Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Muulize aliyerudia darasa mara 3 lakini Leo Yuko Ikulu Kwa KUDRA ZA MUNGU.We umeishia darasa la ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize aliyerudia darasa mara 3 lakini Leo Yuko Ikulu Kwa KUDRA ZA MUNGU.We umeishia darasa la ngapi?
Hawezi kujibu ameanza kuuliza idadi ya madarasa.Akijibu kwa usahihi,anunuliwe peremende huyo.
Ni sawa na bilioni 6.253 ya nini?Inaonesha una akili mbovu kama muandaaji wa ile hotuba.Uandikapo au kuongea kitu,usiache maswali.Maliza kila kitu Usiandike au kuongea kama kila mtu yupo kichwani mwako.Kwa ujinga huu,kila siku tutawasumbua hadi mjikojolee.Kwani hujui kuwa Usd mil 6253 ni sawa na bil 6.253? Je kuna haja ya kujadili B na M?
Yaani watu wameshupalia as if ni big issue 😄😄
Ahaaaa, umekosa hoja. Acha kujadili B na MNi sawa na bilioni 6.253 ya nini?Inaonesha una akili mbovu kama muandaaji wa ile hotuba.Uandikapo au kuongea kitu,usiache maswali.Maliza kila kitu Usiandike au kuongea kama kila mtu yupo kichwani mwako.Kwa ujinga huu,kila siku tutawasumbua hadi mjikojolee.
Ni msemaji?Kwa kutoa ufafanuzi wa B na M ni kufikiri kwa makalio?
Kuwa siriazi weye kiroboto!M na B hazifanani.Ahaaaa, umekosa hoja. Acha kujadili B na M
Huku unakubali kwamba makosa yamefanyika bahati mbaya, hapo hapo tena unajitoa ufaham.Hujui tofauti ya B na M ndio maana umehoji na kukomalia upuuzi
Kutaja B badala ya M ni ishu ndogo sanaHuku unakubali kwamba makosa yamefanyika bahati mbaya, hapo hapo tena unajitoa ufaham.
Upinzani umekosa hoja na muelekeo, badala kujadili hoja zenye mashiko ili mkubalike mnabaki kujadili takwimu zilizokosewa bahati mbaya
Mnashindwa vipi kukaa na kujadili masuala ya msingi kama kuboresha huduma afya, elimu na upatikanaji wa umeme? Mnabakia kila kona kushupalia juu ya takwimu za foreign reseve ambazo zimekosewa bahati mbaya. Kwani hamjui kuwa mil 6000 ni sawa na bil 6. Tumieni busara kujadili masuala ya msingi...www.jamiiforums.com
Hauna nyimbo weye!Hujui hata tofauti ya milioni, bilioni na trilioni!Kale mikusu ulale.Aliyekuambia zinafanana nani?
Kutaja B badala ya M ni ishu ndogo sana
Kwenye pesa ina maana.
Ana akili nyembamba.Msamehe.Maana hata kama ni ushabiki sasa anaonesha uzuzu.Ndogo kwako, madhara yake ni makubwa kuliko unavyofikiria.
Kama unakubaliana na kauli kwamba kujadili hili jambo sio muhimu, usingekua unachangia huu uzi.
Na Ikulu wataweka sawa hili muda sio mrefu.
Ni kweli kabi hakuna haja kujadili bali kurekebisha tu maana ni nani aturekebishieKuna gharama gani ya kurekebisha makosa tukasonga