Zitto Kabwe: Hayati Magufuli alikuwa ananichukia

Nimesema Kuna umuhimu wa kuwa makini unapomuongelea kiongozi wa juu wa nchi kwa mabaya yasiyo sahihi. MABAYA YASIYO SAHIHI.

Nikamalizia na JAMHURI inalinda wastaafu wake hata wakiwa kaburini. Tusijisahau.

Sidhani kama umeelewa.
Joined aug 26, 2021
 
Magu alichafuka mwa upumbavu wake. Hakuna anayemchafua.
 
Salama na Zitto walichokifanya sio sahihi, leo ni kama waliamua kumchafua hayati magufuli kwenye kipindi chao, sijapenda kabisa, Serikali ichukue hatua haraka sana dhdi ya kipindi hiko na wahusika
Hakika muda ni mwalimu mzuri sana. Tunaendelea kuwatambua taratibu wote waliohusika kumuua JPM. Tutawatambua wote.
 

Mabaya yasiyo sahihi vipi wakati sisi tunaona ukweli mchungu anaoongea hiyo Zito? Tuambiwe ni baya lipi lisilo sahihi kaongea Zito, ili tuone ww sio mpinzani, bali ni mtu mwenye akili za chama dola?
 
Mbona zikizungumziwa,

1.Ndege
2.Sgr
3.Stigglerz gorge
4.Stand Dodoma
5.Stand Magufuli
6.Airport Chatto
7.Mapambano ya korona
8.Daraja LA busisi
9.nk nk..

Watu wanafurahi na kusifia kuwa hakuna kama Mwendazake,ila watu wakizungumzia kuhusu,

1.Wasiojulikana
2.Maiti kuokotwa kwwnye viroba
3.Tundu Lissu kupigwa risasi
4.Ukandamizwaji wa Demokrasia
5.Uchaguzi Mkuu hewa
6.Sifa za kijinga
7.Utawala wa kibabe
8.Ukanda na ukabila
9.Maamuzi ya kukurupuka
10.nk nk

Utasikia Marehemu huwa hasemwi tumuache apumzike,sasa alipokuwa hai alikataza watu kumsema Leo hayupo pia watu wanakataza asisemwe..oops hapo ndio nachoka,kwa nn tusikataze hata hayo mazuri aliyofanya kwa sababu marehemu huwa hasemwi?
Watu wanaposema sio ajili ya aliefariki,Noo..wanasema kwa ajili ya waliopo ili waweze kujifunza kwa matendo ya aliekuwa kiongozi wao..
Unapokataza watu wajifunze nn??Mwalimu aliwahi kusema kuna mambo mengi nimefanya yapo ya maana na yapo ya kijinga ila alituasa tuchukue ya maana tuache ya kijinga hakusema tusijifunze kwa aliyoyafanya..
 
Aaagh..!!, JPM alikuwa hapendi watu wajinga wajinga.

Kama ambavyo watu wajinga wajinga walivyokuwa hawampendi. Yeye alipata madaraka kwa wizi wa kura, hakuwa na uhalali wowote wa kuamua ampende nani na amchukie nani.
 
Mabaya yasiyo sahihi vipi wakati sisi tunaona ukweli mchungu anaoongea hiyo Zito? Tuambiwe ni baya lipi lisilo sahihi kaongea Zito, ili tuone ww sio mpinzani, bali ni mtu mwenye akili za chama dola?
Wewe na unaowajumuisha kwenye usisi hamna umuhimu, hakuna sababu ya kujadili mnachokiona.

Zitto amekwepa mishale mingi, anafahamu usahihi wa analozungumza na hatari zake endapo kama hakuna usahihi na namna atakavyoikimbia hatari.
 

Uko sahihi kabisa mkuu kuhusu hiyo tabia ya Zito na tunaielewa vizuri, ila kwa haya aliyoongea ni ukweli mtupu.
 
Miaka minne ya mwanzo wa utawala magu,alikopa sawa na kikwete alivyokopa miaka kumi,jk kajenga Zaid ya 6000km,magu 1004km
Vipi mega projects kama SGR, JNHPP, HOSPITAL ZAHANATI na VITUO VYA AFYA, madaraja ya kisasa kama kijazi, tanzanite, busisi, wami, kule uhasibu.?
 
Wewe na unaowajumuisha kwenye usisi hamna umuhimu, hakuna sababu ya kujadili mnachokiona.

Zitto amekwepa mishale mingi, anafahamu usahihi wa analozungumza na hatari zake endapo kama hakuna usahihi na namna atakavyoikimbia hatari.

Sasa kama unajua hilo, unalialia nini hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…