Kesi ya Mbowe iliwndaliwa na jini jiwe. Sukuma gang ndiyo wameamua kumkqmata awamu ya 6Tundu Lisu hajarudi ? Mbona Mbowe kapewa kesi ya ugadj katika awamu hii ya 6. Je awam hii ni kifisadi ?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na aliwahi kusikika pia akisema Yeye na Mtangulizi wake ni kitu kimoja.Aliwahi kusikika akisema "ukinizingua tunazinguana" sasa sijui kwanini ilaumiwe awamu ya tano.
Nahisi atakuwa na tatizo la kumbukumbu.
Magufuli hakwepi lawama za kesi ya Mbowe. Wenzake na Mbowe wako ndani tangu 2018Hivi Magufuli kama kwl ndy aliyekuwa na visasi?
Hivi mbowe kakamatwa wakati wa Magufuli?
Hivi wale uamsho walitolewa na nani mahabusu?
Na kama waliopo madarakani wanafata ya Magufuli kuna Mambo mangapi ya Magufuli ,, yameyageukwa?
Walishindwa nn kutokumkamata mbowe na kumpa kesi ya ugaidi?
Mbowe amematwa na kupewa kesi ya ugaidi kila mtu anafahamu tatizo ni nn?
Tatizo ni kudai katiba mpya,,tena walisema wataitisha maandamano bila kikomo inchi nzima.
Hilo pia sababu ni Magufuli?
Ama kweli marehemu Hana haki..
Atasingiziwa kila kinachotokea hapa Tanzania.
Tuwache siasa za kinafiki,,tuwe wakweli.
Ifike kipindi ukweli usemwe na sio kumsingizia Magufuli kila kukicha..
Zitto ni mjumbe katuletea ujumbe kwani ameshajua yatakayojiri ..Zitto ni. tatizo sana, ameshasahau kama aliwahi kubishana na MMM twitter kuhusu hii kesi akidai alipanga mipango miovu na Mbowe.
Walioamua kumkamata wakina nani?Kesi ya Mbowe iliwndaliwa na jini jiwe. Sukuma gang ndiyo wameamua kumkqmata awamu ya 6
Wanatapatapa Sana japo huyu jamaa wanajaribu kumchafua ila falsafa zake ni kaa la Moto Sana na uzuri yeye alikuwa anasema kila kitu musimamo yake inajulikanaHivi Magufuli kama kwl ndy aliyekuwa na visasi?
Hivi mbowe kakamatwa wakati wa Magufuli?
Hivi wale uamsho walitolewa na nani mahabusu?
Na kama waliopo madarakani wanafata ya Magufuli kuna Mambo mangapi ya Magufuli ,, wameyageuka?
Walishindwa nn kutokumkamata mbowe na kumpa kesi ya ugaidi?
Mbowe amematwa na kupewa kesi ya ugaidi kila mtu anafahamu tatizo ni nn?
Tatizo ni kudai katiba mpya,,tena walisema wataitisha maandamano bila kikomo inchi nzima.
Hilo pia sababu ni Magufuli?
Ama kweli marehemu Hana haki..
Atasingiziwa kila kinachotokea hapa Tanzania.
Tuwache siasa za kinafiki,,tuwe wakweli.
Ifike kipindi ukweli usemwe na sio kumsingizia Magufuli kila kukicha..
Shaka ni fisadi kama hujuiSHAKA Uje hapa utuambie sifa ulizomwaga Chama chako kinaMafisadi wengi kwankiasi kwamba mwenyekiti ameshtuka kuvuta shuka wakati kumekucha!
Wale uamsho walipewa kesi ya ugaidi na kukaa ndani miaka 9.Magufuli hakwepi lawama za kesi ya Mbowe. Wenzake na Mbowe wako ndani tangu 2018
Tunasema hakuna aliyepewa kesi ya ugaidi awamu ya Samia. Akina Mbowe wameandaliwa hiyo kesi na jini jiwe. Umeelewa we sukuma gang?Na tumeshuhudia yamerudi tena mara tu baada ya kufa Magufuli.
Mpuuuzi ni ww ambae ume quote kwa mpuuuzi huna adabu mjina wweMpuuzi ni wewe usiyejua tofauti ya kushauri na kukosoa.
Team Jiwe kaziniShaka ni fisadi kama hujui
Hata haingii akilini ni kwa nini alikubali kitu hiki kitokee bila ya kutafakari madhara yake ni makubwa na hayafutiki !
Ukweli ni kwamba Hawa wanasiasa uchwara wanamshambulia Magufuli kwa sababu bado ni tishio kwao anapambana nao yuko kaburini huyu jamaa alikuwa mwamba si mchezoHivi Magufuli kama kwl ndy aliyekuwa na visasi?
Hivi mbowe kakamatwa wakati wa Magufuli?
Hivi wale uamsho walitolewa na nani mahabusu?
Na kama waliopo madarakani wanafata ya Magufuli kuna Mambo mangapi ya Magufuli ,, wameyageuka?
Walishindwa nn kutokumkamata mbowe na kumpa kesi ya ugaidi?
Mbowe amematwa na kupewa kesi ya ugaidi kila mtu anafahamu tatizo ni nn?
Tatizo ni kudai katiba mpya,,tena walisema wataitisha maandamano bila kikomo inchi nzima.
Hilo pia sababu ni Magufuli?
Ama kweli marehemu Hana haki..
Atasingiziwa kila kinachotokea hapa Tanzania.
Tuwache siasa za kinafiki,,tuwe wakweli.
Ifike kipindi ukweli usemwe na sio kumsingizia Magufuli kila kukicha..
Hili neno "AWAMU YA 6" ni lugha tu ya KISIASA na ni MWAMVULI wa kujifichia ili kuepuka JOTO KALI la kisiasa na kukwepa UWAJIBIKAJI. Serikali ya sasa INAMALIZIA ile miaka 5 ya Hayati JPM, lkn Viongozi ni WALE WALE! Tuache PROPAGANDA zisizo na MASHIKO. Kukubali MAKOSA siyo UDHAIFU.
Sukuma gang ndiyo waliandaa ujinga huu na kjmuingiza mkenge mama wa watuHata haingii akilini ni kwa nini alikubali kitu hiki kitokee bila ya kutafakari madhara yake ni makubwa na hayafutiki !
Hakuna anayepambana na dikteta. Hana legacy yoyote mwizi yuleUkweli ni kwamba Hawa wanasiasa uchwara wanamshambulia Magufuli kwa sababu bado ni tishio kwao anapambana nao yuko kaburini huyu jamaa alikuwa mwamba si mchezo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Awamu zipo. Awamu ya 5 ilikuwa chini ya dikteta Magufuli ambaye ameliibia Sana taifa hiliHili neno "AWAMU YA 6" ni lugha tu ya KISIASA na ni MWAMVULI wa kujifichia ili kuepuka JOTO KALI la kisiasa na kukwepa UWAJIBIKAJI. Serikali ya sasa INAMALIZIA ile miaka 5 ya Hayati JPM, lkn Viongozi ni WALE WALE! Tuache PROPAGANDA zisizo na MASHIKO. Kukubali MAKOSA siyo UDHAIFU.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38]TODAYS anakodoa macho tu kama mjusi aliyebanwa na mlango, haamini jinsi legasi inavyopopolewa[emoji1787][emoji1787]