Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Chadema hamkushiriki mkutano, acheni walioshiriki waunde timu inayowafaa. Kelele za nini. Nyie tazameni tu ,train ndiyo inaondoka hivyo bila nyie. Akili za kuambiwa na Lissu muwe mnachanganya na zenu.
CDM hawahitaji wala kuona wivu kutokuwepo kwenye hiyo tume, wanachotaka ni tume huru ya uchaguzi, na uchaguzi uwe huru kweli. Ikitokea ikawa hivyo, uandae dawa za pressure za kutosha, maana utaona ulichokuwa hupendi kukiona.