Zoezi la kumuokoa mtoto Rayan wa Morocco aliyezama ndani ya kisima cha mita 30 limeingia siku ya 3, tumaini bado

Jamaa wanajari sana uhai wa mtu, huku kwatu polisi anakuua Ili akuibie kibunda Chako (Hadi anashiriki polisi ngazi za juu ***** bongo nchi ngumu hii)

Na waziri anakaa kimya Hadi amsikie raisi kasema (kamwagiza) ndo anashtuka. Waziri wa mambo ya ndani yupo tu hata ajui afanye nini?
 
Pia kuna THE RESCUE inaelezea watoto 12 waliokwama pangoni huko Thailand mwaka 2018
 
Pia China iliwahi kutokea kesi kama hii, ila dogo alipatikana ameshakufa
 
Mungu amlaze mahala pema peponi Amin[emoji1374][emoji174][emoji3064]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…