Sawa kama kuhoji kwangu ni ufinyu wa akili,nadhani haitakiwi kuhoji bali ni kushabikia tu kisa hatuitaki ccm basi yeyote yule tunaona anafaa kuwa rais.Hebu acha kujitoa ufahamu! Si kila kitu lazima nawe ukielewe kutokana na UFINYU wako wa akili.
Sawa kama kuhoji kwangu ni ufinyu wa akili,nadhani haitakiwi kuhoji bali ni kushabikia tu kisa hatuitaki ccm basi yeyote yule tunaona anafaa kuwa rais.
Tangu lini Msaliti akawa mzalendo? chama chake kina mgombea ila yeye anawaambia wanachama wa chama chake wampigie kura mgombea wa chama chengine,huu ni usaliti na ndio chadema walimtimua kwa mambo kama haya ya usaliti katika chama.Uzalendo wa kuungana na wazalendo wa kweli. Hakuna Ubishi TAL ndiye anamuondoa Magufuli
Mtajua hamjui mwaka huu. Kinachokuuma wewe ni nini?? Sisi wana ACT tunaungana na Zitto.Tangu lini Msaliti akawa mzalendo? chama chake kina mgombea ila yeye anawaambia wanachama wa chama chake wampigie kura mgombea wa chama chengine,huu ni usaliti na ndio chadema walimtimua kwa mambo kama haya ya usaliti katika chama.
Hayo ni maoni yako. Kura ni siri lakini ukiweka msimamo wako wazi sio kosa.Mgombea ubunge kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ametangaza siku ya Uchaguzi Mkuu ya Oktoba 28, 2020, atampigia kura mgombea urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu ili awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
:
"Kwa nafasi ya Rais wa Tanzania, Mimi Zitto Kabwe, nitapiga kura Tundu Lissu. Huyu ndiye mgombea wa upinzani ambaye ana nguvu ya kumshinda mgombea wa chama tawala, amefanya kampeni nchi nzima, mwitikio wa wananchi kwake ni mkubwa" - Kabwe
nipashetz
Nijuavyo Kura ya Mtu ni 'Siri' na kuna 'Wanasiasa' wengine wa Tanzania wanajulikana walivyo 'Wanafiki' na 'Waharibifu' Wakuu wa Upinzani nchini.
Mimi nilitaka kujua ni sababu zipi ambazo watu wanaona kuwa Lissu anafaa kuwa rais wa hii nchi kutokana na hizo sababu?Unamsupport vipi mtu mwenye kauli kama hizi kwa Shangazi na Mama zetu?
[emoji15][emoji15][emoji15]
Siyo kwa 'Mnafiki / Ndumilakuwili' huyo 'aliyetukuka' kabisa.Hayo ni maoni yako. Kura ni siri lakini ukiweka msimamo wako wazi sio kosa.
Mmenza kuweweseka
Kwani wewe kinachokufanya ukatae kuwa Zitto sio msaliti ni nini? mbona hata huyo Lissu anajua na ndio maana wakamtimua chadema,Lissu mwenyewe alisema kuwa ACT si chama cha upinzani na hikjawahi kuwa chama cha upinzani hata 2015 na aliyekuwa mgombea wao Anna Mghwila walikuwa wanatumika tu serikali kuvuruga upinzani na ndio maana Anna Mghwila akaja kuzawadia cheo.Mtajua hamjui mwaka huu. Kinachokuuma wewe ni nini?? Sisi wana ACT tunaungana na Zitto.
Mimi nilitaka kujua ni sababu zipi ambazo watu wanaona kuwa Lissu anafaa kuwa rais wa hii nchi kutokana na hizo sababu?
Kauli mbovu za Magufuli kwa mama na shangazi zetu hazifanyi kuwa ndio sababu za Lissu kuwa anafaa nafasi ya urais wa hii nchi,lazima tujiulize kwanini Lissu na si mwengine ubora wa lissu ni upi? au sababu ni mwanashelia tu?
Usisahau pia kuw TAL amezungumzia kwa uwazi kabisa na kwa uchungu mkubwa haki za mashekhe waislamu walioshikiliwa magerezani wakisoteshwa kinyume cha sheria huku waislamu wakidanganywa kwa kujengewa vimsikiti ili waridhike viongozi wao wakinyimwa haki na kuozea mahabusu za magufuliKwa nafasi ya Rais wa Tanzania, Mimi Zitto Kabwe, nitapiga kura Tundu Lissu.
Huyu ndiye mgombea wa upinzani ambaye ana nguvu ya kumshinda mgombea wa chama tawala, amefanya kampeni nchi nzima, mwitikio wa wananchi kwake ni mkubwa
Pole kwa maumivu.Tanzania inaendelea kupona ukiona hawa mabarazuli wa Taifa hili wanatoa kauli kama hizi jua wameshikwa wakashikika haswa. Zitto yule wa kutumia ndege za TANAPA kama ubber, yule wa kwenda kutibiwa kambaku India leo anatoa statement out of desperation hivi. Aaah!
Pole Mkuu, usiumie sana...amini tu kuwa muda ukifika umefikaTundu Lissu ninkichaa Apuuze
Mwenye namba ya mtoto wa Kamilius anisaidieMSIMAMO RASMI WA ACT WAZALENDO KUSHIRIKIANA NA CHADEMA.
Hivyo basi, baada ya maelezo hayo, natangaza rasmi kwa Wanachama, Wafuasi, wapenzi wa ACT Wazalendo na Watanzania kwa Ujumla, kuwa:
1. Pale kwenye Kata ama Jimbo ambalo ACT Wazalendo tuna Mgombea, tunaomba Muwapigie Kura wagombea wa ACT Wazalendo...
Usahaulifu ni kitu mbaya, ccm ya kuficha jezi kwenye mifuko na kuzomewa mitaani ukivaa jezi zake ili mshinda EL na aliyemlipa kama mpiga zumari wake Lissu.
Eti leo mpiga zumari wa EL aje ashinde ccm yenye wanachama waliovunja rekodi ya kuomba ridhaa ya uongozi nafasi mbalimbal zaidi ya 12;000! Na anajitambia na kujidanganya mwenyewe kuwa atashinda.