Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
apo ndipo unazidi kuniaminisha kuwa CCM ni chama bora.

Huyo Lowassa wanamjuwa na anaijuwa CCM vizuri sana kwa miaka mingi sana lakini kashindwa kuinunuwa, hakukidhi vigezo na fedha zake zote, katemwa.

Wajanja, fedha zake wamekula na kumtema wamemtema, lakini kwa uchu wake wa madaraka hajakoma! Sasa analiwa tena huko na Ikulu atsikia kwenye redio tu.

Mbowe ni mchagga na mchagga aziachie pesa zimpite? Si atachekwa.

Mbowe anajuwa wazi chadema haiwezi kutowa Rais, lakini Urais waukose na pesa wazikose? Na zimejileta zenyewe? Hata kama ni mimi ningemwambia "ahlan wasahlan".

Nnaowasikitikia ni wale "wapumbavu na malofa" wanaofikiri kuwa watashinda.

Slaa nae masikini ya mungu, wachagga mshiko hawajampa kakasirika anabwabwaja hovyp, lakini ni safi kwetu, wacha watafunane wenyewe kwa wenyewe. Vita vya panzi...

Wajinga Ndiyo Waliwao.

Hongera kada la magamba kwa kutegwa na kutegeka.Pole kwa kutokujua kuwa Chama Chenu kina mpango mbaya na mradi wa gesi na mifano mingi tumeiona katika sekta mbalimbali ikiwemo madini nk.
 
CCM hamuwezi kushinda uchaguzi kwa kutukana kukashifu kuwazushia mabaya wapinzani wenu....tuliwaamini ccm tukawapa muda wa kutosha kutuongoza huu si wakati wa Magufuli kuzidi kutoa ahadi bali ni wakati wa kutuambia mmetufanyia nn kwa kipindi chote hicho tulichowaamini, siasa za maji taka si za kizazi hiki tuanawapotezea tu. INSHALLAH 2015 Lowassa anatosha.
 
Sina hakika sana kama Watz tunahitaji vijembe na kuchafuana kwa wanasiasa bali tunahitaji wanasiasa watakaotuwezesha kutoka kwenye hili dibwi la umaskini, ujinga, maradhi, rushwa, uonevu wa wenyenacho na matatizo kibao yaliyotujaa wanyonge wa Tz. Tusaidieni kutoka hapo waheshimiwa na si vinginevyo hayo hayana tija kwetu kwa sasa
 
CCM hamuwezi kushinda uchaguzi kwa kutukana kukashifu kuwazushia mabaya wapinzani wenu....tuliwaamini ccm tukawapa muda wa kutosha kutuongoza huu si wakati wa Magufuli kuzidi kutoa ahadi bali ni wakati wa kutuambia mmetufanyia nn kwa kipindi chote hicho tulichowaamini, siasa za maji taka si za kizazi hiki tuanawapotezea tu. INSHALLAH 2015 Lowassa anatosha.

Soma post namba moja, kuna CCM hapo?
 
Wewe mama muislam halafu unaleta chuki za kikabilA uchaga upemba uzalamu haya mambo hayafai usitupe misingi yako ya dini kwa mambo ya kidunia acha kufarakanisha watu wape nasaha hata kama mnatofAutiana
 
Ha ha yaani huyu zito ni kilaza kwani mbowe anagombea nini mpk aanze kumrukia Rukia. Wameshindwa lowassa sasa kaja na plan za mbowe
 
Mbowe ndiye aliyemwokota na kumpandisha kisiasa yaani tunaita Godfather,hizo ni dalili za kukata tamaa na utovu wa nidhamu na kukosa shukrani
This is too low. Kumwokota kunahalalisha kupokea mapesa yanayotajwa toka kwa hao tulioambiwa ndio maadui wa nchi? Mama kifaranga alitakiwa atupatie majibu ya tuhuma hizi nzito. Subirini uchaguzi umalizike mtatueleza.
 
Back
Top Bottom