Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Tukio ambalo lilitokea juzi huko Congo inasemekana kuna vijana walitekwa. UFAFANUZI: Jumla walikua wanne (sina uhakika) mmoja alitaka kuwatoroka wakati wanaondoka nae ghafla walimpiga risasi na...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa makala nyingi nilizozisoma sioni uwezekano wa kupata suluhu ya kumaliza mgogoro kati ya waparestina na waisrael(wayahudi) .hii inatokana na na asili ya mgogoro na references.zinazotumika...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari waungwana wa JF Nianze kwa kidokezo hiki; "Nautabiri mwisho wa rafiki, Kama ndivyo naomba maulana, Usimtende hivyo" Hiki kilikuwa kipande cha mashairi kwenye nyimbo ya mshiriki mmoja wa...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Aisee kuna mtoto namuelewa Sana nmeanza mawasliano nae kama Wiki hivi tatizo ktk chating zetu analeta ukauzu Sana unaandika sms gazeti anajibu short and clear OK poa haya duu yan hata ujalibu...
0 Reactions
5 Replies
901 Views
Habari jf,kwa taarifa za kuaminika kutoka kiwanda cha sukari kagera sugar,dereva wa kampuni hiyo bwana Ayubu ametekwa Kongo, ni km chache tu kutoka mpakan mwa Burundi na Congo,lkn pia kutoka...
3 Reactions
4 Replies
3K Views
Mambo vp, mnajua kuwa hii michezo ya kamali ukitoa za mpira wa miguu ni feki balaa... Nasema feki kwasababu moja kuu kwamba hii michezo mshindi anachaguliwa ofisini yani wanaamua leo tumpe flani...
0 Reactions
1 Replies
858 Views
Wakuu, Nipo katika foleni kubwa mno karibu na Daraja la Kibamba. Nimeambiwa kuwa kuna ajali mbaya ya magari mawili yaliyogongana. Yasemekana kuna waliopoteza maisha na majeruhi. More to come...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
  • Closed
Habari zenu humu ndani . Mimi kuna maneno nimeyasikia sana mitaani kuhusu hizi boksa tunazovaa wanaume watu wakidai eti ukizivaa kwa muda mrefu zinapunguza nguvu za kiume ! Mwenye ukweli kuhusu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Watanzania mjichunge saaan na wachaga Hapa Kenya tuna shida na Kikuyu. Wana ukabila na kujipendelea..Uongozini hawatoki
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Nimesoma mahali kwenye mtandao mmoja nchini Kenya wakidai Airtel Tanzania, Airtel Rwanda na Airtell Kenya zitauzwa na sababu kubwa ni hasara.
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Habari za majukumu wakuu na wadogo. Tunatambua kwamba mji wa Madina unajulikana kwamba ni uwarabuni hilo halina ubishi. Ila kuna kasehemu ambapo palipatikana kwa jina hilo, ambayo ndo makao makuu...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Naomba nitoe ushauri kutokana na tetesi nilizosikia, nitashukuru kama nitaeleweshwa iwapo ushauri wangu si mwafaka. Lakini pia naomba nisirushiwe maneno yenye kuudhi kutokana na ushauri wangu...
0 Reactions
2 Replies
747 Views
Mchungaji wa usharika mmoja mkubwa jijini Dsm anataka kudhulumu kiwanja chetu baada ya kumuingiza mjini msimamizi wa mirathi... Mbaya zaidi amejenga mgorofa wake na kutaka kutudhulumu. Tunaka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
VODACOM walifika hapa mwaka 2000 wakiwa hawana mteja hata mmoja na kwa mtaji wao wakapanga kwenye jengo lenye status kuliko majengo yote hapa nchini likiitwa PPF Tower lililoko kwenye kona ya mtaa...
8 Reactions
65 Replies
10K Views
WAMLAWITI MTOTO MDOGO MPAKA KUTOKA MAFUNZA-PEMBA Jeshi la polisi mkoa wa kusini Pemba linawashikilia vijana watatu wakaazi wa machomane wilaya ya chakechake kwa tuhuma za kumlawiti mtoto mdogo wa...
4 Reactions
42 Replies
7K Views
MWANDISHI:Habari yako mzee, kwani Ng'ombe wako huwa unawalisha nini? MZEE:Ng'ombe yupi unamuulizia,? Mweupe au mweusi? MWANDISHI:Mweupe. MZEE:Huyo namlisha majani. MWANDISHI:Na mweusi...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Bill hiyo inaenda kuua wastaafu. 1. Mafao utalipwa 38% na 62% utakuwa unalipwa monthly. Mfano kama ilikuwa ulipwe milioni 100 maana yake kwa mswada mpya utalipwa pension ya mkupuo 38 milioni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu nimeona mjadala huu na nkaona una mapungufu makubwa nabya kinyonyaji sana kiasi kwamba kuajiriwa sasa kutakuwa ni utumwa zaidi ya ilivyo sasa. Sijazama kuona ukweli wa haya hapa chini...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom