Wanasema usifurahi ukatoa yako ya moyoni wala usikasirike ukatoa yako ya moyoni. Angetaja Taifa Stars tu isinge leta tatizo, tatizo limeletwa kwa kutajwa KKKT. Ina maana (kutokana na alicho kiandika) waumini wa Kiislam, Lutheran Hindu nk wanaligawa taifa. Tukubaliane ameteleza asingeingiza mambo ya dini kwenye kwenye mambo ya mihemko ya mpira. Grow up Zito.Ana furaha ya Taifa Stars kufuzu.
Amesema ukweli gani?Aliyo yasema ni ya kweli kabisa....na watu wengi wasiofungamana na upande wowote wanatambua hilo, shida pekee hapo huo ukweli umekaa kichochezi na unabomoa zaidi kuliko kujenga.
Zitto ni mjinga sn, CHADEMA hawakukosea kumfukuzaHabari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Hakuna tofauti, labda kama una maanisha TECWanasema usifurahi ukatoa yako ya moyoni wala usikasirike ukatoa yako ya moyoni. Angetaja Taifa Stars tu isinge leta tatizo, tatizo limeletwa kwa kutajwa KKKT. Ina maana (kutokana na alicho kiandika) waumini wa Kiislam, Lutheran Hindu nk wanaligawa taifa. Tukubaliane ameteleza asingeingiza mambo ya dini kwenye kwenye mambo ya mihemko ya mpira. Grow up Zito.
Zitto huwa anatumika na watawala live🤓 Ajabu sana. Maoni ya hovyo tena ya kidini na kibaguzi kutoka kwa mtu makini na kiongozi wa chama
Huyu ni dalaliAmesema ukweli gani?
Mkataba wa bandari ni mbovu, kila swali wakiulizwa kuhusu ule mkataba wanakuja na majibu ya kubahatisha kila siku, akitokea mmoja akawaambia ukweli ule mkataba mnaoshindwa kuutetea ni mbovu huyo hawezi kuwa analigawa taifa, taifa pekee litakalogawika kwa mtu au taasisi kusema ukweli ni taifa la wajinga, na hilo sio Tanganyika.
Na taifa pekee litakalounganishwa na kauli ya kinafiki kama ya Zitto, inayokumbatia uovu na kuufumbia macho, again ni taifa la wajinga pekee, ila sio Tanganyika.
Watawala huwa wanamtumia vizuri snZitto is technically a 💩💩 dustbin material
Mbowe na mimi wote ni KKKT lakini hatuungi mkono huu ujingaAmeona atumie njia hii kuleta chuki baina ya KKKT na TEC......Hakuna KKKT anayeunga mkono mazingaombwe yanayoendelea.
Ni mdini na mla rushwaHapo kaiponda TEC kimtindo, kaonesha udini wake ki aina, hakupaswa kutaja KKKT, Ameshindwa kujizuia kuonesha hisia zake za udini ikabidi atupe jiwe gizani kuiponda TEC
Yes, hiyo ndo maana yao haswaaaaMkisema mdini mnakusudia ni Muislam sana?
Nimekupa like mkuu. Nakazia tuMi mlutheli ila mpaka mtu mdini kama zitto kabwe ambaye hapendi ukristo hata kidogo ,anakusifia.., JUA KUNA MAHALI KUNA SHIDA KKKT
Zito huwa anaumwa ugonjwa wa akili yaani ni mgojwa wa afya ya akili. Ni kama Mnyika tu alivyo au Tundu lisu. Hawa watu sijui walilaaniwa enzi za Dkt Kikwete na Dkt Magufuli. Hivyo msishangae jamani anahitaji msaada wa madakitari pale mirembe
Ukumbusho mzuri huu.Haki ulizonazo kuwa na uhuru wa kuzungumza ndio hizo hizo Zitto anazo.
kama una hoja ya kupinga njoo na hoja kuonesha kuwa si kweli kuwa KKKT na Taifa Stars wanaliuganisha Taifa.
Serikali ikimpiga mtu kuzungumza mnakuja na kelele z kupigania uhuru wa kujieleza wakati nyie wenyewe hamna staha ya kuvumilia kusikia msiowapenda nao wakizungumza
Zitto ameshapuuzwa na watanzania kwa sasa.
Na udini wa Padri Slaa sasa hv uko wazi mnokama lilivyomgharimu Mzee Slaa?
mnajikuza sana kwa kujipa kura ya turufu ya kuwaamulia watu cha kufanya hadi mnakuwa mazuzu
Kwamba kati ya mnyika na hawa wa ccm deo sanga, kibajaji, babu tale nani mwenye uelewa zaidiZito huwa anaumwa ugonjwa wa akili yaani ni mgojwa wa afya ya akili. Ni kama Mnyika tu alivyo au Tundu lisu. Hawa watu sijui walilaaniwa enzi za Dkt Kikwete na Dkt Magufuli. Hivyo msishangae jamani anahitaji msaada wa madakitari pale mirembe
Ss tulishasema huyo sio kiongozi ww unamwita kiongozi wa nani.huyo dogo hanaga AKILI.Habari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
View attachment 2742729