Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Haututakii mema we kada wa CCMHuu ni uchochezi na chonganishi!. Next chairman ni Heche, mtu kazi
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haututakii mema we kada wa CCMHuu ni uchochezi na chonganishi!. Next chairman ni Heche, mtu kazi
P
Mema ya kada wa CCM hamtaki ila asali ya Mama wa CCM?.Haututakii mema we kada wa CCM
Anza wewe kutafuta mtu umpe nafasi ya kuendesha FAMILIA Yako Ili watoto wako waone tofauti ya baba wewe na mwingine.Umeshindwa hata kujenga ofisi ya makao makuu.
Umeshindwa hata kuwa na wabunge wa kuinyoosha na kuidhibiti serikali
Lissu sasa anakubalika zaidi yako. Na ana uchungu na wanannchi kuliko wewe unakula na CCM kwenye sinia moja.View attachment 2508106
Ukweli usemwe ni kweli Chadema wamezidi chama chao kilikuwa na ushawishi mkubwa lakini wameshindwa hata kujenga ofisi wao kazi yao ni kukusanya michango tu kwa wanachamaHii ni kupigana midongo ya nguvu
"Kama hatuwezi kujenga Ofisi yetu wenyewe, tutaweza kujenga mashule ya watoto wetu kusoma na Vituo vya Afya vya kina mama zetu kujifungua kwa stara? Tutaweza kupambana na janga la umasikini wa watu wetu na kutengeneza uchumi unaozalisha ajira kwa vijana wetu?"
👇
View attachment 2402599
Ofisi inaongelewa acha kujifanya hamnazoKwani CHADEMA wanakusanya kodi sehemu gani mpaka wajenge shule au hospitali? CCM ni laana kwa Taifa hili
Sukuma gangOfisi inaongelewa acha kujifanya hamnazo
Huyo mkoma tumeshamdharau kitambo tu.Hii ni kupigana midongo ya nguvu
"Kama hatuwezi kujenga Ofisi yetu wenyewe, tutaweza kujenga mashule ya watoto wetu kusoma na Vituo vya Afya vya kina mama zetu kujifungua kwa stara? Tutaweza kupambana na janga la umasikini wa watu wetu na kutengeneza uchumi unaozalisha ajira kwa vijana wetu?"
👇
View attachment 2402599
tupe na risiti au invoices kama hakuna huu ni umbeya na udaku kama wa Instagram ukizingatia wewe ni mwandishi mkongweMema ya kada wa CCM hamtaki ila asali ya Mama wa CCM?.
Unamjua aliyetoa fedha za vile vikao?
Unamjua aliyetoa fedha za trips za ulaya na US?
Unamjua aliyetoa fedha za uzinduzi wa mikutano ya hadhara?
Unamjua anayelipia wakimbizi wenu kurejea nchini?.
P
Na zzk sasa hivi hana tofauti na mzee mapesa kisiasa