Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu ya mjinga ni majungu na matusi, sisi tutajuaje kama ulimi uliteleza??Mjinga baba yako, unajua maana ya kumaanisha na ulimi kuteleza? Pumbavu mkubwa shenzi kabisa
Kabla ya ufafanuzi ulijua kuwa si B?Elimu ya mjinga ni majungu na matusi, sisi tutajuaje kama ulimi uliteleza??
Wewe na Zitto ni watu wa kuonewa huruma. Rais anatoa takwimu za uongo tena zenye kupingana na takwimu za BOT, halafu mnasema tunapoteza muda? Kweli mna akili nyie? Rais amekosea. Fullstop! Ikulu ijitokeze na kutoa takwimu sahihi za reserve yetu ya USD ambayo ni USD6.253 billion.
Kwa uchumi ulivyoyumba na jinsi tunavyotembeza bakuli, hiyo figure iliyotamkwa na serikali ilikuwa inatia mashaka sanaKabla ya ufafanuzi ulijuaje kuwa si B?
Wewe ni kiroboto AFADHALI ya Ndugai.Kutaja B badala ya M ni ishu ndogo sana
Hivyo ulipata mashaka kuwa amekusudia kudanganya au amekosea?Kwa uchumi ulivyoyumba na jinsi tunavyotembeza bakuli, hiyo figure iliyotamkwa na serikali ilikuwa inatia mashaka sana
🤣🤣AmekoseaHivyo ulipata mashaka kuwa amekusudia kudanganya au amekosea?
Halafu utakuta bwege Kama hili linateuliwa ukuu wa Wilaya.Mbatia uelewa wake ni mdogo
Pumbavu kaa kimyaHalafu utakuta bwege Kama hili linateuliwa ukuu wa Wilaya.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
😂😂😂🤣🤣Amekosea
dada katika imani?Zitto ni msukumo wa Huyu ni mwenzetu.
Zitto haoni tofauti ya M na B kweli...!? Huko nyuma tulishawahi kuambiwa kuwa tunawadai Acacia USD 198 Billion lakini walipo Kuja kulipa tukaambiwa wa alipa 300 Million na mpaka leo hayajawahi kutolewa maelezo yeyote .... Hiyo ndiyo tofauti ya M na B...!!
Even if you beat a fool until he is half dead, you still can't beat his foolishness out of him, ndio wewe, hata ukipigwa nusura ya kuuawa, ujinga hautakutoka kichwani.Pumbavu kaa kimya
Mkuu akiba ya nchi siyo issue ya msingi kujadiliwa ?Naunga mkono hoja. Ni upuuzi kupoteza muda kujadili vijambo tukaacha masuala (issues).