The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Kwani kuna upotoshaji?
Ebo! Kumbe nilikua nakupa alama za juu kidogo kuliko unazo stahili? Kama hakuna shida unafikiri kwanini imekua gumzo?
Ungekua kwenye huu uzi kweli kama B na M zisingejitokeza kwenye hotuba?
Jaribu kutuliza kichwa kidogo mkuu.