Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Sasa ni taharuki kwa wanafunzi wa shule za msingi wakiwa shule waonapo wageni au magari yakiingia shuleni basi huanza taharuki na kukimbia ovyo. Taharuki hiyo imesababishwa na wazazi wanaowambia...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Leo Mbunge wa Viti Maalum Vijana Mhe. Asia Halamga akiwa Mgeni Rasmi amefanya Uzinduzi wa Vijana Jogging Club Mkoa wa Kilimanjaro ambao una Kauli Mbiu "Amani Yetu, Maisha Yetu, Chukua Tahadhari...
1 Reactions
1 Replies
880 Views
Habari wakuu, Huku kwetu hali si shwari, nipo ugogoni vifo ni vingi mno cha ajabu wengi wao ni watu wa Kaskazini. Walianza wawili inasemekana walienda kuzika huko Moshi, baada ya kurudi aliumwa...
6 Reactions
45 Replies
6K Views
Siku moja iliyopita, wazungu wametubwagia furushi la chanjo za misaada. Zinaitwa Johnson Johnson. Furushi hilo lina chanjo milioni moja ambazo zinapaswa kudungwa chap chap. Na hivi kesho tu, Rais...
4 Reactions
78 Replies
5K Views
Juzi Rais wa Rwanda katangaza kufunga vyuo na shule kuanzia 01.07.2021. Kenya curfew imekuwa extended for 60 more days Uganda Ligi kuu imelazimishwa kumalizika coz ya Covid. Burundi, India...
58 Reactions
325 Replies
17K Views
Wakuu, Leo asunuhi nimepata chanjo ya COVID 19 aina ya Johnson & Johnson; single dozi. Kwakweli najiskia kujiamini sana kwenye vita dhidi ya Covid-19. Najiona ni mzima zaidi na kama vile hii...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Bila kuremba, Serikali itoe maelekezo ya matumzi ya dawa hii katika kutibu Corona kama iliyvogunduliwa kule Israel kuwa inatibu corona. "That has been known since the start of the pandemic. But...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwanini mnatumia nguvu kubwa namna hii kulazimisha chanjo? Kama ni kwa faida yetu kwanini mtumie nguvu namna hii? Sasa hivi mmeamua kuedit cheti fake cha Gwajima kuonyesha amechanjwa, ila...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Mkurugenzi wa WHO ameziomba nchi tajiri kusitisha kutoa chanjo ya 3 ama booster ya Covid 19 hadi angalau mwezi October 2021 ili kutoa nafasi kwa nchi masikini angalau kuchanja 10% ya watu wao...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakati janga la corona likiendelea kutikisa dunia, Chama cha wataalam wa Afya ya Kinywa na Meno Tanzania (TDA) kimewataka madaktari wa meno kuongeza umakini wakati wa utoaji huduma kwa kuwa kundi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Bibie akikandia kuchanja covid kivyake vyake!
8 Reactions
62 Replies
6K Views
Najaribu kutafakari yanayoendelea sasa mjadala kuhusu chanjo ya COVID na jinsi baadhi ya watu, viongozi wa dini na wanasiasa wanavyolichukulia jambo hili kwa wepesi na kuhoji uhalali wake ilhali...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Mbunge wa Jimbo la Vunjo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, CCM Mheshimiwa Dkt Charles Stephen Kimei amesema chanjo ni salama na chanjo ni kinga. Kukubali kuchanja ni kuonesha kujali afya na uhai...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa; Napenda kutoa ufafanuzi kidogo kwamba Chanjo iliyoanza kutolewa Ni covid viral living matter ambae anawekwa kwenye mwili wa binadamu Kupambana na viral aliepo mwilini, Hivyo...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Zoezi la kuzindua chanjo kwa mkoa wa Arusha hatimaye limefanyika na wananchi kadhaa kuhudhuria tukio hilo lililofanyika katika kituo cha kimataifa cha mikutano cha Arusha. Katika tukio hilo...
4 Reactions
38 Replies
3K Views
nisaidieni wkt naweka order nakutana na hii fomu
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Mods and Wachangiaji, ninachoandika hapa ni kitu kikubwa na nashauri tahadhari ichukuliwe mapema. It is very serious. Siku ya Jana nikiwa kwenye majukumu yangu ya kutafuta riziki, nilipaswa...
16 Reactions
62 Replies
4K Views
Japo kwa sasa wanasema chanjo ni hiyari, lakini ninapenda kuwahakikishia huko mbeleni hakuna ofisi yoyote ya Serikali utakayoweza kuingia bila ya kuwa na kibali cha chanjo. Kwa namna moja au...
21 Reactions
44 Replies
3K Views
Imeandikwa na JEC Dunia ina mengi nayo mengi hayana maana, ni msemo ambao unatumika kwa muda mrefu hapa nchini kwetu, lakini kwasasa jambo linalosemwa kwa maneno mengi yasiyo na maana ni chanjo...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Akizuiwa au akishughulikwa kwa nguvu kwa namna yoyote ile na mamlaka asizidi kueneza uzushi , uvumi na uongo kuhusu chanjo ya Corona itawaaminisha watu wengi zaidi kwamba kuna nia ovu nyuma ya...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom