Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Salam wakuu. Ikitokea mtu akahukumiwa kwa kosa la mauaji, hukumu ya miaka 30 jela. Na akatumikia yote. Siku anatoka jela ghafla akamuona mtu aliye tuhumiwa kuwa aliimuua, akapata hasira na...
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Amani ya bwana iwe pamoja nanyi, Mwaka 2014 kuna huu mradi ulianzishwa wenye thamani zaidi ya Tsh Bilioni mbili (2 bil. Tsh), ambao ulilenga kumuwezesha mwanamke wa kitanzania katika elimu, afya...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Majira ya saa 11.45 jioni ya leo, mfanyakazi mmoja wa TRA amewasilisha barua katika ofisi ya mapokezi ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), lililoko barabara ya Sam Nujoma...
6 Reactions
95 Replies
8K Views
kuna video clip mbili nimezitazama katika mtandao wa instagram zikionyesha hali halisi juu kile kinachoendelea hivi sasa katika nchi ya jamhuri ya watu wa congo(DRC) na kuihusisha tanzania...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa habari ya Idhaa ya Kiswahili DW ya saa 7 mchana huu, inadaiwa kiongozi wa Muungano wa NASA, Raila Odinga eti yupo Tanzania kwa likizo fupi.... Raila alijiapisha siku ya jana kuwa...
4 Reactions
99 Replies
12K Views
Kumekuwa na tetesi toka mwaka jana kwamba kiwanda kufungwa kufuatia kiwanda kujiendesha kwa hasara, sasa jana MD kutoka Panasonic japan kawatangazia wafanyakazi rasmi kuwa tarehe 9/2/2018 kiwanda...
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Inasemekana kwamba kule uwanja wa mapilau watu wamekuta sembe ufipa wakazima mitambo wakazira kutuma picha kifupi kumebuma.. Wana kino wameamua ccm hoyeee
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Diwani wa kata ya Kyimo na mkuu wa shule ya Sekondari Kyimo wamefanya mkutano leo tarehe 23/01/2018 na wazazi wenye wanafunzi hapo shuleni wakilazimisha kuchangia TZS. 70,000/= kwa ajili ya...
3 Reactions
112 Replies
10K Views
baada ya kutafakari kwa muda nimeamua kufanya maamuzi ya kutaka kujiunga forex wakuu ni vitu gani napaswa kuandaa na kulipia hadi niwe mwanachama Pia je itamfaa mtu anaesafiri mara kwa mara?
1 Reactions
46 Replies
4K Views
Baadhi yetu huweka akiba zetu kwenye mitandao ya simu sasa huo ugonvi wenu na serikali utaisha lini?maana mko kimya tu mwisho siku ikala kwetu ikizingatia wengine2 hugeuza laini simu vibubu
0 Reactions
1 Replies
923 Views
Mwezi ujao kuna mpango wa serikali kulipa madeni ya watumishi na wazabuni, je madeni yanayohusiana na mishahara kama arrears yatalipwa?? Mwenye taarifa atujuze.!
3 Reactions
50 Replies
7K Views
Baada ya kuzidiwa na mwenzake katika Ugombeaji wa ' almasi ' kubwa ya Mtaa wa Kariakoo sasa Tajiri wa Mbagala inasemekana ameingia katika ' bifu ' kali na zito la Kibiashara na Tajiri mwenzake...
10 Reactions
51 Replies
8K Views
Kwamba maeneo ya chango'mbe dar es salaam wale wanaume wa dar wnaoendana na fashooon za kina lil uzi,21 savage,wiz khalifa za kuvaa visurual vya kubana yaani vimodo na kunyoa viduku wamepokea...
8 Reactions
180 Replies
13K Views
Ili kuifanya inchi iweze kutawalika kwa urahisi, kama ilivyokuwa enzi za Mwalimu, nibora ingepitishwa sheria kuwa elimu ya juu kabisa anayotakiwa kuwa nayo mtz ni ya Awali. Kwani sasa watu ni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
*KUANZIA KESHO 15/01/2018 Ni marufuku kutupa takataka za aina yoyote ile barabarani na sehemu yoyote ile isiyo maalumu. Ukikamatwa fine ya sh 100,000/= inakuhusu na wale abiria wanaorusha...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu embu nihabarisheni kwa uelewa wangu Nimesikia from clouds media. Kuwa Bodi ya Bima ya Amana itawalipa Wateja kiasi cha juu 1.5m bila kujali mteja alikuwa na kiasi gani . Wenye kiwango...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Sallaam wadau! Inasemekana serikali Imetoa pesa za vijana, akina mama na wazee kupitia Saccos zinazotambulika, zikiwemo zile zinadhodhaminiwa kwa mwanvuli wa serikali. Kwa mujibu wa afsa mikopo...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Jamani eeeeee hatareeeeeee... Hizi ni zakunyapia nyapia kumbe makanisa ya kiroho yawatu binafsi aka mali za watumishi kumbe sadaka hazikai bank nakile tunakiona bank nikidunchu yakile wanacho kwa...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
Hali si shwari ndani ya Baraza Kuu la Waislamu (BAKWATA) na sasa kundi la viongozi ndani ya baraza hilo wanakula njama za kumuondoa kiongozi wao makini Mufti Zubeir. Hali hiyo inakuja huku zaidi...
11 Reactions
199 Replies
23K Views
Back
Top Bottom