Japo simkubali huyu zumaridi namwona yeye na waumini wake ni vichaa ila naona wanamuonea. Kama ni marufuku wapige marufuku wote.
Wanamuonea na hoja zao mara hatumii bible kwani nani kawaambia yeye anahubiri ukristo labda kaanzisha dhehebu lake la kizumaridi
Hakuna sheria yoyote inayovunjwa kwa kumhoji Zumaridi kwa kuwa kama ni imani Zumaridi na wafuasi wake nao wana imani yao. TCRA achaneni na haya mambo.
Hii Taarifa ya TCRA ni taarifa nzuri na inayotoa katazo Kali Kwa wamiliki wa VYOMBO VYA HABARI KUTOA TAARIFA za kufikirika.
Kweli chombo Cha habari kinatoa taarifa ' eti Mtu kaenda Mbinguni kakuta Kuna Magorofa Marefu kama minara' haya mambo tukiyachekea Sasa madhara yake makubwa Kwa vizazi vyetu vitakuwa havina Hofu na Mungu.. Nakuona Mungu kama mshikaji wake tu.
Hongereni sana TCRA Kwa taarifa yenu nzuri Kwa Umma
Na sie waache kutuita walamba asali.... Huo ni uzushi
Tena wahubiri wengine hua wanadai kua wana uwezo wa kumfufua mtu aliyekwisha kufa.
T'CRA tuambieni mbinguni kukoje sasa
Wanamuonea sana Zumaridi, mwenyewe anaamini ameshafika mbinguni wanabisha. Wamehakilisha vipi kwamba sio kweli?
Hii Taarifa ya TCRA ni taarifa nzuri na inayotoa katazo Kali Kwa wamiliki wa VYOMBO VYA HABARI KUTOA TAARIFA za kufikirika.
Kweli chombo Cha habari kinatoa taarifa ' eti Mtu kaenda Mbinguni kakuta Kuna Magorofa Marefu kama minara' haya mambo tukiyachekea Sasa madhara yake makubwa Kwa vizazi vyetu vitakuwa havina Hofu na Mungu.. Nakuona Mungu kama mshikaji wake tu.
Hongereni sana TCRA Kwa taarifa yenu nzuri Kwa Umma
Wewe ni kenge! Mambo ya Mwamposa achana nayo! Mbona tunapona Sana!Kwani mkutano wa mwamposa unapokuwa live nani hapo TCRA amehakikisha kinacho zungumzwa pale ndio ukweli? Kuna mtu TCRA amewahi kwenda mbinguni na akatuhakikishia kinacho semwa mikutanoni live ndio ukweli wenyewe?
Kuna wanaojiita manabii/wachungaji... mwamposa, geor davie, gwajima anayefufua watu na wengine wengi wenye hadithi za kufikirika lakini wamewaacha sijui wanatumia vigezo gani kumbana Zumaridi kiasi hikiKweli tumetoka kuachana na udikteta wa kila hali lakini TCRA bado wameachwa nyuma kuhusu uhuru wa kuhoji na uhuru huo ni muhimu ili jamii iweze kuwa ktk hali ya juu kutumia bongo zao kuhoji.
Sasa kama wanazuia mtu ku share experience ya ndoto zao iwe za kiimani, kiuvumbuzi, kidini, kiuganga, kisayansi n.k Jamii yetu itakuwa muflisi ktk bongo zetu.
Wameshindwa kuwafufua, wamekimbilia ubunge wa mchongo,Tena wahubiri wengine hua wanadai kua wana uwezo wa kumfufua mtu aliyekwisha kufa.
VIPI NA ALIYETOA TAARIFA HIZO AU YEYE YUPO SAHIHI?Hii Taarifa ya TCRA ni taarifa nzuri na inayotoa katazo Kali Kwa wamiliki wa VYOMBO VYA HABARI KUTOA TAARIFA za kufikirika.
Kweli chombo Cha habari kinatoa taarifa ' eti Mtu kaenda Mbinguni kakuta Kuna Magorofa Marefu kama minara' haya mambo tukiyachekea Sasa madhara yake makubwa Kwa vizazi vyetu vitakuwa havina Hofu na Mungu.. Nakuona Mungu kama mshikaji wake tu.
Hongereni sana TCRA Kwa taarifa yenu nzuri Kwa Umma
Uandishi wa habari hauna mipaka wanatakiwa kutuhabarisha habari yoyote ile. Ni kazi yao...Waandishi nao wanaowahoji watu kama hao,na wao hamnazo kichwani
Ova
Wewe ni kenge! Mambo ya Mwamposa achana nayo! Mbona tunapona Sana!
Nilimsharau Millard Ayo ,nilimuombea Hadi Ajali, apate Ajali, afe azikwe !!.
Huwez ruhusu Chombo chako kitumike, Kuzikufuru Mamlaka za juu Mbinguni.
Millard Ayo awe Makini, hapo alipo Mungu tu ndio kashikilia Maisha yake na ambavyo keshajichokea !!.