Salamu,
Nimesoma alichoandika jana usiku Zitto Kabwe kwa lugha mbili; Kiswahili kuwafikishia ujumbe nyumbu wenzake na Kiingereza kuwafikishia ujumbe mabwana zake nje ya nchi anaoamini watamsaidia kuingia Ikulu kutimiza dhamira hake ya kuliangamiza Taifa la Tanzania. Kashindwa kabla hajaanza.
Kama kawaida WAMBEA na wanamkakati wenzake wote wakadakia uzushi wa kutekwa kwa Prof Assad. Kigogo akapost kama alivyopost Zitto utadhani wako nyumba moja na wanatumia laptop moja.Maria Sarungi akapost na wapambe wao kama akina Aidan Eyakuze wakalike.
Post hizo zikatumwa kwa Mabalozi. Punde Prof Assad mwenyewe amekanusha na baadhi ya hawa wazandiki macho yamewatoka na baadhi wamefuta post.
Sikilizeni, hawa hawajakosea. Ni mkakati waliofundishwa na waliopewa kwa ulaghai wa Kisultan Mangungo kuwa watasaidiwa kuingia Ikulu siku zijazo!! Pumbavu hawa. Tanzania ilipofika itachagua wazalendo na sio wauza lindi kama Zitto Kabwe.
Zitto Kabwe ni bahati mbaya sana ametoka kuwa kijana aliyetamani kuingia Ikulu kwa hoja sasa amekuwa wakala wa mabeberu anayetaka kuingia Ikulu kwa vioja vya kuwa wakala wa kulinda maslahi ya watu wa nje. Ashakwama. Watanzania wameona raha ya kuwa na viongozi wazalendo; sasa nchi inakwenda.
Endeleeni kuwaangalia, watazusha mengi mwisho huu wa mwaka na watatunga uongo mwingi, wakiamini wataiteteresha jamii, maskini we, Wako wao na nyumbu wenzao, watanzania wenye akili wako katika maisha yao, wanaendelea kufurahia amani na utulivu na wanakuka sikukuu zao kwa amani.
Zitto ameingia rasmi katika kundi la vijana wanaoangamia kwa kukosa maarifa. Maskini.
Sasa nilimsikia juzi eti anadai akamatwe yeye, nadhani anachokitaka atakipata, maana Tanzania lazima ibaki.
Pole yake sana. Aendako.Atafika tu. Soon. Si kataka mwenyewe!
Sent using
Jamii Forums mobile app