Uchaguzi 2020 Zitto: Kura yangu nafasi ya Urais nitampigia Tundu Lissu (CHADEMA)

Uchaguzi 2020 Zitto: Kura yangu nafasi ya Urais nitampigia Tundu Lissu (CHADEMA)

Ndio usanii wa zitto
Tamko lake heading imebeba taswira ya kuwa hilo ni tamko la chama ila ndani anaongea on his own behalf.

CHADEMA are doing much better. Maamuzi yanaamuriwa na vikao na sio mtu mmoja akiongelea kutokea Kibirizi, Kigoma.

Safari ya Membe kurudi alipotoka sasa imekuwa fasttracked.
 
Gharama za kawaida Sana kwenye ulingo WA siasa unaingia ukiwa unajitambua/ tambulisha kisha unatambulishwa na unaojitambulisha kwao
 
Exactly bonge la kampeni ya kisayansi kuwapiga chenga tumeccm na Maheraccm kwa sababu wanna akili ndogo hawatoelewa .
 
Mkuu walishapigwa stop na tume kuonekana wanaungana hadharani iliwa na wao wana mgombea. Hiyo ndio tekniki iliyokuwa imebaki. Akiongea kiongozi mkuu wa chama sisi wanachama tunaelewa na tutampigia kura TAL
Tatizo kaliweka “tamko” kwenye mtandao. Halitawafikia wapiga kura huko bush. Hili ni tanko binafsi bila shaka.

Tatizo la pili: Membe yupo kimya. Last tweet alisema hizi ni propoganda tu, yeye ndo mbeba Ilani ya Chama. Ukimya wake una kishindo kikuu.

Tatizo tatu: Tamko la Zitto limejaa usanii tu na ubinafsi. It is suprising how wapinzani hawalioni hili. Ukisoma point 1 na point 2 zinakinzana. Kwa hiyo maeneo ambayo ACT walipoweka wagombea wao hata kama ni dhaifu bado wanachama wawapige kura tu na kuwaacha wengine wenye nguvu zaidi kutoka upinzani (CHADEMa et al)?!
 
Mkuu walishapigwa stop na tume kuonekana wanaungana hadharani iliwa na wao wana mgombea. Hiyo ndio tekniki iliyokuwa imebaki. Akiongea kiongozi mkuu wa chama sisi wanachama tunaelewa na tutampigia kura TAL
Tatizo kaliweka “tamko” kwenye mtandao. Halitawafikia wapiga kura huko bush. Hili ni tamko binafsi bila shaka na kalitoa kama ushauri tu.

Tatizo la pili: Membe yupo kimya. Last tweet alisema hizi ni propoganda tu, yeye ndo mbeba Ilani ya Chama. Ukimya wake una kishindo kikuu.

Tatizo la tatu: Tamko la Zitto limejaa usanii tu na ubinafsi. It is suprising how wapinzani hawalioni hili. Ukisoma point 1 na point 2 zinakinzana. Kwa hiyo maeneo ambayo ACT walipoweka wagombea wao hata kama ni dhaifu bado wanachama wawapige kura tu na kuwaacha wengine wenye nguvu zaidi kutoka upinzani (CHADEMa et al)?!
 
Hehehe
Tatizo la upinzani ni kuwa wanajenga personalities badala ya chama WAKO VERY WEAK

Unakuta mtu ndiye popular sio chama!!! mfano mzuri Lowasa alipoingia upinzani alipata kura nyingi akaambulia wabunge 40 kati ya 264 ina maana hata angeshinda uraisi bunge lingemkwamisha kwa kila kitu sababu CCM ndio ingekuwa na nguvu bungeni na ndio ingetoa spika na naibu spika.Ilitokea hivyo sababu mgombea Lowasa alikuwa popular kuliko CHama!...
Tukiwa weak si ndio vizuri ili mshinde kirahisiau vipi
 
Tatizo kaliweka “tamko” kwenye mtandao. Halitawafikia wapiga kura huko bush. Hili ni tamko binafsi bila shaka na kalitoa kama ushauri tu.

