 2usd why Dar usiwe 2 ths?,nijibu kwanza
Yes sasa tunaanza kuelewana, chanzo cha daladala, kipindi hicho ilikua 5ths ma pound 20ths, sasa what's went wrong hadi kufikia 1usd iwe 2300ths ?,1usd ni sawa na 17 ZWK?Hivi unajua kuna kipindi dola moja ilikuwa ni sawa na shilingi 7 za kitanzania? Kwa kuwa sasa hakuna shilingi 2 hivyo thamani sio halisi.
Dola ndio kipimo cha bei duniani na ni wewe tu ukitaka kusema thamani ya dola 1 iwe ni sawa na shilingi 1 lakini hakikisha una hela inayotambulika kwenye soko LA dunia
Kweli mkapa akukosea neno wapimbuvu na mko wengi kweli kwaiyo uchumi wa ubelgiji una fanana na Tanzania ,SS watanzania sijui tumelwogwa ,Siku Lissu alivyotua nchini wakati akiwahutubia wananchi wa Temeke alionesha kushangazwa na bei za nyama na maharage nchini Tanzania.
Binafsi ninaona Lissu alizungumza kwa lengo la kupotosha na kwa kuwa nilisema nitakuwepo hapa kila hoja ya wapinzani naomba nitumie jukwaa hili kufanya hivyo na hapa nitatumia takwimu.
Zifuatazo ni takwiku za bei ya nyama na maharage nchini ubelgiji alipokuwepo Lissu na katika soko la dunia.
Belgium - Beans - price, March 2024 | GlobalProductPrices.com
The price is 5.21 USD. The average price for all countries is 3.80 USD. The database includes 66 countries.www.google.com
Belgium - Beef - price, December 2024 | GlobalProductPrices.com
The price is 13.04 USD. The average price for all countries is 14.77 USD. The database includes 78 countries.www.google.com
Lissu anaonesha kushangazwa na kupanda kwa bei na hapo takwimu zinaonesha vitu vimepanda bei sana kwenye soko la dunia na hata huko ubelgiji alipokuwa anaishi
Ukiangalia takwimu/data hizo utagundua bei ya maharage na nyama kwa Tanzania ni chini ya bei ya wastani
Ngoja nikulaisishie, kama dunia nzima tungekuwa na sarafu moja, so mkate wa 1200tzs ambao Kwa Brussels ni 2usd, tz nitaununua 1.1usd, nazani ntakuwa nimeeleweka.No mkuu ,fikiria zaidi ya hapo, swali kama Brussels mkate ni 2usd why Dar usiwe 2 ths?,nijibu kwanza
Kwani bidhaa kwenye soko la dunia bei zinapangwa kutokana na uchumi huyu ni wa uchumi wa kati, wa kwanza au wa tatu au kwa kuangalia upatikanaji na uhitaji?Kweli mkapa akukosea neno wapimbuvu na mko wengi kweli kwaiyo uchumi wa ubelgiji una fanana na Tanzania ,SS watanzania sijui tumelwogwa ,
Hatuoni depreciation ya dola kwa sababu yenyewe ndio medium of exchange lakini ingekuwepo sarafu nyingine ya kuievaluate dola nafikiri hili swali usingeniulizaYes sasa tunaanza kuelewana, chanzo cha daladala, kipindi hicho ilikua 5ths ma pound 20ths, sasa what's went wrong hadi kufikia 1usd iwe 2300ths ?,1usd ni sawa na 17 ZWK?
wewe mpuuzi kwelikweli aiseeSiku Lissu alivyotua nchini wakati akiwahutubia wananchi wa Temeke alionesha kushangazwa na bei za nyama na maharage nchini Tanzania.
Binafsi ninaona Lissu alizungumza kwa lengo la kupotosha na kwa kuwa nilisema nitakuwepo hapa kila hoja ya wapinzani naomba nitumie jukwaa hili kufanya hivyo na hapa nitatumia takwimu.
Zifuatazo ni takwiku za bei ya nyama na maharage nchini ubelgiji alipokuwepo Lissu na katika soko la dunia.
Belgium - Beans - price, March 2024 | GlobalProductPrices.com
The price is 5.21 USD. The average price for all countries is 3.80 USD. The database includes 66 countries.www.google.com
Belgium - Beef - price, December 2024 | GlobalProductPrices.com
The price is 13.04 USD. The average price for all countries is 14.77 USD. The database includes 78 countries.www.google.com
Lissu anaonesha kushangazwa na kupanda kwa bei na hapo takwimu zinaonesha vitu vimepanda bei sana kwenye soko la dunia na hata huko ubelgiji alipokuwa anaishi
Ukiangalia takwimu/data hizo utagundua bei ya maharage na nyama kwa Tanzania ni chini ya bei ya wastani
Tayari Lissu yuko popular ndiyo maana umepinda mgongo kumjadili,mbona tusimjadili babako hapa. Wivu tu unakusumbua. CHAWAPole sana BAVICHA mshauri lissu aache kutafuta cheap popularity
Huna akili.Mimi sio wewe mwenye akili Jaba Ila zimeshikwa na Lissu wewe mwenyewe huna akili, huna kitu cha kuhoji kila kitu ndio ndio mfia chama
Ngoja nikae kimya wewe una akili mkuu umeshinda, sitaki kupigwa banHuna akili.
