Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Kwani haiwezekani kuendesha vikao vya Bunge online?
kuna wabunge wengine makada hata online wanajua ni kitu gani ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani haiwezekani kuendesha vikao vya Bunge online?
Lema ndie alikuwa wa kwanza kutoa wazo la wabunge kupimwa kwa vile Mh Mbowe alitoka kwenye kujifungia
Sent using Jamii Forums mobile app
Si walipewa na Ipad hawa bado wanaenda bungeni tu ????Kwani haiwezekani kuendesha vikao vya Bunge online?
Mawazo yenye akili hayatakiwi... walipozima bunge live walimaanisha sisi na technology tu mbalimbali...Kwani haiwezekani kuendesha vikao vya Bunge online?
Ipad ni za kuringishia huko mitaani...Si walipewa na Ipad hawa bado wanaenda bungeni tu ????
Loh!Tumeshalikoroga.
Acha tu tulinywe
Sasa imeanza kuwatafuna ndio watatia akili.Wabunge wa Tanzania wengi ni wajinga sana jana pamoja na kwamba wanajifanya kusema bungeni hawajali kabisa jana nimekuta na mbunge eti anataka kunipa mkono yaani ananiamini kiasi gani mpaka anipe mkono.
Hizi conspiracy theory tu.Unaweza kukuta hiki kirusi kilitengenezwa na Bill gate! He is so obsessed na vaccination inayoendana na kupandikizwa microchip ya computer ili kufuatilia mienendo ya mahali mtu alipo!
Halafu wakishajua mtu kama mimi nipo pandagichiza wanafaidika na niniUnaweza kukuta hiki kirusi kilitengenezwa na Bill gate! He is so obsessed na vaccination inayoendana na kupandikizwa microchip ya computer ili kufuatilia mienendo ya mahali mtu alipo!
Job alivyo na afya mbovu ikimpata hafikishi siku 2 mbili chali,tunampeleka kongwaHabari kutoka Bungeni Kama ilivotolewa na Naibu Spika Tulia ya kwamba kuna Mbunge mmoja amepatikana na maambukizi ya Covid-19 zinasikitisha,zinatisha na zinanyong'onyesha katika mapambano dhidi ya Covid-19!
Kabla ya Bunge kuanza watu walishauri Bunge liahirishwe kutokana na tishio la Covid-19. Lakini Spika Ndugai alikuja na hoja dhaifu za kuwa ATI Kuna mikakati imara itakayo wahakikishia Wabunge kuwa watakuwa salama wa salimini ndani ya mjengo!
Hata baada ya Bunge kuanza Kuna Wabunge wa Upinzani kina Mh.Mbowe.Lema, Halima Mdee. Mch. Msigwa na Matiko WALISHAURI WABUNGE WAPIMWE KWANZA ILI KUJUA AFYA ZAO KABLA YA KUENDELEA NA KIKAO. Siku zote Wapinzani hata wakiwa na hoja yenye mashiko inawekwa kapuni!!
Sasa basi kwa Hali hii Mhe. Job Ndugai Spika wa Bunge la JMT na Tulia Ackson Naibu wa Spika mpigieni simu Rais Magufuli kumtaarifu kuwa maji yamezidi Unga na Ni LAZIMA BUNGE LIAHIRISHWE MARA MOJA NA WABUNGE WOTE WAPIMWE COVID-19 NA WAENDE QUARANTINE YA SIKU 14.
Nje ya hapo ni kutaka kuliangamiza Taifa kwa UZEMBE ulio wazi na dhahiri na kwa hili CCM mtawajibika mbele za Mungu na Watanzania wote.
Nawasilisha.
Wabunge wa ccm wabaki ili wapukutike kwa kutuletea matatizoAu bunge livunjwe tu!
Lema aliwaambia anawapa wiki tatu tu corona itaanza kuwatafuna na sasa yanatimia.Walifuata posho hivyo hawawezi elewa mpaka waishe wote
Wabunge wa Tanzania wengi ni wajinga sana jana pamoja na kwamba wanajifanya kusema bungeni hawajali kabisa jana nimekuta na mbunge eti anataka kunipa mkono yaani ananiamini kiasi gani mpaka anipe mkono.
Ila So far Corona anajizungusha sana, I Wish apige Kichwa cha muhimili mojawapo maana hii mihimili imejawa Kiburi mnoUjumbe wake huu hapa chini kupitia twitter:
Wabunge wote mliopo Dodoma muwekwe karantini, mpimwe na mfuatiliwe ( contact tracing ). Minister Mwalimu there shall be no two set of laws - for MPs and for the people. Wabunge watengwe, wapimwe na wafuatiliwe. Tulishauri toka mwanzo kuwa Bunge lisiendelee na vikao. Ni hatari
Mzalendo2015Kuna Wabunge wapuuzi hizo Posho zitatumika kwenye gharama za maziko na arobaini ama za ndugu zao au wao wenyewe!!!
So sorry to say that!!!!