Kuchangia kwa maana ya kupeleka ela kwa familia na ndugu zao sio kuchangia miradi ya umma
ni muhimu sana kufuatilia mambo haya kwa karibu na umakini mkubwa bila kuzira 🐒Huo utaratibu umeanza lini?
Ni vizuri kupeana michongo kama kuna uaminifu wa hali ya juuKiongozi kuna maeneo ukienda (kama una marafiki) sahihi. Hapo mnapeana deal tu.
Mara ya mwisho walikuwa wana kutana mitaa ya Victoria station nilikuwa na rafiki mghana miaka 10 iliyopita alikuwa anataka niende sana kwenye hizo session huko (diaspora wa nchi zote za Africa wanakutana na kupeana deals walizokamata) unaweza pewa deal mtu anatafuta kiwanja ajenge nyumba mia (we mpe business plan na mtafutie kiwanja).
Mwingine anakwambia China huko kuna kampuni ina mabasi yamebakiza kama maili 30,000 kwa viwango vyao as residual value (si unajua hawa na hesabu zao PPE) mpe deal ya kuyatumia; kwa kifupi hapo kuna ma deal ya kufa mtu.
We na akili zako timamu utoke ulaya ukagombee nafasi za serikali na wenyewe humu. Sasa huko ulaya umejifunza nini. Bado elimu yako inalipa huko kushinda Tanzania.
Hakuna kitu special hao wakenya wanafanya sio kwamba watanzania hawawezi ila siasa zetu zinatia uvivu watanzania; sema wakenya wapo too ambitious only.
Huyo magufuli si ndie alikuwa anachota hala za watu kwenye account za bankMulokozi mnayemsifia billionaire si alikuwa diaspora?
Vinginevyo mnataka watu waletę hela gani.
Wengine hawashindwi kuleta hela huko, lakini sio kwa serikali ya sasa.
Diaspora serious ili kuwekeza Tanzania wanataka usimamizi wa nchi kama wa Magufuli.
Watanzania ni tatizo, hata huko walipo usidhani diaspora wote hasa wenye mafanikio wanaongea na kila raia wa nchi zao.
Ni stress lakini si kwamba kuna diaspora hawajui yule dada wa ki-Ghana aliyefungua kiwanda cha machungwa Muheza kikafunguliwa na ‘bi-tozo’ na kuajiri source yake ya fund.
If anything fund ya yule dada ilikuwa ni kwa ajili ya miradi ya Tanzania tu kupitia source yake ya serikali vinginevyo angeenda wekeza kwao Ghana. Same waganda, wakenya na diaspora wengine wanaowekeza Tanzania source ni hizo hizo.
Sio kwamba watanzania hawajui sources, isipokuwa hao watu hawaijui Tanzania kama watanzania wenyewe. Watanzania wakifikiria hadithi za vibali, kusimamia mradi wenyewe (kwa kuelewa culture yetu) government bureaucracy, energy shortages na mlolongo mwingine wa kero it’s not worth it kwao.
May be we are not ambitious, lakini siasa zetu pia ni kikwazo.
Ni tapeli haswaHata kwa twit ameingiza pesa toka kwa mama
ni muhimu sana kufuatilia mambo haya kwa karibu na umakini mkubwa bila kuzira 🐒
Hawa kina Zitto ama kwa kujua, ama bila kujua, wanaongozwa na chuki na ujinga.Ni lazima wachangie? Kwa katiba na sheria Ipi?
Huu ndio ukweli,imagine unakomaa kubeba boksi kwa miaka 3 usiku na mchana hulali vizuri baadae unamtumia mtu pesa ili asimamie projects zako hela zinatafunwa na mradi haufanywi baadae ukiulizia update unapewa kiswahili.Zitto ni mzito mnoo kama akili zake
Hela zao wazitume wapi wakati serikali yao haiwatambui na haijaweka mifumo salama ya fesha?
Wanawwtumia ndugu zao na wanadhulumiwa vibaya mno. Anataka hizo fedha atumiwe yeye?
Jamaa ni bogus sana. Hana reasoning brain
Wanasubiria pesa za mterezoWajinga wakubwa nyie mshinde mnabishania Yanga na Simba, kubett, kusikiliza bongo fleva, kufanya uzinzi na madudu mengine mkisubiri Diaspora wafanye kazi wawaletee hela nyie mmekaa tu? Fanyeni kazi
Wafanye kazi nchi imejaa neema tupu lakini wananchi wake ni wavivu haswaWanasubiria pesa za mterezo
Ova
Jichanganye na watu sahihi, ulaya deal kila kona kiongozi.Ni vizuri kupeana michongo kama kuna uaminifu wa hali ya juu
Mimi Nana miaka zaidi ya 30 hapa London ila sijuani na watu wengi na sio kwa ubaya
Ila sio mbaya kujua biashara zinavyoenda na kama kuna connection
Wakenya nimekutana nao sana kwenye migahawa na wengi wako kwenye biashara na wengine wamehamia kabisa Tz na kutuma vitu hapa
Hao nawajua na wanakuambia wanachofanya kama upo interested unafanya nao
Ila ni vizuri kuwa pamoja na kushirikiana kwa mambo mema
Ila kwa kweli sisi tumedhulumiwa sana haki zetu huko kama dual
Aargh! ya kuambiwa changanya na zako mkuu.Huyo magufuli si ndie alikuwa anachota hala za watu kwenye account za bank
Mtanzania aliyepo kwenye system fulani ya kutoa vibali akisikia ni Mtanzania mwenzake ndiye anayeanzisha uwekezaji mkubwa anaumia na anaombea ufeli wazo lako lisifanikiwe,ila akisikia muhusika ni mgeni anafurahia na kibali kitatolewa chapchap.Mulokozi mnayemsifia billionaire si alikuwa diaspora?
Vinginevyo mnataka watu waletę hela gani.
Wengine hawashindwi kuleta hela huko, lakini sio kwa serikali ya sasa.
Diaspora serious ili kuwekeza Tanzania wanataka usimamizi wa nchi kama wa Magufuli.
Watanzania ni tatizo, hata huko walipo usidhani diaspora wote hasa wenye mafanikio wanaongea na kila raia wa nchi zao.
Ni stress lakini si kwamba kuna diaspora hawajui yule dada wa ki-Ghana aliyefungua kiwanda cha machungwa Muheza kikafunguliwa na ‘bi-tozo’ na kuajiri source yake ya fund.
If anything fund ya yule dada ilikuwa ni kwa ajili ya miradi ya Tanzania tu kupitia source yake ya serikali vinginevyo angeenda wekeza kwao Ghana. Same waganda, wakenya na diaspora wengine wanaowekeza Tanzania source ni hizo hizo.
Sio kwamba watanzania hawajui sources, isipokuwa hao watu hawaijui Tanzania kama watanzania wenyewe. Watanzania wakifikiria hadithi za vibali, kusimamia mradi wenyewe (kwa kuelewa culture yetu) government bureaucracy, energy shortages na mlolongo mwingine wa kero it’s not worth it kwao.
May be we are not ambitious, lakini siasa zetu pia ni kikwazo.
Ni shida.Mtanzania aliyepo kwenye system fulani ya kutoa vibali akisikia ni Mtanzania mwenzake ndiye anayeanzisha uwekezaji mkubwa anaumia na anaombea ufeli wazo lako lisifanikiwe,ila akisikia muhusika ni mgeni anafurahia na kibali kitatolewa chapchap.