Zitto Kabwe: Mahakama imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa Assad kama CAG

Kwa hiyo kilichokiuka Katiba ni Sheria Namba 11 ya Mwaka 2008 na wala siyo Rais. Magufuli alitumia kifungu hicho kumtoa Prof. Kumbe tatizo ni watunga Sheria ambao walitunga kifungu batili. Mahakama imekifuta ili kisiendelee kuvunja Katiba
 
Kwahiyo unaamini kabisa kwamba hiyo kesi imefunguliwa miezi 4 iliyopita, na leo imetolewa hukumu?!

Hivi ulishawahi kujiuliza ikiwa inawezekana ikawa ni typing error na hivyo kuamua kuchunguza ili ufahamu exactly kesi ilifunguliwa lini?!
 

Mwanzo ulikuja na hoja za bendera fuata upepo, nilipokuambia kuhusu chama kilichoingia mikataba ya hatari dhidi ya nchi hii, ndio ukafikia hitimisho hili!
 
Ndugu kila kitu sio udini, tukiwa hivyo mbona tujiharibia utu wetu. Jee tunaweza sema Marehemu Magufuli alimuondoa Assad kwa sababu ya dini yake? Apana Magufuli alimuondoa Assad kwa sababu maono yao yalitafautiana sana.
Uko sahihi kabisa
 
Umedadavua vyema sana. Kwa kifupi ni kwamba Kifungu hicho cha sheria ndicho kilikuwa kinavunja Katiba na wala siyo Magufuli alivunja Katiba. Mahakama imeona hivyo na imekifuta. Magufuli alitumia kigungu kilichotungwa na Bunge ambacho kilikuwa kinyume na Katiba. Bunge lilitunga sheria inayokinzana na Katiba na hivyo leo imekuwa declared null and void na kufutwa lakini siyo null and void ab initio!!
 
Shida ni kwamba, wanaoitaji katiba mpya ni Olmsted 2% ya watanzania wote

So utapambana kuongea mambo ya katiba mpya and hakuna mtu atakuelewa

As long as mtu mambo yake yanaenda sawa, no problem

Hata katiba ya sasa ni watu wachache ndio wanaijua

Nani kakuambia kitu ili kibadilike lazima kila mtu akijue? Hizo katiba zilizoandikwa huko nyuma, wananchi wote walikuwa wameeIewa zilizokuwa hapo awali? Au ni mambo ya bendera fuata upepo?
 
Guys,

Naomba nielimishwe,,,

Hivi hawa watu inaoelekea ni Wafuasi wa JPM ni kipi kinawafanya watokwe povu kuhusu hii hukumu?!

What am I missing?!
 
Zitto na genge lake Udini unawasumbua sana. Acheni siasa za kupambana na Ukristo pimbi nyie
Wewe ndio pimbi kuu!
Udini kiaje? Ni wazi magufuli hakufuata katiba kwenye issue ya Assad.
 
Inawezekana kabisa marehemu JPM alivunja katiba, lakini, wewe Zitto tunakujua.
Umejaa roho ya visasi sana wewe. Una nyongo mbaya sana na marehemu sababu tu alikunyoosha na ubunge ukakosa.
Sasa hivi unajipendekeza kwa shangazi yako kisa dini zenu zinafanana huoni madudu ya shangazi.
Wengi wa Watanzania hawakupendi sababu ya siasa zako za hovyo hovyo.
 
Kati ya watu wamekuwa wa hovyo katika nchi hii waliotokea kumainiwa ni Zitto.... Sasa hivi kawa Hopeless, Useless, Untrustworthy, dubious..... Rotten one.... Written off.... Hajawahi kuwa na uchungu na nchi hii.... Ni mchumia tumbo wakuaminika..... Hovyo kabisa takataka....
 
Kwahiyo unaamini kabisa kwamba hiyo kesi imefunguliwa miezi 4 iliyopita, na leo imetolewa hukumu?!

Hivi ulishawahi kujiuliza ikiwa inawezekana ikawa ni typing error na hivyo kuamua kuchunguza ili ufahamu exactly kesi ilifunguliwa lini?!
Hata sioni ubachojaribu kukitetea hapa.

Case no. inatumika kuonesha mwaka kesi ilipofunguliwa, hiyo imeandikwa no 8 of 2022 sijui ndio unataka kubisha na kuita typing error, basi nipe namba ya kesi yako na mwaka wake tuione.
 
Shauri lilifunguliwa Magufuli akiwa hai, ila naona mahakama iliamua kupiga danadana kwa hofu, maana hakuna ambaye anafahamu yule bwana angamtenda nini jaji ambaye angeamua kutoa uamuzi sahihi.
We jamaa hebu ishi kwenye uhalisia, unataka kuniambia sasa hivi mahakama zinaweza kutoa hukumu kama hiyo kwa Samia hivi sasa?
 
Taarifa kama hizi zinazidi kutufundisha kua kua na Taasisi imara ni muhimu sana kuliko kua ba mtu mmoja mmoja ambao ni imara.

Angekuepo JPM report hii msingeisikia.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa alinyimwa posho na JPM...anashindana naye daily lkn bado anashindwa...ifikie hatua amuache mzee wa watu apumzike kwa amani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…