Pre GE2025 Zitto: Tumepata Taarifa Nondo yuko Kituo cha polisi Gogoni, Tumefika tumekuta gari inabadilishwa Plate namba

Pre GE2025 Zitto: Tumepata Taarifa Nondo yuko Kituo cha polisi Gogoni, Tumefika tumekuta gari inabadilishwa Plate namba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Gentleman,
kusingizia mambo ambayo sio na hayapo ni zaidi ya ushirikina.

anatekwa wa nini kijana legevu na laini kama yule muungwana?

acheni unafiki wa kizembe hivyo ndrugu zango 🐒
Acha upumbavu mkuu, watu tunapoteza ndugu zetu mpaka Leo hatujui wako wapi kisha mnasema utekaji haupo?. Mbona yule Deo alietaka kutekwa kibamba picha zawatekaji zipo nahawajakamatwa mpaka Leo. Mkajifunze yaliyotokea 2010 mkoani Mara juu ya watu 17 kuuawawa kwa mapanga, sasa mnataka mturudishe kule.
 
Acha upumbavu mkuu, watu tunapoteza ndugu zetu mpaka Leo hatujui wako wapi kisha mnasema utekaji haupo?. Mbona yule Deo alietaka kutekwa kibamba picha zawatekaji zipo nahawajakamatwa mpaka Leo. Mkajifunze yaliyotokea 2010 mkoani Mara juu ya watu 17 kuuawawa kwa mapanga, sasa mnataka mturudishe kule.
Gentleman,
jikite kwenye mada mahususi mezani,
makasiriko ni ushirikina tu🐒
 
Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.

Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).

Soma Pia: Kuelekea 2025 - News Alert: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Picha chini ndio gari iliyomteka Nondo ikiwa Kituo cha Polisi Gogoni, Kibamba.
View attachment 3166701

Polisi ni dhahiri mpo na Nondo, tafadhali mwacheni huru akiwa mzima wa afya BILA HATA MCHUBUKO! Tafadhali Tafadhali Tafadhali!
Sujui nchi yetu inaelekea wapi ?
 
Tanzania yetu....
Hivi mama,umeridhika na haya yote kweli?
Kama ni maagizo yako I swear mwisho wako waweza kuwa wa aibu.... naamini siyo wewe maana haiwezekani mwanamke mwenye utungu akawa katili kwa watoto wa wenzie namna hii...hapana haiwezekani ikawa ni maagizo yako mama.Daah
Labda nikuulize wewe, kwani Nondo kafanya nini, au kasema kitu gani kinacho weza kumuudhi mama au watu wake wanaomfanyia uchafu?
Abdul Nondo katumia "Lugha isiyo kuwa ya staha" mahali popote ikimlenga mama?

Kuna mambo gani kayafanya Abdul hadi yapelekee kimtokee kilicho tokea hapa!
 
Tanzania yetu....
Hivi mama,umeridhika na haya yote kweli?
Kama ni maagizo yako I swear mwisho wako waweza kuwa wa aibu.... naamini siyo wewe maana haiwezekani mwanamke mwenye utungu akawa katili kwa watoto wa wenzie namna hii...hapana haiwezekani ikawa ni maagizo yako mama.Daah
Jiwe alipotenda haya alikufa kama mbwa.

Damu za watu walioumbwa kwa Sura na mfano wa Mungu hazitamuacha salama anaetoa maagizo ya kuteka na kuua.

Ukimya wa mama kwa vyovyote ni mhusika
 
Ukimwambia mtoto wa Mwalimu J K Nyerere kuwa ni Number Plate ndio sahihi na sio plate number kwa lugha ya malkia atakubishia mpaka mnaenda motoni wote...
 
Mara nyingi tabia mbaya ina uraibu,ikishaanza kuiondoa huwa kazi ngumu saana.Hii michezo ya kuuana au kutekana kisiasa iliyoshamiri awamu ya taño kuiondoa ni vigumu saana kwakuwa kwa asilimia flan inawanufaisha watawala.Hata ukisoma bible wafalme walipoanzisha madudu hasa kuabudu miungu na kuwapinga/kuwa ua manabii waliowakosoa,ili watesa sana wafalme waliofuata hata kama walionekana kuanza vizuri kwa kuyapinga mabaya ya watangulizi wao, lakin walijikuta wameyafanya yaleyale tena mpaka zaidi.Kwahyo master mind wa hiyo falsafa kesha tuachia msala na kadri inavoendelea ni wazi sio rahisi ikawa na mwisho mzuri.Maana katika hao wanao hisi au kuonewa wengine wanaweza kuwa na roho ya Nyegere.Ni neema ya Mungu tuu iingilie kati.
 
