Zitto ataka wabunge wote walioko Dodoma wawekwe kwenye karantini

Zitto ataka wabunge wote walioko Dodoma wawekwe kwenye karantini

Lema ndie alikuwa wa kwanza kutoa wazo la wabunge kupimwa kwa vile Mh Mbowe alitoka kwenye kujifungia

Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo ni kasema nani? Maadamu hoja imetoka CHADEMA kwa MPINZANI hata kama hoja hiyo Ina mashiko namna gani LAZIMA ITUPWE NJE! Reason: Wapinzani watapata credits au umaarufu wa kuing'oa CCM madarakani! Akili mfu kabisa!!
 
Unaweza kukuta hiki kirusi kilitengenezwa na Bill gate! He is so obsessed na vaccination inayoendana na kupandikizwa microchip ya computer ili kufuatilia mienendo ya mahali mtu alipo!
Halafu wakishajua mtu kama mimi nipo pandagichiza wanafaidika na nini

"corona ipo tuchukue tahadhari"
 
Habari kutoka Bungeni Kama ilivotolewa na Naibu Spika Tulia ya kwamba kuna Mbunge mmoja amepatikana na maambukizi ya Covid-19 zinasikitisha,zinatisha na zinanyong'onyesha katika mapambano dhidi ya Covid-19!

Kabla ya Bunge kuanza watu walishauri Bunge liahirishwe kutokana na tishio la Covid-19. Lakini Spika Ndugai alikuja na hoja dhaifu za kuwa ATI Kuna mikakati imara itakayo wahakikishia Wabunge kuwa watakuwa salama wa salimini ndani ya mjengo!

Hata baada ya Bunge kuanza Kuna Wabunge wa Upinzani kina Mh.Mbowe.Lema, Halima Mdee. Mch. Msigwa na Matiko WALISHAURI WABUNGE WAPIMWE KWANZA ILI KUJUA AFYA ZAO KABLA YA KUENDELEA NA KIKAO. Siku zote Wapinzani hata wakiwa na hoja yenye mashiko inawekwa kapuni!!

Sasa basi kwa Hali hii Mhe. Job Ndugai Spika wa Bunge la JMT na Tulia Ackson Naibu wa Spika mpigieni simu Rais Magufuli kumtaarifu kuwa maji yamezidi Unga na Ni LAZIMA BUNGE LIAHIRISHWE MARA MOJA NA WABUNGE WOTE WAPIMWE COVID-19 NA WAENDE QUARANTINE YA SIKU 14.

Nje ya hapo ni kutaka kuliangamiza Taifa kwa UZEMBE ulio wazi na dhahiri na kwa hili CCM mtawajibika mbele za Mungu na Watanzania wote.

Nawasilisha.
Job alivyo na afya mbovu ikimpata hafikishi siku 2 mbili chali,tunampeleka kongwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulieni msiseme seme watastukia issue, nyie tulieni kimyaaa Corona iko nao bungeni tayari na watatia akili

Next time waafrika hasa watawala wa hii Jamhuri watajifunza kuheshimu mambo kama haya maana waliambiwa kitambo.
Kwanza wengi wao wagonjwa wa pressure na kisukari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabunge wa Tanzania wengi ni wajinga sana jana pamoja na kwamba wanajifanya kusema bungeni hawajali kabisa jana nimekuta na mbunge eti anataka kunipa mkono yaani ananiamini kiasi gani mpaka anipe mkono.

sifa kubwa ili uwe mbunge ni kujua kusoma na kuandika mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ujumbe wake huu hapa chini kupitia twitter:

Wabunge wote mliopo Dodoma muwekwe karantini, mpimwe na mfuatiliwe ( contact tracing ). Minister Mwalimu there shall be no two set of laws - for MPs and for the people. Wabunge watengwe, wapimwe na wafuatiliwe. Tulishauri toka mwanzo kuwa Bunge lisiendelee na vikao. Ni hatari

Ila So far Corona anajizungusha sana, I Wish apige Kichwa cha muhimili mojawapo maana hii mihimili imejawa Kiburi mno
 
Back
Top Bottom