Mahakama ya Tanzania imetangaza kumuondoa aliyekuwa mkaguzi mkuu wa serikali (CAG) Prof Mussa Assad na Magufuli kama KINYUME CHA KATIBA *Lakini mahakama inakataa kutangaza uteuzi wa CAG Charles Kichere kama kinyume cha katiba * Mahakama pia inakataa kumrejesha Assad kama CAG mkuuNaona bado vita na marehemu inaendelea.
Kwahiyo Prop Assad anarudi kwenye kiti chake kumalizia siku zake.?
Mahakama imesema kwasababu Kichere anasifa aendelee....... nadhani kwasasa Mzee akikata rufaa inawezekana akalipwa maslahi yake tangu alipotolewa ofisiniNaona bado vita na marehemu inaendelea.
Kwahiyo Prop Assad anarudi kwenye kiti chake kumalizia siku zake.?
Naona bado vita na marehemu inaendelea.
Kwahiyo Prop Assad anarudi kwenye kiti chake kumalizia siku zake.?
Zitto na genge lake Udini unawasumbua sana.
Acheni siasa za kupambana na Ukristo pimbi nyie
Ndio nei ya mchele itashuka?
Ndio bei za mfuta zitashuka?
Ndio mfumuko wa bidhaa uliofikia 200% utashuka?
Hawezi kurudishwa kazini. Kwanza Mahakama haijaagiza arudishwe kazini. Mahakama ilitoa hukumu kuwa kuondolewa CAG ilikuwa kinyume cha Sheria.Ina maana kwa uamuzi huu Assad atarejeshwa ofisini au ?....
je bunge la spika Ndugai lililokataa kumpa ushirikiano lilivunja katiba ?...
Najiuliza iwapo Magufuli (Rip) angelikuwepo mpaka Sasa, mahakama ingeweza kutoa hukumu ya namna hii ?.....huenda uhuru wa huu muhimili bado sio kamilii..
Pascal Mayalla JokaKuu Nguruvi3 Mag3 zitto junior Tindo
Nieleze udini wa Zitto? Acha kuleta ujinga katika mambo serious ya nchi!Zitto na genge lake Udini unawasumbua sana.
Acheni siasa za kupambana na Ukristo pimbi nyie
Hoja yangu ni kwamba kuna katiba yenye manufaa kwa watawala, kuna katiba yenye maslahi kwa wanasiasa, na kuna katiba yenye maslahi kwa wananchi na maendeleo ya nchi yao kiuchumi na kisiasa.
Nimekuelewa boss, ila mahakama kusema katiba ilikiukwa na wakati huo huo kushindwa kutengua huo ubatili hapo sio kujikanganya ?....Hawezi kurudishwa kazini. Kwanza Mahakama haijaagiza arudishwe kazini. Mahakama ilitoa hukumu kuwa kuondolewa CAG ilikuwa kinyume cha Sheria.
Mahakama haikusema kuwa CAG wa sasa hayuko kisheria. Hivyo suala la Prof Assad kurudi kazini HALIPO.
Kwa maoni yangu; Prof Assad na Zitto wameshinda pakubwa kuliko Prof kurudishwa kazini. Amesafishwa jina na hii itakuwa ni MWONGOZO kwa ma Rais wengine wasifanye maamuzi kwa HISIA zao au kwa KUKURUPUKA.
Ina maana kwa uamuzi huu Assad atarejeshwa ofisini au ?....
je bunge la spika Ndugai lililokataa kumpa ushirikiano lilivunja katiba ?...
Najiuliza iwapo Magufuli (Rip) angelikuwepo mpaka Sasa, mahakama ingeweza kutoa hukumu ya namna hii ?.....huenda uhuru wa huu muhimili bado sio kamilii..
Pascal Mayalla JokaKuu Nguruvi3 Mag3 zitto junior Tindo
naamini mkuu.Pengine wapo waliyobakwa ila utakuta anaishia kusema tu Bwana yule alikuwa shetani ila hasemi alichofanywa.
Ngoja tuone kwenye rufaa maana lazima watakata tuSio upotevu wa muda mkuu.
Maamuzi kama hayo yatatumika kama rejea huko mbele.
😁😁😁😁😁😁😁Ndugai ndio atoe jibu sasa!
Kwa mujibu wa Katiba/ Sheria, uteuzi wa Charles Kicheere kuwa CAG ulifuata taratibu zote. Ni CAG halali huwezi KUMTENGUANimekuelewa boss, ila mahakama kusema katiba ilikiukwa na wakati huo huo kushindwa kutengua huo ubatili hapo sio kujikanganya ?....
Pascal Mayalla
Nguruvi3
Kwanza hatuna mahakama wala bunge hizi ni idara za CCM tupu, marehemu angekuwa hai na madarakani wangesema alikosea? watanzania wangapi waliuliwa na huo utawala dhalimu na kesi zilipelekwa kwao wakakaa kimya? mi sina imani na mahakama za CCM ni ujinga tupuMahakama imekosea. Sheria inasema hivi:
CAG ATATEULIWA NA RAIS KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO ISIPOKUWA ANAWEZA KUONGEZEWA TENA KIPINDI KISICHOZIDI MIAKA MITANO...
Mwendazake haijawahi kuheshimu Katiba unless iwe ishu inaho mfavour.Ameandika Zitto katika ukurasa wake wa Twitter
Nimefarijika kuwa leo tarehe 05/12/2022 Mahakama Kuu katika shauri la Zitto Zuberi Kabwe vs. Mwanasheria Mkuu na wenzie na 8/2020 mbele ya jopo la majaji 3 Masoud, Masabo na Kakolaki imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa J. Assad kama CAG.
View attachment 2436886
Nani anavunja? MtajeKuna justification flani tu inatafutwa Ili kumchafua jembe.
Katiba inavunjwa kilasiku kwa staili tofauti tofauti na huyo zito haendi kushtaki anaangaliatu.
Mikutano ya kisiasa Samia kazuia kwa wapinzani.Nani anavunja? Mtaje
Mwendazake alikuwa mshenzi tuu na dikteta uchwara.
Mkuu anzisha Mahakama yako!Kwanza hatuna mahakama wala bunge hizi ni idara za CCM tupu, marehemu angekuwa hai na madarakani wangesema alikosea? watanzania wangapi waliuliwa na huo utawala dhalimu na kesi zilipelekwa kwao wakakaa kimya? mi sina imani na mahakama za CCM ni ujinga tupu