Zitto Kabwe: Membe alitupigania dhidi ya tabia Mbaya ya Watu wenye Mamkala kutumia Wahuni kutukana Viongozi wenzao

Zitto anajuwa ukweli maana pia inasemekana ni team X majasusi bana ujuwe hili tukio lakutisha sana amezima kama mshumaa ni ghafla...
 
El Commandante BCM ni gogo.....hakuwa mtu wa kukurupuka....vijana tujifunze.....

Ameondoka akiwa na nishani ya VITA VYA KUMNG'OA NDULI IDD AMIN.....

Ameondoka akiwa na nishani mbili ZA USHUJAA kutoka serikali ya TANZANIA NA COMORO baada ya kufanikisha DEMOKRASIA NCHINI COMORO.....

Resty easy Comrade BCM[emoji120]
 
Sasa wale mnaotulaumu kushangilia misiba nafkr mmejionea , basi anzeni kuwashauri wenzenu ndo mje kwetu sasa , vinginevyo twende hv hv mdogo mdogo , ukifiwa mdogo mdogo unaenda kuchimba shimo unafukia then unarudi kilingeni kusikilizia
 
Avae Sanda, kule Rondo wameshachimba pale pembeni
 
Safi sana mwami Zubery Zitto Ruyagwa. Sema usiogope.
 
Nafuatilia kuaga mwili wa Hayati Bernard Membe kwenye runinga. Nimeipenda hotuba ya Zitto Kabwe maana hajamng'unya maneno katema nyongo kwa kusema ukweli. Tuwe wakweli kwa kusema ukweli na siyo kurembaremba hata pale ambapo mambo hayakwenda vizuri.
Nyongo imekwenda na upepo

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafuatilia kuaga mwili wa Hayati Bernard Membe kwenye runinga. Nimeipenda hotuba ya Zitto Kabwe maana hajamng'unya maneno katema nyongo kwa kusema ukweli. Tuwe wakweli kwa kusema ukweli na siyo kurembaremba hata pale ambapo mambo hayakwenda vizuri.
Zitto amezungumza bila unafiki, ndivyo inatakiwa risala kutolewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…