Tanzania yetu....
Hivi mama,umeridhika na haya yote kweli?
Kama ni maagizo yako I swear mwisho wako waweza kuwa wa aibu.... naamini siyo wewe maana haiwezekani mwanamke mwenye utungu akawa katili kwa watoto wa wenzie namna hii...hapana haiwezekani ikawa ni maagizo yako mama.Daah
Nina wasiwasi sana kuna genge linalo muendesha naye yupo picha tuu.
 
Labda nikuulize wewe, kwani Nondo kafanya nini, au kasema kitu gani kinacho weza kumuudhi mama au watu wake wanaomfanyia uchafu?
Abdul Nondo katumia "Lugha isiyo kuwa ya staha" mahali popote ikimlenga mama?

Kuna mambo gani kayafanya Abdul hadi yapelekee kimtokee kilicho tokea hapa!
Kibao alifanya nini?
 
Ukimwambia mtoto wa Mwalimu kuwa ni Nunber Plate ndio sahihi na sio plate number kwa lugha ya malkia atakubishia mpaka mnaenda motoni wote...
Naam, Kama vile KUKU mweupe-white HEN na au KIATU cheusi- black SHOE , aah, lugha zilizo kuja kwenye meli kwa kweli mmh, KAZI ipo !
 
Hivi upumbavu huu utavumiliwa hadi lini? How long shall they kill our brothers and sisters while we standa aside and look? Itoshe Sasa, km hakuna la kufanya kuizuia CCM na state machinery zake kuteka, kupoteza Na kuua watu, wapinzani waache siasa. Mnasababisha Maisha ya watu kukatishwa kikatili, wengine wakiwa bado vijana wadogo wenye ndoto kubwa maishani. Kubalini kujiunga CCM in mass kama mnapenda siasa, ili kuponya uhai wenu na familia zenu. Angalia Peter Msigwa, ss hv ana guarantee ya kutokuguswa na Polisi au TISS, hata akisema Jambo baya jukwaani. Hawezi Tena kutekwa Wala kupotezwa. Ana bima ya usalama wake na familia yake.
Mbowe, Zitto na wengine, waoneeni huruma hawa vijana, bado wadogo sana kufukiwa ardhini mapema hivi. Kina Soka huenda walishaoza muda mrefu. Hatujui waliuwawaje. CCM hawana huruma. Kwao ni maslahi tu. Achaneni na siasa, km hakuna njia ya kuizuia CCM kuendesha udhalimu huu. Mtazima ndoto za vijana wengi wanaowaamini na kuwafuata huku mkijua CCM watachukua roho zao muda wowote walitaka.
Kuna wakati Mange Kimambi aliwahi sema kitu kuhusu tabia za watanzania,ni watu wa hovyo when it comes kudai haki,watu wako ccm kulinda usalama wao na mali zao,in fact watu wanasema Mbowe such such lakini Mbowe ameumizwa sana na siasa za Tz.
CCM shall never die kama watatenda haki muda wote,lakini kama hawatatenda haki ni wazi hali itakuwa Tete.
 
Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.

Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).

Soma Pia: Kuelekea 2025 - News Alert: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Picha chini ndio gari iliyomteka Nondo ikiwa Kituo cha Polisi Gogoni, Kibamba.
View attachment 3166701

Polisi ni dhahiri mpo na Nondo, tafadhali mwacheni huru akiwa mzima wa afya BILA HATA MCHUBUKO! Tafadhali Tafadhali Tafadhali!
Chukuwachakomapema bila vyombo vya usalama NI BUTU
 
Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.

Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).

Soma Pia: Kuelekea 2025 - News Alert: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Picha chini ndio gari iliyomteka Nondo ikiwa Kituo cha Polisi Gogoni, Kibamba.
View attachment 3166701

Polisi ni dhahiri mpo na Nondo, tafadhali mwacheni huru akiwa mzima wa afya BILA HATA MCHUBUKO! Tafadhali Tafadhali Tafadhali!
Hawa waha si ndio wana TV za asili, hapo babu ashapigiwa akacheki mitambo, anyone mpaka preview/replay, sasa chadema wanajifanya wasomi, mpaka leo hawajui Soka yuko wapi, na nani alimfanyia umafia Lissu, tusidharau asili
 
Back
Top Bottom