Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Imepita zaidi ya miaka 6000 mpaka 6700 Baba WA wanadamu Nabii Adam na Mama wa Wanadamu Hawa kushushwa kwenye ulimwengu huu wa Dunia. Hatimaye utafiti uliofanywa hivi majuzi wa kisayansi umetoa...
3 Reactions
12 Replies
300 Views
Kwema wanajamvi?? Nimeunga kifurushi cha Voda SME POST PAID cha Tsh 15,000/= kwa mwezi huu ni mwezi wa 3 natumia....!! Shida nikitaka kulipa baada ya matumizi hela haiendi kwa akaunt yangu inakuwa...
0 Reactions
3 Replies
108 Views
Watu wanavyosema ajira za serikali zina job security maana yake ni kwamba unaweza kupiga dili na ukajulikana lakini usichukuliwe hatua yoyote. Hata warning letter hupewi. Maana kuanzia...
1 Reactions
5 Replies
140 Views
Ushahidi katika kesi Namba Cc.5866 /2024 inayomkabili Baraka Benedicto (23) anayedaiwa kumlawiti mtoto wa Kiume umehitimishwa rasmi Machi 7, 2025 baada upande wa Mshtakiwa kukamilisha utetezi...
3 Reactions
2 Replies
333 Views
Kesi ni nyingi lakini zinazoripotiwa polisi ni chache na zinazoifikia mitandao ya kijamii ni chache zaidi kwakuwa kwa sehemu kubwa mambo haya hutokea ama hufanyika kwenye maeneo yao wenyewe...
56 Reactions
191 Replies
25K Views
Wadau hamjamboni nyote? Nipo kijiweni kahawa tokea saa 2 asubuhi Hadi muda huu saa 8:15 bado nimeshikilia hela zangu mkononi nasubiri mtu aniandikie neno kwaya kwa kiingereza " kizungu"...
2 Reactions
21 Replies
405 Views
Tusaidiane kueleweshana ili kujua kama endapo tutawekeza kila mwez kwa miaka 10 na ukaamua kujitoa labda baada ya miaka mitano itawezekana? Ikiwemo kupata salio na riba kwa muda wote huo...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hoteli kubwa ya angani itakayoendeshwa kwa nguvu ya nyuklia yaja, pamoja na huduma zingine, inatajwa kuwa hotel hiyo itakuwa na gym pamoja na bwawa ya kuogelea, hotel hiyo itakuwa na uwezo wa...
2 Reactions
5 Replies
213 Views
Utalipwa Dola $200,000 ikiwa utatoa sura na sauti kwa Roboti Kampuni ya kuunda Maroboti toka Russia Prompt imeweza kutoa ofa ya Dola $200,000 kwa mtu Yeyote anayetaka kuchukua sura yake apewe...
4 Reactions
34 Replies
830 Views
Wakuu habari za Leo? Naomba kwanza kusema ya kuwa Mimi nilikuwa ni Mwajiriwa wa Kanisa la Anglican Tanzania na nilikuwa nikifanyia Diocese ya Central Tanganyika (DCT) pale Dodoma. Nimefanya nao...
5 Reactions
7 Replies
432 Views
Mwalimu Japhet Maganga ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania(CWT) amesimamishwa kazi na Halmashauri ya Manispaa ya Temeke. Ikumbukwe kuwa mwalimu huyu ana tuhuma nyingi zinazomkabili...
11 Reactions
95 Replies
8K Views
Ndugu MUSA VENERABLE MZIBA mfanyabishara mwenye umri wa miaka 37 anaemiliki Kampuni ya Mzibaz Empire Investments Ltd amechukuliwa na watu wasiojulikana Tar: 07 Desemba mida ya Saa 2 Usiku, akiwa...
11 Reactions
129 Replies
14K Views
Tumewekewa sauti zao wanatoa salamu msibani Mmoja wa kike yuko Hungary Mmoja wa kiume hajasema aliko Mwingine Maria, ye akasema ameshindwa kuja kwa sababu za kiusalama -----------------------...
3 Reactions
106 Replies
3K Views
MHADHARA (104)✍️ 1. Utaondoka nyumbani mweupe kwenda kutafuta, utarudi nyumbani ukiwa mweupe. Lakini usiwe mwisho wa kuendelea kupambana. 2. Biashara utakayoianzisha itayumba, au kufa kabisa...
16 Reactions
16 Replies
377 Views
Watoto Kuwatii Wazazi kwa Namna Gani Maandiko Yanasemaje 1. Katika Wakolosai 3:20, maandiko yanasema: "Ninyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote; maana jambo hili lapendeza katika...
0 Reactions
0 Replies
40 Views
PICHA: Mnyama Nyegere PICHA: Mtu aliyedhuriwa na mnyama Nyegere PICHA: Nyegere akipambana na Simba Nyegere ni moja kati ya wanyama wenye wivu sana hapa duniani. Chakula chake kikubwa ni...
58 Reactions
511 Replies
171K Views
Heshima zenu wakuu. Hongereni kwa kazi. Na mnaopumzika, hongereni kwa mapumziko. Haya, twende kwenye mada. Mambo mengi yanayotokea nyakati hizi duniani, yalitabiriwa na manabii wa Mungu miaka...
7 Reactions
12 Replies
691 Views
Miaka elf moja kwa Mungu ni sawa na siku moja. Tunaweza dhani ni miaka mingi sana imepita toka Yesu aondoke duniani kumbe kwa Mungu ni sawa na siku mbili tu.
5 Reactions
36 Replies
543 Views
Neno Yesu na neno Kristo Inamaanisha Nini Neno Yesu YESU ni jina la kiuanadamu la Bwana, alilopewa na Mariamu na malaika Gabrieli (Luka 1:31). “Yesu” maana yake ni “Mungu anaokoa”. Hili ndilo...
10 Reactions
35 Replies
952 Views
Back
Top Bottom