Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
Kwahiyo Waziri ndio alijenga barabara lakini barabara sio hisani ni takwa la wananchi (Lazima)Zitto ni mdini, mnafiki,Anapenda kula hela kwa unafiki wake na kama JK ndo alijenga barabara nyingi waziri wa ujenzi alikuwa nani? Huyo kikwete unayemsifia vipi mkoa wako masikini wa kutupwa kigoma kikwete alikujengea barabara! Stupid unajifanya kujua sana ndo maana hata CHADEMA walikufukuza huna maana!
Wewe taahira weka ya kwako maana unaamini katika CV! Mimi naishi bila kutegemea hizo taratasi zako zinaitwa CV!Weka CV
Huyo alikuwa zaidi ya ibilisiKiongozi wa ACT ndugu Zitto Kabwe akiwa katika kipindi cha Salama Na kinachorushwa Dstv, amekiri kuwa Hayati Magufuli alikuwa anamchukia sana.
Zitto ameongeza zaidi, Magufuli hakuwa na hekima, aliamini katika ubabe, hivyo nilianza kumpinga hapo ndipo chuki yake kwangu ilipoanza.
Zitto alifika mbali zaidi na kusema baada ya Lissu kupigwa risasi Dodoma mwaka 2017 ndipo alipoona kuwa Magufuli hana hekima hapendi kupingwa, hivyo Zitto akaongeza kumpinga hapo ndipo chuki ya Magufuli ilipozidi kwa Zitto.
Yaani hiki kipindi cha leo, Zitto kamsagia sana kunguni Mwendazake.
Uongozi wa nchi sio kama kuendesha familia yako!!.Hata BWM alipokuwa kamaliza awamu zake, alisemwa na akaonekana hafai kabsaa ndani ya miezi 3 ya mwanzo ya awamu ya 4 lakin miaka 5 tu ya iyo awamu ya 4 Mwanamkwere akawa anahemea machine, BWM akaonekana alikuwa mwamba sanaaaa! Hata awamu hii ya 6 mtaikataa tu ndo hapo JPM ataonekana alikuwa mwamba kweli kweli! Wakati ukuta.
Alikuwa anaamini yeye ndiyo yupo sahihi pekeeAlichukia wote waliompinga
Basi we ni umri tu umesogea.Very possible mamaako nilimwacha shule
Hapo uwezi antMagufuri wakisema 😁😀😁😁 Magufuri awawezi kumfuta kilaisi hivyo kwa kulipa watu kama akina Zitto,kuja kumtukana,kaondoka ila kaacha kazi zinaonekana.Vipi mega projects kama SGR, JNHPP, HOSPITAL ZAHANATI na VITUO VYA AFYA, madaraja ya kisasa kama kijazi, tanzanite, busisi, wami, kule uhasibu.?
Mbona watumishi wa Umma walikua hawaongezei mishahara na kupanda madaraja,hivi Kwa miaka hiyo aliweza kutoa ajira mpya ngapi?!!..Tulinganishe na hii miezi 6 ya Mama?Waongeee tu ila kuna siku watakaa na kukiri kua tangu tupate marais ukimtoa baba wa taifa ni Jembe Magufuli ..tinga tinga yule jamaa achana nae kabisa ameitengeneza tanzania kwa miaka sita ikapendeza kwa miladi kibao ww ulipo huko ni shahidi ila kwa kua binadam hatuna shukrani tumejaa hila na kuhesabu mabaya tu.Namuombea sana Mungu ampunguzie adhabu za kaburi
Hivi si ndo huyu alimzushia MagufuliJP kafa. Sasa nani ana chuki. Tuache uzwazwa. By the way kupata taarifa upande mmoja kwanini asingesema akiwa hai. Nina uhakika MagufuliJP alikuwa hana chuki na mtu. Ila nyie mnatengeneza chuki zenuKiongozi wa ACT ndugu Zitto Kabwe akiwa katika kipindi cha Salama Na kinachorushwa Dstv, amekiri kuwa Hayati Magufuli alikuwa anamchukia sana.
Zitto ameongeza zaidi, Magufuli hakuwa na hekima, aliamini katika ubabe, hivyo nilianza kumpinga hapo ndipo chuki yake kwangu ilipoanza.
Zitto alifika mbali zaidi na kusema baada ya Lissu kupigwa risasi Dodoma mwaka 2017 ndipo alipoona kuwa Magufuli hana hekima hapendi kupingwa, hivyo Zitto akaongeza kumpinga hapo ndipo chuki ya Magufuli ilipozidi kwa Zitto.
Yaani hiki kipindi cha leo, Zitto kamsagia sana kunguni Mwendazake.
Jaribu ku-contrast kati ya Magufuli, Mbowe na Membe nani hakumpenda Zitto?Wawe makini na Zitto ni ndumilakuwili na mnafiki wa kiwango cha SGR...
Zitto alimchukia Magufuli kwa kutoridhika na alichopata baada ya uchaguzi wa 2015!
Sio mtu wa kuaminika
Umri na elimu,sidhani Kama unanifikiaBasi we ni umri tu umesogea.
Zitto sijawahi kumuamini na kumsadiki, lakini mwendazake hakufaa kuwa kiongozi . Mbinafsi anayejipenda na chato yake. Mwenye visasi hata kwa wale aliogombea nao kawaida. Mkabila na asiyefuata katiba .Hawa ndio wapinzani!
Zitto alitupwa nje ya mfumo ndio maana anaona Magu alimchukia!
Zitto ni mtu wa fursa, ndio maana hata Membe alipoenda kugombea urais kule baada ya kugoma kutoa hela Zitto alimdampo
Ni Rais yupi kuanzia Nyerere mpaka Samia ambaye ameisha toa uwanja sawa kwa wapinzani Wake?Je ambao hawakuwa wanafiki kama kina Lissu Mwendazake aliwapenda?
Pamoja na michezo ya kisiasa anayotumua Zitto kuendelea kuiishi siasa, bado alichosema ni kweli!
Mwendazake hakupenda kukisolewa, kushaurika, ama kutoa uwanja sawa wa wanasiasa kufanya siasa kwa usawa pasi kujali ni chama tawala au vingine. Alijiweka zaidi kama Mwenyekuti wa Chama na si Rais wa nchi kimatendo!
Tuache watu waseme wanayoyajua juu ya mwendazake maana wakati wa utawala wake HAKUTAKA KABISA watu waseme juu yake.
Kutesa kwa zamu, Leo ni zamu ya walionyimwa kusema miaka sita iliyopita sasa ni wakati wao. WAACHENI WASEME!
Leo jion machinga wakifunga virago vyao wakipiga kelele wakiita magufuliiiiiiiiiii uko wapi?
Nilisema ni zamu yenu kati yao kuna walofurahi jpm wetu kufa, wakati huo tulilia kwa uchungu leo nao wanasaga meno.
Kwani Magufuli kigoma Kajenga hizo Barabara?Zitto ni mdini, mnafiki,Anapenda kula hela kwa unafiki wake na kama JK ndo alijenga barabara nyingi waziri wa ujenzi alikuwa nani? Huyo kikwete unayemsifia vipi mkoa wako masikini wa kutupwa kigoma kikwete alikujengea barabara! Stupid unajifanya kujua sana ndo maana hata CHADEMA walikufukuza huna maana!
Lissu alikua anampinga hata kabla na baada ya kupigwa risasi, bado akaingia nae kwenye uchaguzi kamkimbiza mchakamchaka mpaka wakaanza kutoa matamko ya ajabu ajabu.baada ya kumsema akapigiwa risasi..!