Tatizo la pili: Membe yupo kimya. Last tweet alisema hizi ni propoganda tu, yeye ndo mbeba Ilani ya Chama. Ukimya wake una kishindo kikuu.

Tatizo la tatu: Tamko la Zitto limejaa usanii tu na ubinafsi. It is suprising how wapinzani hawalioni hili. Ukisoma point 1 na point 2 zinakinzana. Kwa hiyo maeneo ambayo ACT walipoweka wagombea wao hata kama ni dhaifu bado wanachama wawapige kura tu na kuwaacha wengine wenye nguvu zaidi kutoka upinzani (CHADEMa et al)?!
Hehehehe tulia hivyo hivyo
 
Mzee mambo ya Act na chadema hayakuhusu. Zungumzia ya Lumumba.
Mie sina ujinga wa kushabikia vyama mkuu nashukuru kwa kutokuwa katika huo ujinga.

Mie chama chochote nakizungumzia ila ushabiki nawaachie wenyewe.
 
Sawa pia binafsi naomba siku za usoni wewe na Lisu muunde chama kimoja au kupitia vyama vyama vyenu vya sasa mgombee uraisi mwaka 2025.
Walishakaa pamoja chadema, Lissu akamtimua Zitto akamwita msiti 🤣🤣🤣
 
Membe yuko kwenye harakati za chini kwa chini kuthibiti wezi wa TUME.

Mwala huu ni siasa za akilisana.
Kwa Lowassa mlisema kama hivyo kuwa anajua mbinu za wizi za kuiba kura wanazotumia ccm hivyo ccm hawatoweza kumuibia kura.
 
MSIMAMO RASMI WA ACT WAZALENDO KUSHIRIKIANA NA CHADEMA.

Hivyo basi, baada ya maelezo hayo, natangaza rasmi kwa Wanachama, Wafuasi, wapenzi wa ACT Wazalendo na Watanzania kwa Ujumla, kuwa:

1. Pale kwenye Kata ama Jimbo ambalo ACT Wazalendo tuna Mgombea, tunaomba Muwapigie Kura wagombea wa ACT Wazalendo.

2. Pale ambapo kwenye Kata au Jimbo la Uchaguzi hakuna Mgombea wa ACT Wazalendo, lakini kuna wagombea wengine wa Vyama vya Upinzani, ACT Wazalendo tunawaomba MPIGIE KURA MGOMBEA WA CHAMA CHA UPINZANI mwenye nguvu zaidi ili kutokutawanya Kura.

3. Kwa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mimi Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe NITAPIGA KURA YANGU kwa ndugu Tundu Antipas Mughwai LISSU. Huyu ndiye Mgombea wa Upinzani ambaye ana nguvu ya kumshinda Mgombea wa Chama tawala, amefanya kampeni nchi nzima, mwitikio wa Wananchi kwake ni mkubwa sana, ameeleza kwa ufasaha dhamira yake ya kuleta mabadiliko na sina mashaka na dhamira hiyo, pamoja na anayotaka kuyafanya kama Rais, ni mambo hayo ndiyo yaliyonipa msukumo wa kumpigia Kura Lissu.

Zaidi NINAMUAMINI LISSU kutokana na historia yake ya kupigania Haki za Watu. Ninaomba kila mpenda Haki na Mabadiliko nchini ampigie kura ya URAIS ndugu Tundu Lissu ili awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Natanguliza Shukran kwenu

Kabwe Z. Ruyagwa Zitto
Kiongozi wa Chama, ACT Wazalendo
Bangwe, Kigoma Mjini
Oktoba 16, 2020
Kumekucha
 
Maskini Membe [emoji3][emoji3].... Jasusi mbobezi
 
Back
Top Bottom