Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
1: Kuhusu mke wa Emmanuel Muhimbo(Josephine musumbushi ambaye leo unaishi naye kama Mchumba wako)

2: Kuhusu kupanga nyumba ya Abla apertment pale kijito nyama huku ukilipa shilingi laki 2.5

3: Kuhusu kulazimisha chama chako kikulipe stahiki zote za mbunge kwa kujitoa kwako kugombea Ubunge na kupeperusha bendera ya urais

4. Elimu yako iliyojaa utata kutoka cheti hadi shahada ya uzamivu

5: Safari yako ya Nchi za Ulaya na mahusiano ya misaada uliyopata kuelekea uchaguzi mkuu

6: Kuhusu kadi ya CCM unayoimiliki na kuilipia mpaka sasa ilihali za wale wanaojiunga na chadema unazichoma moto. Kuna mantiki gani hapa?

Ttzo mnapenda sana posho ndio mahna mbka unajitoa akli na kuuliza maswali mepesi kma aya
 
Duuuhh kazi kweli kweli, niliposoma "heading" nilidhani ni tuhuma. Nakushauri mtoa mada Acha kua "kidaka tonge".
 
Maswali yako hayo yote majibu anayo Nape,

Ndugu Yericko Nyerere! ingawa umekuwa ukiiba maandiko ya watu na kuyapachika hapa jukwaani na kuyafanya yako, unaonekana una akili kidogo.

Kwamba, kwa muono wako, unadhani maswali haya hayapaswi kujibiwa na Slaa?

Kwamba, unadhani kuwa, Slaa ni malaika hivyo hapaswi kuguswa?

Kwamba, maadam amejipambanua kuwa, yeye ni mgombea Urais kupitia Ukawa kama alivyowaambia wamerekani wa chuo kimojawapo cha kilimo miezi miwili iliyopita; hatuna budi kujiridhisha na mgombea huyo.
 
Teh Teh...kutoka cheti akaenda Phd...
Bavicha hakika hawana pakuficha sura zao! Kuhusu hilo la mke wa mtu case itatajwa tare 10 october...!
Mke wa mtu ni sumu!
 
Wananchi wakitaka CCM wajibu tuhuma mtajibu zipi?
Lowassa ajibu tuhuma za ufisadi kupitia richmond..
JK ajibu tuhuma za ESCROW kwanza...
 
1: Kuhusu mke wa Emmanuel Muhimbo(Josephine musumbushi ambaye leo unaishi naye kama Mchumba wako)

2: Kuhusu kupanga nyumba ya Abla apertment pale kijito nyama huku ukilipa shilingi laki 2.5

3: Kuhusu kulazimisha chama chako kikulipe stahiki zote za mbunge kwa kujitoa kwako kugombea Ubunge na kupeperusha bendera ya urais

4. Elimu yako iliyojaa utata kutoka cheti hadi shahada ya uzamivu

5: Safari yako ya Nchi za Ulaya na mahusiano ya misaada uliyopata kuelekea uchaguzi mkuu

6: Kuhusu kadi ya CCM unayoimiliki na kuilipia mpaka sasa ilihali za wale wanaojiunga na chadema unazichoma moto. Kuna mantiki gani hapa?
Hayo maswali matano ni muhimu kuyajibu lakini ili la kupanga Apartment kwa laki 2.5 namtetea Dr.Slaa siyo gharama ni bei za kawaida au ni milioni 2.5?
 
Slaa anawatumia BAVICHA na wajinga wachache kwa kisingizio cha ukombozi wakati yeye hana nia hasa lengo lake ni tumbo.
 
Tuhuma za kipuuzi hazstahili kujibiwa ata kdogo coz hazna maslah kwa taifa..et mke,kad ya ccm,kupanga nyumbaa..nk ivyo vina maslai gan kwa taifa letu sasa..watu wengne bana
 
Tuhuma za kipuuzi hazstahili kujibiwa ata kdogo coz hazna maslah kwa taifa..et mke,kad ya ccm,kupanga nyumbaa..nk ivyo vina maslai gan kwa taifa letu sasa..watu wengne bana
Mkuu jaribu kuandika vizuri JF kuna great thinkers huu uandishi wako wa Facebook hauna nafasi JF.
 
