Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Watu wengi wanapenda sana kuelezea matukio kwa kuwanyoshea vidole wengine , Je haiwezi kutokea kuwa Familia ikawa imelipa Ramson kimyakimya kadiri watekaji walivyotaka ili ndugu yao aachiwe huru...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Huyu mdudu anayeitwa bima ya taifa NIC ni tapeli anamsumbua mama yangu alishamaliza kuchangia bado wanamkata Bima yake imeiva hawataki kumpa hela yake wanamzungusha huu mwezi wa sita...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari ambazo zimenifikia mimi Hivi Punde kutoka kwa Mnyetishaji wangu ndani ya CHADEMA ni kwamba, Mh John Mnyika , Mbunge wa Kibamba ( CHADEMA ) ataongea na waandishi wa habari wakati wowote...
8 Reactions
109 Replies
14K Views
Wamachinga mjini Babati wamemuomba Mheshiwa Rais Magufuli kuwasaidia wafanye biashara zao kwa uhuru baada ya kudai kuwa wananyanyasika kwa kufukuzwa katika maeneo yao ya biashara huku wakirejea...
0 Reactions
2 Replies
703 Views
Nasikia watumishi wa umma wilayani Chato wamekatazwa kutumia simu wakiwa kazini. Utaruhusiwa kutumia simu tu baada ya saa 9:30 alasiri muda wa kutoka ofisini. Marufuku hiyo nasikia imetolewa na...
8 Reactions
26 Replies
3K Views
Ndugu zangu katika pitapita yangu huku mitandaoni, nimekutana na hadithi hii kwenye page ya TV fulani ikionyesha wanaume wa kenya wakivaa nguo za kike kwa kisingizio cha kuunga mkono kutokomeza...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
kuna shule kadhaa zimetajwa kuhusika na wizi wa mitihani ya darasa la saba. nashukuru kwa hilo kufahamika maana hii tanzania ya sasa tumekuwa na matatizo makubwa sana kiasi kwamba tume enda...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Katika kuitikia wito wa Hapa Kazi tu. Wasanii tajwa wanatarajia kuanzisha tv station nchini ili kuonyesha kazi zao
1 Reactions
85 Replies
8K Views
Hv jamani kwa wale wahenga ni kweli nyerere hakuwahi.kupata majanga ya kupinduka kwa meli,vivuko kama marais wengine wote??yani kwamba nyerere pekee pamoja na kuongoza mda mlefu lakini hakupata...
0 Reactions
10 Replies
952 Views
Wadau follow the link Matokeo ya usaili wa mchujo uliofanyika tarehe 21 & 22 Sept, 2018 Naona wengi tumepata experience ya interview YA interview yaani watu 600 wanaitwa 10.
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimeshikwa shati nisiimalizie habari. Moderator please delete this post.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuna tetesi kuwa idadi ya wawekezaji wapya kupitia kituo cha Uwekezaji, TIC imepungua sana ndani ya miaka miwili iliyopita. Waekezaji wengi, inaelezwa, wanachungulia hali na kuahidi kurudi...
6 Reactions
62 Replies
7K Views
Wana JF Habari za jioni, nimekutana na huu mkasa huko mitandao ya kijamii, kwenye post mojawapo za Jerry Muro, mtanzania mmoja amedai ya kuwa tukio hilo lilitokea huko Arusha ambapo, Kondakta wa...
8 Reactions
107 Replies
14K Views
Wasalaaam Kama kichwa kinavyoeleza Ninii sababu ya maeneo mengi ya makaburi kuwa na historia ya kutokea vitimbi vya hapa na pale Natamani niwatagg majuvi lkini kwa bahati mbaya sijui kitagg...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavyojieleza, nimeambiwa na mkuu wangu wa idara kuwa watumishi wote wanaoishi kwenye nyumba za umma watalipa tsh 10000 kila mwezi. Malipo hayo yatakatwa moja kwa moja kwenye mshahara.
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Kuna Gari ya matangazo inapita kutahadharisha Raia Juu ya kuchukua Tahadhari kwa wananchi wanaoishi karibu na fukwe za coco beach waondoke kwani bahari inaweza kuchafuka muda wowowte. Nimejaribu...
2 Reactions
77 Replies
10K Views
Maafisa wa polisi wamewakamata watu sita kuhusiana na ubakaji wa kikundi na mauaji ya msichana wa miaka tisa nchini India katika jimbo la Kashmir. Maafisa wanasema kuwa mama wa kambo wa msichana...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu,kuna kipindi hii kitu inayoitwa bitclub ilikuwa ikivuma sana humu ya kuwa ukinunua kifurushi aina flani utakuwa unapata package flan kwa mwezi. Kuna watu walikuwa wanatamba humu...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Wengi hawajui kwanini Iddi Amini aliitwa Iddi Amin Dada. Alipokuwa jeshini alikuwa anabadilisha wanawake kama nguo. Kila mwanamke alipokuwa akimtembelea Iddi Amini aliwaambia wanajeshi wenzake...
11 Reactions
57 Replies
7K Views
Back
Top Bottom