Ishu sio bei ishu ni uwezo wa kipato cha mwananchi kuweza kumudu iyo bei, uwezi kutoa hitimisho kwa bei tu bila kuangalia factors zingine kama kodi, tozo, inflation rate, mzunguko wa pesa, wastani kima cha mshahara/kipato cha mwananchi n.kSiku Lissu alivyotua nchini wakati akiwahutubia wananchi wa Temeke alionesha kushangazwa na bei za nyama na maharage nchini Tanzania.
Binafsi ninaona Lissu alizungumza kwa lengo la kupotosha na kwa kuwa nilisema nitakuwepo hapa kila hoja ya wapinzani naomba nitumie jukwaa hili kufanya hivyo na hapa nitatumia takwimu.
Zifuatazo ni takwiku za bei ya nyama na maharage nchini ubelgiji alipokuwepo Lissu na katika soko la dunia.
Belgium - Beans - price, March 2024 | GlobalProductPrices.com
The price is 5.21 USD. The average price for all countries is 3.80 USD. The database includes 66 countries.www.google.com
Belgium - Beef - price, December 2024 | GlobalProductPrices.com
The price is 13.04 USD. The average price for all countries is 14.77 USD. The database includes 78 countries.www.google.com
Lissu anaonesha kushangazwa na kupanda kwa bei na hapo takwimu zinaonesha vitu vimepanda bei sana kwenye soko la dunia na hata huko ubelgiji alipokuwa anaishi
Ukiangalia takwimu/data hizo utagundua bei ya maharage na nyama kwa Tanzania ni chini ya bei ya wastani
Una elimu hata ya kupiga hesabu za mfumuko wa Bei!?Zitto si ni wenu hivyo ni lazima umfagilie tu lakini ukweli unabaki palepale kwamba mfumuko wa bei ni zaidi ya 30% lakini serikali inatudanganya kwamba ni single digit.
Hebu tuletee na kipato cha raia wa Belgium vs Tanzania ili tupate ulinganisho wa kisayansiSiku Lissu alivyotua nchini wakati akiwahutubia wananchi wa Temeke alionesha kushangazwa na bei za nyama na maharage nchini Tanzania.
Binafsi ninaona Lissu alizungumza kwa lengo la kupotosha na kwa kuwa nilisema nitakuwepo hapa kila hoja ya wapinzani naomba nitumie jukwaa hili kufanya hivyo na hapa nitatumia takwimu.
Zifuatazo ni takwiku za bei ya nyama na maharage nchini ubelgiji alipokuwepo Lissu na katika soko la dunia.
Belgium - Beans - price, March 2024 | GlobalProductPrices.com
The price is 5.21 USD. The average price for all countries is 3.80 USD. The database includes 66 countries.www.google.com
Belgium - Beef - price, December 2024 | GlobalProductPrices.com
The price is 13.04 USD. The average price for all countries is 14.77 USD. The database includes 78 countries.www.google.com
Lissu anaonesha kushangazwa na kupanda kwa bei na hapo takwimu zinaonesha vitu vimepanda bei sana kwenye soko la dunia na hata huko ubelgiji alipokuwa anaishi
Ukiangalia takwimu/data hizo utagundua bei ya maharage na nyama kwa Tanzania ni chini ya bei ya wastani
Unajua Bei freshbeans wewe unadhani wanakula sana soya yako yakokoto yenyevumbi na imekauka ya mwakajana yakutoka mbeyaHaya tuwekee na daraja la maharage
Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa.Siku Lissu alivyotua nchini wakati akiwahutubia wananchi wa Temeke alionesha kushangazwa na bei za nyama na maharage nchini Tanzania.
Binafsi ninaona Lissu alizungumza kwa lengo la kupotosha na kwa kuwa nilisema nitakuwepo hapa kila hoja ya wapinzani naomba nitumie jukwaa hili kufanya hivyo na hapa nitatumia takwimu.
Zifuatazo ni takwiku za bei ya nyama na maharage nchini ubelgiji alipokuwepo Lissu na katika soko la dunia.
Belgium - Beans - price, March 2024 | GlobalProductPrices.com
The price is 5.21 USD. The average price for all countries is 3.80 USD. The database includes 66 countries.www.google.com
Belgium - Beef - price, December 2024 | GlobalProductPrices.com
The price is 13.04 USD. The average price for all countries is 14.77 USD. The database includes 78 countries.www.google.com
Lissu anaonesha kushangazwa na kupanda kwa bei na hapo takwimu zinaonesha vitu vimepanda bei sana kwenye soko la dunia na hata huko ubelgiji alipokuwa anaishi
Ukiangalia takwimu/data hizo utagundua bei ya maharage na nyama kwa Tanzania ni chini ya bei ya wastani
Eti ameandaliwa Suphian ndo maana kaachwa kwenye mkeka wa MaDC.Kujibu Hoja za Tundu Lisu kunahitaji.akili kubwa
Hapa TAL hajaanza anapiga Jalamba tu!
Zinaanza kukurudia,usinywe viroba tena.Ngoja nikae kimya wewe una akili mkuu umeshinda, sitaki kupigwa ban
Suphian Juma huyu ni mshereheshaji kwenye kitchen party za wamama wa UWTEti ameandaliwa Suphian ndo maana kaachwa kwenye mkeka wa MaDC.