1: Kuhusu mke wa Emmanuel Muhimbo(Josephine musumbushi ambaye leo unaishi naye kama Mchumba wako)

2: Kuhusu kupanga nyumba ya Abla apertment pale kijito nyama huku ukilipa shilingi laki 2.5

3: Kuhusu kulazimisha chama chako kikulipe stahiki zote za mbunge kwa kujitoa kwako kugombea Ubunge na kupeperusha bendera ya urais

4. Elimu yako iliyojaa utata kutoka cheti hadi shahada ya uzamivu

5: Safari yako ya Nchi za Ulaya na mahusiano ya misaada uliyopata kuelekea uchaguzi mkuu

6: Kuhusu kadi ya CCM unayoimiliki na kuilipia mpaka sasa ilihali za wale wanaojiunga na chadema unazichoma moto. Kuna mantiki gani hapa?
Hivi waijua maana ya ulichokileta jukwaani? Hilo la kumtafuta na kujaribu kumchafua Dr.Slaa kwa vijutuhuma vya kitoto umeshashindwa kabla ya october.
Hebu lieleze jukwaa juu ya matuhuma yaliyoibuliwa na DR. Slaa juu a epa, richmond na ile ya rada na ambazo zilisababisha serikali kuangukia pua mara nne na kujibadilishia baraza la mawaziri na ambazo zimewakimbiza wahisani mtajisafishaje kwa wananchi?
Jipangeni kujibu kwa wapiga kura mje na hoja na sio zile blabla na vijikofia mliozoea kuwapa wazee vijijini. Isitoshe, Slaa hakupata udoctor china, na hakuna wa kushindana naye kutoka ccm kwa sasa. Songa dr. ukatuletee ukombozi wa kifikra ACHANA NA MLETETA HOJA HUYU:yawn:.
 
"Lissu anasema nimepewa magari 2 na Mzee Mkono. Anasema kaambiwa na Mkono. NaaminiMkono alimwambia pia mwaka 2005 alimpa Freeman Aikaeli Mbowe tshs 40m ili Mbowe asifanye kampeni Musoma vijijini.

Nadhani alimwambia pia mwaka
2008 (baada ya orodha ya mafisadi kutangazwa 2007) Mkono alimpa Freeman tshs 20m za uchaguzi wa Tarime na Freeman akasema kwenye chama ametoa mkopo na akalipwa. Nadhani alimwambia pia kuwa Mwaka 2010 Mkono alimpa Mbowe tshs 200m za kampeni ya Slaa.

Pia
hakusahau kumwambia kuwa Rostam Aziz alimpa Mbowe tshs 100m za kampeni. Lissu anajua kuwa gazeti la Tanzania Daima limeanzishwa na fedha za chama kutoka Conservative party?

Nimefanya internship yangu kwa
Mkono and Company Advocates kuhusu masuala ya mikataba. Mzee Mkono ni Mzee wangu na alisaini petition ya kumtoa Waziri Mkuu Pinda. Lissu awaambie waliyemtuma wamwambie ukweli wote. Lissu ajue yeye ni kifaranga tu, Mimi namtaka mama wa kifaranga ajitokeze. Aeleze aliingia deal gani na Kinana na Sumaye mwaka 2005 kufuatia deni lake NSSF. Aweke wazi mkataba kati yake na NHC kuhusu nyumba ya Umma ilipo Club Bilicanas.

They must know I am not a push over. Chacha died, I won't. Mtu ambaye hawezi kuheshimu mke wake aliyemzalia watoto hawezi kunyooshea mtu kidole kuhusu maadili."
 
:A S angry::lalala:😛ray2::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1: image.jpg
 
Back
Top Bottom