Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Mwishoni mwa miaka ya tisini,mwanzoni mwa miaka ya 2000 hadi around mwaka 2014/15 maeneo ya Ubungo kuna kundi la watoto wa kihuni lililojulikana kama "Matembo".Kundi hili lilijumuisha watoto wa...
2 Reactions
164 Replies
22K Views
Wateja wa continental poleni Inasemekana continental imekufa na kushindwa kujiendesha kwa sababu ya kukosa wateja,fedha, na kudaiwa kodi na TRA Mfano, inasemekana kwamba wamekosa mpaka pesa ya...
3 Reactions
67 Replies
10K Views
Sikutaka kuamini kwakuwa nilikuwa bado sijazaliwa... But nikataka kujifunza na kujua zaidi kutoka kwenu mana najua zipo pipo ambazo humu JF zilikuwa zimeshaliona jua, labda wao wanaweza...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Za jioni wadau, kuna habari nimeipata kutoka kwa mdau alieko nchini Kenya ikitahadharisha kuhusu uwezekano wa mlipuko wa volcano katika mlima Kilimanjaro na inadai moshi unaonekana kutoka kwenye...
3 Reactions
31 Replies
8K Views
Wadau, Katika Hali ya kutaka kuinusuru kampuni ya Africa Media Group ambayo ipo hoi kiuchumi. Mmiliki wa Azamtv na makampuni ya SSB, Salim Bakhera ameanza rasmi mazungumzo mazito na mmiliki wa...
14 Reactions
87 Replies
11K Views
Huyu Dingi Yao Kama anajua Anapendwa Kwanini Anakataa Kuendeleza katiba Mpya ya Warioba...!! Kwanini CCM na Genge Lao Ukiwaambia kuhusu katiba Mpya wanatukana matusi na kutamani kukuua kabisa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Uchumi wa Tanzania kuwa hivi walaumiwe wataalamu wa uchumi wa Kitanzania Uchumi wa Tanzania kuwa hivi walaumiwe wataalamu wa uchumi wa Kitanzania
0 Reactions
1 Replies
919 Views
Hii kauli ni nzito saana iliotolewa na viongozi wa juu wa serikalini Mungu Ibariki Tanzania [emoji1241] Mungu Ibariki Africa[emoji1321]
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau hali ya kiuchumi kwa makampuni binafsi ni tete sana. Taarifa za kuaminika kutoka Channel Ten zinadai kuwa Hali ya kampuni hiyo ni mbaya na wafanyakazi wamekaa miezi miwili sasa bila...
5 Reactions
40 Replies
6K Views
Rais wa Marekani amewafukuza wanadiplomasia 60 wa Russia waliopo nchini humo na Rais wa baraza la Ulaya Donald Tusk amesema wanachama 14 wa umoja wa Ulaya utawafukuza wanadiplomasia wa Russia kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari Wakuu. Kama ilivyosikika na kusambaa kwenye mitandao ya kijamii juu ya tukio la kuvamiwa na kuchomwa moto kwa kituo cha polisi na baadhi ya vibanda vya biashara na nyumba za askari huko...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanabodi, Shirika la Bima la Taifa limewafukuza bila hata kuwapa notice wapangaji wake huko Masaki na Mikocheni siku ya Alhamisi wiki hii. Tukio hili lilitokea siku ya Alhamisi mchana kuanzia...
8 Reactions
63 Replies
7K Views
Zilizopo chini ya uvungu zinapenyeza kuwa,vijana tajwa hapo juu wataula Muda siyo mrefu huku lengo kuu likiwa ni kujionesha kuwa CCM ina uwezo wa kumwamini mtu yeyote yule na kumpa nyazifa kubwa...
6 Reactions
28 Replies
4K Views
Juzi wafanyabiashara jijini Mwanza wamelalamika kwamba biashara zinafungwa kwa sababu makadirio ya kodi ni makubwa kuzidi uhalisia. Leo nilikuwa Kariakoo, nimewasikia wafanyabiashara fulani...
5 Reactions
41 Replies
4K Views
Jamani kuna tetesi nimezipata toka kwa rafiki yangu aliyeko jijini Mwanza kwamba kuna wimbi la utekaji wa watu. Nasema ni tetesi na sijajua vyema kama kuna ukweli au la. Ila nilisikia Clouds kama...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Semi la bia limeanguka maeneo ya Ruaha Iyovi. Wanabeba bia kwa makreti na viroba kwa bodaboda na miguu. wengine wamelewa wapo hoi wanayumbayumba tu. polisi wamefika na gari ndogo nao naona...
3 Reactions
54 Replies
5K Views
Nilifuatilia mahojiano ya TIC Dg ktk Clouds Tv. Kikao hicho kitaanza saa ngapi Leo tar.24 Feb ktk ukumbi wa BOT?
0 Reactions
0 Replies
702 Views
Ee mungu tunaomba iepushe dunia kwa China kuwa super power sababu tunazo cc wanadamu ngoja tukuambie Ee mungu tusikilize
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Marekani ufurahi umekuza, na wanataka kujitegemea,,,, Kaa subiri Shukrani, usiwaze vikwazo Eti kuzuia mitumba ni kuzuia biashara huria? Wamemsaidia vya kutosha kumlisha, sasa eti wanataka...
0 Reactions
0 Replies
744 Views
Back
Top Bottom