Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Msemaji wa mufti amesema ahadi iliyotolewa na waziri wa masuala ya dini wa Saudia Arabia kujenga chuo kikuu kipya cha kiislam nchini Tanzania ni mwendelezo na matokeo ya ziara ya mufti nchini...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Siandiki kwa Ushabiki Bali kwa uchungu! Mafuta ya kupikia yameshakua dili. Waliyonayo wameyafungia, naomba serikali ya CCM isiwakamate lakini iwabembeleze wayauze. Wanaouza wanauza kwa bei ya...
35 Reactions
279 Replies
32K Views
Wakuu habari Habari za kuaminika za kutoka chanzo changu ninachokiamini kabisa zinanitaarifu niwaambie wale wanaotaka kusafiri siku hizi za karibuni wajiandae haswa Madereva wote wa mabus wa...
5 Reactions
45 Replies
5K Views
Habari toka kwa watu wa karibu wenye ufahamu na suala hili, wanasema kuwa aliyekuwa Askari Polisi na kutiwa hatiani kwa mauaji ya Mwandishi wa Habari Daudi Mwangosi, amekata rufaa na rufaa yake...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Kuna mzee ananipa taarifa hapa kwamba kuna mama na mwanawe wamedondokewa na waya mkubwa wa umeme mtaa wa Uhuru Kariakoo, mtoto amepona; kwa aliyeshuhudia tukio tunaomba taarifa zaidi.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Jambazi kuu LA turiani wadidi inasemekana limeachiwa huru ni hatari kwa usalama uhalifu unaanza tena Sababu za kuachiwa ni zipi wakati ni Jambazi linalojulikana
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Habari za jioni waungwana. Nasikia kuna mgogoro unaendelea katika kanisa tajwa hapo juu. Samahani naomba anaeweza kuwa anafahamu uzuri anielekeze kwa lengo la ufahamu tu.
0 Reactions
5 Replies
9K Views
kumetokea sintofahamu juu ya nani hasa wanapaswa kwenda shule ya msingi kwa waalimu wa sekondari hasa baada ya serikali kutoa tamko jingine jana bungeni kuwa watakaoenda huko ni wale ambao...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa mfano mtu ukawa umejitahidi ukajenga nyumba yake ikafika hadi tofali la mwishoni akakosa hela y'a kumalizia huku unaishi nyumba ya kupanga ukaenda kuchomoa hela mahali ya mkopo ukamalizia kwa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Great
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Saaafi kabisaa naamini watalii watakuja kuona alipotokea binadamu wa kwanza sasa sijui ni Adam au!! Naimani Edeni ilikuwa ndani yaTanzania. Ahsante Maliasili kwa utafiti huu. Utafiti waondoa...
2 Reactions
50 Replies
6K Views
Hakika tulikosea kama taifa tuna nafasi ya kujisahihisha na kutorudia kosa kubwa hivi kuna mambo ya kukosea na yasilete IMPACT kubwa inayoumiza jamii sio hili beber shall this bê repeated again...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Leo nimejifunza Tofauti ya Mwalimu na askari wa jwtz Asante May mosi
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba maelekezo ya namna ya kuwa mzalendo kwenye makato ya adhabu 7% juu ya ile 8% Naomba mnifundishe hapa nakuwaje mzalendo kwasasa Napokea mshahara 176000 mnanikata 143000 naomba mnifundishe...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
0 Reactions
0 Replies
555 Views
Wasalaam.... Nimekaa na kutafakari Kwa Kina Hivi Ni Kweli Chanzo cha vita n kagera tu Mimi naona kuna cha ziada zaidi ya kagera japo wengi wenu mnaweza msinielewe Ipo hivi Tz ilikuwa katika...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
*MPANGO MCHAFU WA MANGE KIMAMBI NA FREEMAN MBOWE WAVUJA!!!!!!!!* • Wakutana Marekani kujadili mipango ya kuivuruga Tanzania • Watanzania waishio Marekani watahadharisha. Na Julius Bernard...
27 Reactions
274 Replies
26K Views
Ndugu zangu, niaandika habari hii kwa uchungu nikiomba, kwa yeyeote atakayeisoma, afikishe habari hizi kwa wahusika ili hatua za haraka za uokozi zichukuliwe. Kuna habari kwamba barabara...
11 Reactions
62 Replies
5K Views
Wengi tunajua tunavyoumia pale tunapoagiza magari hususani kupitia bandari ya dare es sallam ilivyo ghali na kodi kubwa Lakini inasemekana kuna nchi jirani ambao kwao ni neema tu kwani wakati...
9 Reactions
112 Replies
12K Views
Nimeona kwenye insta,Maulid kitenge,akiwa anasoma magazeti,huku akiwa ndani ya chumba kinachoonesha ni studio ya VOA,je ni kweli kahamia huko,mwenye taarifa atujuze
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Back
Top Bottom