Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Ndugu zangu. 1: Ni kwanini basi TRA watangaze kazi kwenye website yao na maombi yatumwe kwao direct ikiwa kuna ajira portal ? 2: Na ikiwa kama serikali imewapa mamlaka na kibali cha kuajiri ...
2 Reactions
15 Replies
985 Views
Aisee kujua unaibiwa had ujaribu kitu kingine. Nimekua nikinunua hili bando la 2100 la Gb lakin halikai hata dk tu limeisha. Sasa hiz siku mbili nimeunga voda GB 1 inakaa sana aisee had sasa...
1 Reactions
9 Replies
223 Views
Nimekaa miaka sita kwenye Hii nchi hakika ni nchi nzuri mnoo geographical location yake ni katikati ya ulaya watu wake ni wachapa kazi ila pia wapenda starehe mnoo dini kuu ni Roman Catholic...
24 Reactions
100 Replies
18K Views
Baadhi ya wafanyakazi wa kiwanda cha hong way interntional ltd kilichopo Mafinga wanalalamika kwa kulazimishwa kulawitiana. Wanasema amri hiyo ilitolewa na askari baada ya kupelekwa kituoni kama...
2 Reactions
66 Replies
11K Views
Tabata kuna bar mpya zimefunguliwa mfano The great Park, 40 by 40, kwetu pazuri, kwa kweli zinajaza sana watu. Ukitembelea hizi bar alafu ukasikia mtu analalamika hela imepotea mfukoni...
13 Reactions
123 Replies
14K Views
Wakati mwingine wanakuchukia kwasababu unavyopendwa na unakuubalika kwa watu au na mtu fulani hapo kazini/ofisini au ulipo Yawezekana kwasababu ya connection hizo ulizonazo na namna unavyoitwa...
5 Reactions
11 Replies
247 Views
Kuna wimbo unaitwa olodumare wa Joel Lwaga umekuwa maarufu kanisani watu wakitaja olodumare bila kujua maana yake nini. Katika nyakati hizi za hatari,nyimbo nyingi za hawa watu walioungwa na...
4 Reactions
29 Replies
698 Views
Nashauri kuwe na masomo ya vitendo maalumu kwa jamii pia kwaajili ya kujiandaa na kukabiliana na majanga mbalimbali kama vile moto, mafuriko, matetemeko ya ardhi n.k kwa mara nyingi masomo ya...
1 Reactions
19 Replies
231 Views
Jina la Bwana na Mwokozi Yesu libarikiwe. Karibu tujifunze biblia. Je kuna utofauti wowote ya Ubatizo wa Yohana na ule wa Bwana Yesu?, Jibu ni kwamba hakuna utofauti wowote, ubatizo ni ule ule...
5 Reactions
9 Replies
371 Views
"Watekaji wawili walikuwa wanajihami kwa mapanga lakini askari polisi zaidi ya 20 walishindwa kuwadhibiti wahalifu hao wawili wenye mapanga na kulazimika kuwapiga risasi. Yani askari zaidi ya 20...
3 Reactions
29 Replies
1K Views
Katika siku za hivi karibuni, wateja wamekuwa wakijiunga na kifurushi cha GB 10 cha mwezi mzima, lakini ndani ya siku tatu tu, bando limekwisha, huku matumizi halisi ya data yakionyesha kiwango...
9 Reactions
38 Replies
673 Views
Nasumbuliwa sana na wasiwasi wa maisha, mwanzoni nilikuwa naona kawaida ila kwa hali yangu ya sasa naona it's too much. Ngoja niwaelezee kidogo jinsi ilivyo, mfano nikitoka kazini nikirudi home...
10 Reactions
95 Replies
2K Views
- Weka umakini katika rangi ya moto wa gesi uliopo kwenye jiko lako. * Kama moto una rangi ya bluu inamaanisha kila kitu kipo vizuri na joto linalozalishwa na huo moto ni nyuzi joto kuanzia...
35 Reactions
47 Replies
4K Views
Kuna jamaa mmoja mtaani tukajenga mazoea! Mara hayo mazoea kayapeleka kwa mtoto wangu kiasi cha kumuachia kitu cha thamani ya kwamba atakipitia. Huyo mtoto kakiacha sehemu si salama kikaibiwa...
9 Reactions
51 Replies
916 Views
Hawawezi kuamua siku zote. Wao hujificha madhaifu yao na aibu zao kwenye diplomatic Kituko kweli,yaani ukae mfanye mazungumzo na mwanao(M23) wa kuasili anaetaka kukuua wakishirikiana na baba yake...
4 Reactions
10 Replies
340 Views
Nilipokua mdogo nilisema nikiwa mkubwa nitapata pesa, nitakua nawasaidia masikini, ila mpaka sasa hivi najiona Mimi ndio maskini mwenyewe ninayepaswa kusaidiwa kabisaa, sijafika 30 lakini nina...
6 Reactions
9 Replies
291 Views
Ndugu Msomaji, Leo Nataka Nikuibie Siri ya MATAJIRI Wengi Ambayo Hawataki Uijue Kuhusu Mafanikio. Binafsi Siri Hii Nilijifunza 2020 Kutoka Kwa Mentor Wangu Dan Lok. Kitu Ambacho Kilibadilisha...
38 Reactions
53 Replies
3K Views
Mtoto wako akizaliwa mfungulie account za kijamii na uanze kuzikuza taratibu. Hii itamsaidia akikuwa Kwa sasa hivi soko la ajira na fursa zote limeshikiliwa na teknolojia . Ili kulinda privacy...
1 Reactions
13 Replies
336 Views
Ni mimi tu au ndio Sanaa bagamoyo.Kila kiongozi atakayefika tanzania hata kama mara kwa mara kila mda vikundi vya ngoma,matalumbeta na wakina mama sijui wanatoka wapi au ndio vikundi vya ikulu...
3 Reactions
9 Replies
229 Views
Simnajua ndugu yenu tokea niachane na mma yenu mdogo kwa kufumaniwa ikanibidi nianze kutafuta mwingine basi jana natoka zangu kariakoo nikapanda gari ya kigamboni kisiwani, kukaa kwenye siti tu...
8 Reactions
15 Replies
704 Views
Back
Top Bottom