Ana ubia aka ushirika na serikali. Ni haki yake.😝😝😝😝Naona amekuwa msemaji wa CCM
Wewe kamanda ulimaliza darasa la nne?Sawa.Tufanye hatujadili hizo "me" wala "be"!Siku tukidai mtuoneshe hizo fedha kiuhalisia msianze kuita polisi wakamate watu.Kama tarakimu,mln au bln ilikosewa,isahihishwe.Kufunika kombe mwanakharamu abatizwe haisaidii kitu.
Hapana.Niliugua kifaduro,nikapelekwa Milembe niendelee kwa masomo ya juu zaidi katika fani ya tuisheni.Wewe kamanda ulimaliza darasa la nne?
Sioni tofauti ya akili yako mbovu na ya Zitto. Kwa hiyo siku hizi bilioni ni Sawa na milioni? Yaani ukitaka kusema milioni unaweza tu kusema bilioni ukaeleweka?
Chama chake kimeshamfanyia "send-off" na kumtakia kazi njema?Zitto msemaji wa ikulu
Akijibu kwa usahihi,anunuliwe peremende huyo.Sioni tofauti ya akili yako mbovu na ya Zitto. Kwa hiyo siku hizi bilioni ni Sawa na milioni? Yaani ukitaka kusema milioni unaweza tu kusema bilioni ukaeleweka?
Upo sahihi hadi keshokutwa mchana.Kumbuka tu:Imesemekana kuna matrilioni ila kiuhalisia kuna milioni kadhaa.Itafika siku itaulizwa,ulitamka matrilioni.Yako wapi?Naunga mkono hoja. Ni upuuzi kupoteza muda kujadili vijambo tukaacha masuala (issues).