Zitto ataka wabunge wote walioko Dodoma wawekwe kwenye karantini

Zitto ataka wabunge wote walioko Dodoma wawekwe kwenye karantini

supika tu ajiangalie sana Corona ni mahiiri Kama Messi ndani ya 18 kwenye umaliziaji, haikukosi na haikupi nafasi ya kurudi India

Huyu mwambafy Ndugai this time around anachezea shilingi kwa tundu ya choo!!
Mara....chubwi!!!!Kitakachofuata ni.......!
 
Wabunge wa Tanzania wengi ni wajinga sana jana pamoja na kwamba wanajifanya kusema bungeni hawajali kabisa jana nimekuta na mbunge eti anataka kunipa mkono yaani ananiamini kiasi gani mpaka anipe mkono.

Anataka KURA yako hivo huko ni katika kuweweseka!!Hana uhakika Kama 2021 atarudi mjengoni!!!
 
Unaweza kukuta hiki kirusi kilitengenezwa na Bill gate! He is so obsessed na vaccination inayoendana na kupandikizwa microchip ya computer ili kufuatilia mienendo ya mahali mtu alipo!
 
Mbona ni kama upande wa pili wamepagawa na kugeuka kama vile ni mfa maji ambaye haishi kutapatapa.
 
Ni kweli serikali yetu si sikivu. Kinachonishangaza, hata Hawa tunaowatumainia "viongoz wa vyama shindani" wameshindwa kutoa mapendekezo, ya kudonate walau posho za vikao vya Bunge, ili fedha hizo zije kusaidia frontliners kwenye mapambano haya. Wafanyakazi wengi wa afya wameambukizwa kwa sababu ya kukosa PPE. Serikali inakusanya mabilioni kila siku, lkn hazionekani zinafanya nn.mh Zitto liangalie hili, mtusaidie. We are dying.
 
Habari kutoka Bungeni Kama ilivotolewa na Naibu Spika Tulia ya kwamba kuna Mbunge mmoja amepatikana na maambukizi ya Covid-19 zinasikitisha,zinatisha na zinanyong'onyesha katika mapambano dhidi ya Covid-19!

Kabla ya Bunge kuanza watu walishaingiliana Bunge liahirishwe kutokana na tishio la Covid-19. Lakini Spika Ndugai alikuja na hoja dhaifu za kuwa ATI Kuna mikakati imara itakayo wahakikishia Wabunge kuwa watakuwa salama wa salimini.

Hata baada ya Bunge kuanza Kuna Wabunge wa Upinzani kina Mh.Mbowe.Lema, Halima Mdee. Mch. Msigwa na Matiko WALISHAURI WABUNGE WAPIMWE KWANZA ILI KUJUA AFYA ZAO KABLA YA KUENDELEA NA KIKAO. Siku zote Wapinzani hata wakiwa na hoja yenye mashiko inawekwa kapuni.

Sasa Basi kwa Hali hii Mhe. Job Ndugai Spika wa Bunge la JMT na Tulia Ackson Naibu wa Spika mpigieni simu Rais Magufuli kumtaarifu kuwa maji yamezidi Unga na Ni LAZIMA BUNGE LIAHIRISHWE MARA MOJA NA WABUNGE WOTE WAPIMWE COVID-19 NA WAENDE QUARANTINE YA SIKU 14.

Nje ya hapo ni kutaka kuliangamiza Taifa kwa UZEMBE ulio wazi na dhahiri na kwa hili CCM mtawajibika mbele za Mungu na Watanzania wote.

Nawasilisha.
Naona watu wanajali posho zao
 
Ujumbe wake huu hapa chini kupitia twitter:

Wabunge wote mliopo Dodoma muwekwe karantini, mpimwe na mfuatiliwe ( contact tracing ). Minister Mwalimu there shall be no two set of laws - for MPs and for the people. Wabunge watengwe, wapimwe na wafuatiliwe. Tulishauri toka mwanzo kuwa Bunge lisiendelee na vikao. Ni hatari

au hivyo vikao vyao viwe sehemu ya karantini
 
Nadhani wewe hauko katika science field and how it is done. Gates hakuna anachokifaya related to vaccines bila kibali cha WHO and standard protocols za WHO! Ni wahuni wa mitaani USA ndio wanafanya petition hiyo!
Lazima at the end of the tunnel experimentation ifanyike kwa binadamu kama last step!

“Vaccines, for Bill Gates, are a strategic philanthropy that feed his many vaccine-related businesses (including Microsoft’s ambition to control a global vac ID enterprise) and give him dictatorial control over global health policy—the spear tip of corporate neo-imperialism,” Kennedy Jr. wrote.

“Gates’ obsession with vaccines seems fueled by a messianic conviction that he is ordained to save the world with technology and a god-like willingness to experiment with the lives of lesser humans.”
 
Mpaka unahisi mwili kutetemeka. Kuna kipindi huyu Bill gates alikuja Tanzania,akafika hadi Tanga,ndani ndani huko ,akakutana na watu maskini kabisa/ watoto wa mitaani. Nafikiri alitoa/aligawa misaada!!
 
Anataka posho tu huyu wakiwa karantini posho zinaingia
 
Hivi kuna ujinga dunia hii kama kuaminisha watu kwamba wakisali hawapati coronavirus na kwamba eti barakoa ni "mavitambaa ya puani"?!

Kuna ujinga kama huo, na bado kuna mazuzu wanaendelea kutetea ujinga huo!
 
Back
Top Bottom