Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe apoteza jimbo la Kigoma Mjini


Huu ni ukweli usio na shaka.
Kigoma is my home, nimetoka huko mwezi uliopita nimeshangaa sana kuona watu hawataki kusikia habari ya Zitto wala Mzito.
Yaani ndugu yangu amechokwa!
 
Hakuna uchaguzi Tanzania sasa bali CCM imeulawiti na kuubaka uchaguzi wote
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mambo ndiyo kwanza yameiva. Fanyeni mobilization ya kutosha kwa wananchi ili waingie barabarani tuanze kubomoa flyovers na kuchoma madege
Ingia road utawakuta wanakusubiri wenzako,unazidi kuchelewa. Acha sisi viongozi wenu tulale na wake zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…