Zitto Kabwe: Watu wazima kujadili Milioni na Bilioni ni kukosa kazi za kufanya

Zitto Kabwe: Watu wazima kujadili Milioni na Bilioni ni kukosa kazi za kufanya

Maandiko na matamshi ya rais kwamba nchi yetu Ina reserve ya bilioni 6 nuktakadhaa Dola za kimarekani ,si jambo dogo Kama Zitto anavyo sema , Ni vyema Kama Kulikuwa na makosa ikulu ije irekebishe mbele ya vyombo vya Habari kama ilivyo tangazwa kwenye vyombo vya Habari.


Lakini pia Kuna wasiwasi mkubwa ju ya maelezo ya rais kuhusu takwiimu za mufumko wa bei ya vitu nchini ,rais kasema ni 2-3 % lakini kiuhalisia mtaani mufumko wa bei ni mkubwa sana Kati ya 20-40 % ndani ya mwaka.
 
Maandiko na matamshi ya rais kwamba nchi yetu Ina reserve ya bilioni 6 nuktakadhaa Dola za kimarekani ,si jambo dogo Kama Zitto anavyo sema , Ni vyema Kama Kulikuwa na makosa ikulu ije irekebishe mbele ya vyombo vya Habari kama ilivyo tangazwa kwenye vyombo vya Habari.


Lakini pia Kuna wasiwasi mkubwa ju ya maelezo ya rais kuhusu takwiimu za mufumko wa bei ya vitu nchini ,rais kasema ni 2-3 % lakini kiuhalisia mtaani mufumko wa bei ni mkubwa sana Kati ya 20-40 % ndani ya mwaka.
Wanaona ni "tuvitu" tudogo.Tunyamaze kimya.Holy moly!🤔
 
Hii nchi ngumu sana, mtu anakataza watu kujadili kitu ambacho yeye mwenyewe anakijadili.

Hadi anaandika haya si inamaana na yeye yumo kwenye hao anaowaita wamekosa kazi?

By the way who is Zitto aamulie watu nini cha kujadili na kipi sio cha kujadili?
Kwani amekuzuia kujadili? Au hujui kuwa mil 6000 ni sawa na bil 6?
 
Kwani amekuzuia kujadili? Au hujui kuwa mil 6000 ni sawa na bil 6?

Hivi umesoma vizuri hata title ya hii thread kweli?
Kosa ni la msikilizaji au msemaji? Tufuate unachosema wewe au kilichosemwa na mhusika?

Kama na wewe unatetea upupu uliouleta hapa, bado upo kwenye kundi hilo hilo analisema huyo jamaa yako, hauna kazi ya kufanya.

Ingekua hatujui tofauti ya B na M tungehoji?
 
Hivi umesoma vizuri hata title ya hii thread kweli?
Kosa ni la msikilizaji au msemaji? Tufuate unachosema wewe au kilichosemwa na mhusika?

Kama na wewe unatetea upupu uliouleta hapa, bado upo kwenye kundi hilo hilo analisema huyo jamaa yako, hauna kazi ya kufanya.

Ingekua hatujui tofauti ya B na M tungehoji?
Hujui tofauti ya B na M ndio maana umehoji na kukomalia upuuzi
 
Una changamoto ya uelewa,si bure.Kwa hiyo milioni ni sawa na bilioni?Tulia.Soma uelewe nini kinajadiliwa.Hata vimbwenerehi wenzako watakuwa wanakucheka huko walipo.
Million 6000 = bilion 6. Umeishia la ngapi we mbwiga?
 
Wanaona ni "tuvitu" tudogo.Tunyamaze kimya.Holy moly![emoji848]
Kwakuwa ikulu ni mahala patakatifu Kama ilivyo heshimika na baba wa taifa Mwalimu J K Nyerere ,na Kama ambavyo hata sisi wananchi tuna amini hivyo .

Si vyema ikulu ikachukulia Jambo hili Ni dogo , na kimsingi mpaka Sasa watu wamechanganyikiwa na kauli hii kwamba kweli nchi Ina ukwasi huo wa Dora au ni typing errors?


Hivyo ipo haja ya ikulu kusawazisha Jambo hili .

Ikiwa itatokea wananchi wakaanza kuumiza pesa hizo na hazina ikadai hazipo je nini kitatokea ? Vipi Imani kwa Rais na chama chake itakuwaje mbele ya jamii?

Ikulu inyanyuke itoe uhalisia ,hakuta haribika neno!
 
Ndio Siasa

Zitto kajitahidi kuhakikisha Wapinzani wake wanamjadili na kwa hilo kafanikiwa sana
Wakujipendekeza huyo Siku hizi kawa mtetezi wa serikali, akomae atapata teuzi ya Ubunge
 
Hujui tofauti ya B na M ndio maana umehoji na kukomalia upuuzi

Kama ni upuuzi umeuleta hapa wa kazi gani? Nimekuuliza swali, umesoma kichwa cha habari cha huu uzi kweli?

Utashangaa ikulu inautolea unaouita upuuzi wa B na M.

Hoja haiwezi kuzimwa kwa maelezo yako au zitto kwa sababu kwanza, hawana hayo mamlaka na pili sio wao walioongea na wananchi. Nafikiri unaweza kuona jinsi mnavyojiingiza kwenye jukumu lisilowahusu.
 
Jamaa atakuwa kwenye payroll ya chifu nini, maana si kwa kazi hii ya usemaji....
 
Back
Top Bottom