Zitto Kabwe: Watu wazima kujadili Milioni na Bilioni ni kukosa kazi za kufanya

Sawa.Tufanye hatujadili hizo "me" wala "be"!Siku tukidai mtuoneshe hizo fedha kiuhalisia msianze kuita polisi wakamate watu.Kama tarakimu,mln au bln ilikosewa,isahihishwe.Kufunika kombe mwanakharamu abatizwe haisaidii kitu.
Wewe kamanda ulimaliza darasa la nne?
 
Sioni tofauti ya akili yako mbovu na ya Zitto. Kwa hiyo siku hizi bilioni ni Sawa na milioni? Yaani ukitaka kusema milioni unaweza tu kusema bilioni ukaeleweka?
We umeishia darasa la ngapi?
 
Hii nchi ngumu sana, mtu anakataza watu kujadili kitu ambacho yeye mwenyewe anakijadili.

Hadi anaandika haya si inamaana na yeye yumo kwenye hao anaowaita wamekosa kazi?

By the way who is Zitto aamulie watu nini cha kujadili na kipi sio cha kujadili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…