Kwaiyo Ccm wamejenga nchi?Hii ni kupigana midongo ya nguvu
πView attachment 2402253
Wameacha kutatua matatizo ya kisiasa wameamia kwenye majengo...Hii ni kupigana midongo ya nguvu
πView attachment 2402253
Hao ndio wapinzani wa TanganyikaWameacha kutatua matatizo ya kisiasa wameamia kwenye majengo...
Swali zuri sanaKwaiyo Ccm wamejenga nchi?
Act ni mali ya ccmWameacha kutatua matatizo ya kisiasa wameamia kwenye majengo...
Na zzk sasa hivi hana tofauti na mzee mapesa kisiasaKwani chadema wanakusanya kodi sehemu gani mpaka wajenge shule au hospitali? CCM ni laana kwa Taifa hili
Huwa najiuliza sana ni kitu gani kina howafanya watu wavutiwe na chama cha ACT-Wazalendo maana sioni jitiada zozote wanazozifanya kutaka kuikomboa tz kutoka kwa mkoloni mweusiHii ni kupigana midongo ya nguvu
πView attachment 2402253
Shobo zote hizo kumbe jengo wamepangisha. Jengo ni mali ya marehemu Seif sharif HamadHii ni kupigana midongo ya nguvu
πView attachment 2402253
Ndiyo maana nimesema karibia ofisi zote.....